Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Simbachawene apelekwa Ofisi ya Waziri Mkuu, Ndumbaro aenda Katiba na Sheria, Pindi Chana Maliasili na Utalii

[emoji106]
 
Hadi sasa bado kuna mawaziri na watendaji wa Serikali wanataka kusimamiwa ndipo wajitume kufanya kazi??!!!
 
Zimwi likujualo halikuli likakumaliza,

Heri ya shetani umjuaye kuliko malaika usiyemfahamu.

Wacha waibe lkn tuishi kwa Uhuru na amani, kuliko risasi na mauaji ya watu ambayo yalishaanza kushamiri kipindi Cha mwenda zake.

Mama anaupiga mwingi
 
Zimwi likujualo halikuli likakumaliza,

Heri ya shetani umjuaye kuliko malaika usiyemfahamu.

Wacha waibe lkn tuishi kwa Uhuru na amani, kuliko risasi na mauaji ya watu ambayo yalishaanza kushamiri kipindi Cha mwenda zake.

Mama anaupiga mwingi
Mafisadi yana nafuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…