M Maghayo JF-Expert Member Joined Oct 5, 2014 Posts 20,307 Reaction score 47,210 Apr 1, 2022 #141 Elungata said: kilichotuponza wasukuma ni ushamba wa madaraka na kulewa vyeo,pia makuzi ya ukijijini[emoji23] Click to expand... Wee jamaa wa misungwi wewee
Elungata said: kilichotuponza wasukuma ni ushamba wa madaraka na kulewa vyeo,pia makuzi ya ukijijini[emoji23] Click to expand... Wee jamaa wa misungwi wewee
Crimea JF-Expert Member Joined Mar 25, 2014 Posts 25,874 Reaction score 36,030 Apr 1, 2022 #142 Daudi Mchambuzi said: Woiii as long as yule muovu amekufa kwa korona chochote kitokee tu coz hakuna furaha kubwa kama ile ya kumzika muovu mkuu. Click to expand... Muovu wako alishakufa ila bado unateseka! Yani marehemu bado anakutesa vibaya mno [emoji23][emoji23][emoji23]Bavicha mnakwama wapi? Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Daudi Mchambuzi said: Woiii as long as yule muovu amekufa kwa korona chochote kitokee tu coz hakuna furaha kubwa kama ile ya kumzika muovu mkuu. Click to expand... Muovu wako alishakufa ila bado unateseka! Yani marehemu bado anakutesa vibaya mno [emoji23][emoji23][emoji23]Bavicha mnakwama wapi? Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
D Dr Mabuga 30 JF-Expert Member Joined May 8, 2021 Posts 320 Reaction score 330 Apr 1, 2022 #143 DATAZ said: View attachment 2170790 Click to expand... Duuu muda mwafaka wa kwenda kuuza tembo wazee, Twiga,nyat na vifaru wazee kinana Karibu Sana hao wanyama wamezaliana Sana kuja uwapunguze
DATAZ said: View attachment 2170790 Click to expand... Duuu muda mwafaka wa kwenda kuuza tembo wazee, Twiga,nyat na vifaru wazee kinana Karibu Sana hao wanyama wamezaliana Sana kuja uwapunguze
M MPadmire JF-Expert Member Joined Mar 7, 2006 Posts 3,957 Reaction score 3,245 Apr 3, 2022 #144 Memento said: Swali langu mm ni; huyo pindi chana anaweza hayo uliyosema? Click to expand... Ndumbaru hakuwa na mbinu, hata kukutana na wadau wa Utalii alishindwa. Tusubiri tuone moto wa Pindi Chana. .. Utaona mwenyewe
Memento said: Swali langu mm ni; huyo pindi chana anaweza hayo uliyosema? Click to expand... Ndumbaru hakuwa na mbinu, hata kukutana na wadau wa Utalii alishindwa. Tusubiri tuone moto wa Pindi Chana. .. Utaona mwenyewe
Lord OSAGYEFO JF-Expert Member Joined Feb 19, 2021 Posts 3,085 Reaction score 4,890 Apr 3, 2022 #145 Victoire said: Ohoo Kinana effect tayari ili wakauze pembe za ndovu vizuri. Huyo Pindi Chana ni Kikwete team kindaki ndaki. Click to expand... WANAKULA KEKI YA TAIFA
Victoire said: Ohoo Kinana effect tayari ili wakauze pembe za ndovu vizuri. Huyo Pindi Chana ni Kikwete team kindaki ndaki. Click to expand... WANAKULA KEKI YA TAIFA
M MPadmire JF-Expert Member Joined Mar 7, 2006 Posts 3,957 Reaction score 3,245 Apr 6, 2022 #146 Memento said: Swali langu mm ni; huyo pindi chana anaweza hayo uliyosema? Click to expand... Ndio amepewa Sasa, ili afanye muone kama anaweza au la. Ndumbaru alifeli, na ametolewa....ulitaka aachwe ili aendelee kuharibu
Memento said: Swali langu mm ni; huyo pindi chana anaweza hayo uliyosema? Click to expand... Ndio amepewa Sasa, ili afanye muone kama anaweza au la. Ndumbaru alifeli, na ametolewa....ulitaka aachwe ili aendelee kuharibu
K kamwamu JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 4,521 Reaction score 3,309 Apr 6, 2022 #147 Victoire said: Ohoo Kinana effect tayari ili wakauze pembe za ndovu vizuri. Huyo Pindi Chana ni Kikwete team kindaki ndaki. Click to expand... Una maana yule mnyama alietaka leta ajari KIA alikuwa anatoroshwa akaruka toka kwenye ndege?
Victoire said: Ohoo Kinana effect tayari ili wakauze pembe za ndovu vizuri. Huyo Pindi Chana ni Kikwete team kindaki ndaki. Click to expand... Una maana yule mnyama alietaka leta ajari KIA alikuwa anatoroshwa akaruka toka kwenye ndege?