Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 850
- 2,019
Kuondoa masomo ya uraia, aliyeshauri haya achunguzwe.
Muhutasari huu hapa.
Maboresho ya sera ya elimu. Yapo mengi ila hapa wamewasilisha machache tu.
[emoji254][emoji254][emoji254][emoji254][emoji254]
...Masomo kupunguzwa sekondari,
...civics na general study kufutwa kabisa,
...somo la elimu jumuishi kwa mitaala ya ualimu kuanzishwa..
....walimu wa diploma watafundisha primary tu....hii muifikirie upya. Ni muhimu kuangalia uwezo
hakuna tena kutoa certificate za grade A za shule za msingi.....waliopo wataendelea ila hakuna kuingiza wengine vyuoni.
....walimu wa shule za msingi watamaliza form six na wakienda chuoni wanafundishwa pedagogy pekee(bila content) kwa miaka 2 na kwenda kufundisha primary.
....walimu kuongezwa mishahara..
Walimu wenye mazingira magumu watalipwa posho ya mazingira magumu kuliko wale wa mjini.
.....elimu ya msingi miaka 6 tu.
walimu kusajiriwa katika bodi ya walimu na kupewa lesen ya kufundisha kama ilivyo bodi za mawakili na madaktari.
.....maafisa wa elimu wilayani wapunguzwe....
hili tayari limefanyiwa kazi. Kwa meru tayari wamesambazwa jana......lusajo kapelekwa Karatu, Neema kapelekwa Ngorongoro, Morice kapelekwa longido....wamebakia ofisini Mulokozi, baharia na Angel tu.
walimu kuwapa elimu wanafunzi kupinga ulawiti na ushoga. Marufuku kulala kitanda 1 watoto 2 au zaidi.
Masomo ya biology na geography yatakuwa optional kwa o-level. Mtoto sio lazima ayasome, wakati huo civics na GS yatafutwa yataishia primary level tu. Hapa itarudi siasa. Walioshauri hii wanajua umuhimu wa SoMo la uraia??
walimu vyuoni watalazimika kusoma pia elimu ya ufundi na kufundishwa mashuleni.
Michepuo/combinations mpya kuongezeka kwa A-level. Michepuo ya kazi gani??
Wanafunzi kufundishwa ujasiliamali mashuleni ili wawe na uelewa wa kujiajiri- hii ni Bora Ibaki vyuoni pekee.
Miundombinu ya shule nyumba za walimu kuongezwa. Hivi utajenga nyumba nchi nzima? Za walimu wangapi??
Kutaanzishwa shule za veta kwa ngazi ya sekondari. Wanafunz wakimaluza darasa la 6 wataenda wote sekondari na watapewa mtihan wakiwa form one kuchuja wengine wasome masomo ya jumla na wengine wasome ufundi.
Huu ni kama umbea mitandaoni.
Kwa hiyo ukifuta uraia sekondari utarudisha siasa?? Nchi hii inachukuliwa kirahisi sana
Muhutasari huu hapa.
Maboresho ya sera ya elimu. Yapo mengi ila hapa wamewasilisha machache tu.
[emoji254][emoji254][emoji254][emoji254][emoji254]
...Masomo kupunguzwa sekondari,
...civics na general study kufutwa kabisa,
...somo la elimu jumuishi kwa mitaala ya ualimu kuanzishwa..
....walimu wa diploma watafundisha primary tu....hii muifikirie upya. Ni muhimu kuangalia uwezo
hakuna tena kutoa certificate za grade A za shule za msingi.....waliopo wataendelea ila hakuna kuingiza wengine vyuoni.
....walimu wa shule za msingi watamaliza form six na wakienda chuoni wanafundishwa pedagogy pekee(bila content) kwa miaka 2 na kwenda kufundisha primary.
....walimu kuongezwa mishahara..
Walimu wenye mazingira magumu watalipwa posho ya mazingira magumu kuliko wale wa mjini.
.....elimu ya msingi miaka 6 tu.
walimu kusajiriwa katika bodi ya walimu na kupewa lesen ya kufundisha kama ilivyo bodi za mawakili na madaktari.
.....maafisa wa elimu wilayani wapunguzwe....
hili tayari limefanyiwa kazi. Kwa meru tayari wamesambazwa jana......lusajo kapelekwa Karatu, Neema kapelekwa Ngorongoro, Morice kapelekwa longido....wamebakia ofisini Mulokozi, baharia na Angel tu.
walimu kuwapa elimu wanafunzi kupinga ulawiti na ushoga. Marufuku kulala kitanda 1 watoto 2 au zaidi.
Masomo ya biology na geography yatakuwa optional kwa o-level. Mtoto sio lazima ayasome, wakati huo civics na GS yatafutwa yataishia primary level tu. Hapa itarudi siasa. Walioshauri hii wanajua umuhimu wa SoMo la uraia??
walimu vyuoni watalazimika kusoma pia elimu ya ufundi na kufundishwa mashuleni.
Michepuo/combinations mpya kuongezeka kwa A-level. Michepuo ya kazi gani??
Wanafunzi kufundishwa ujasiliamali mashuleni ili wawe na uelewa wa kujiajiri- hii ni Bora Ibaki vyuoni pekee.
Miundombinu ya shule nyumba za walimu kuongezwa. Hivi utajenga nyumba nchi nzima? Za walimu wangapi??
Kutaanzishwa shule za veta kwa ngazi ya sekondari. Wanafunz wakimaluza darasa la 6 wataenda wote sekondari na watapewa mtihan wakiwa form one kuchuja wengine wasome masomo ya jumla na wengine wasome ufundi.
Huu ni kama umbea mitandaoni.
Kwa hiyo ukifuta uraia sekondari utarudisha siasa?? Nchi hii inachukuliwa kirahisi sana