Mabadiliko makubwa elimu nchini- mtaala wabadilishwa

Mabadiliko makubwa elimu nchini- mtaala wabadilishwa

Mama Edina

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
850
Reaction score
2,019
Kuondoa masomo ya uraia, aliyeshauri haya achunguzwe.

Muhutasari huu hapa.
Maboresho ya sera ya elimu. Yapo mengi ila hapa wamewasilisha machache tu.

[emoji254][emoji254][emoji254][emoji254][emoji254]

...Masomo kupunguzwa sekondari,

...civics na general study kufutwa kabisa,

...somo la elimu jumuishi kwa mitaala ya ualimu kuanzishwa..

....walimu wa diploma watafundisha primary tu....hii muifikirie upya. Ni muhimu kuangalia uwezo

hakuna tena kutoa certificate za grade A za shule za msingi.....waliopo wataendelea ila hakuna kuingiza wengine vyuoni.

....walimu wa shule za msingi watamaliza form six na wakienda chuoni wanafundishwa pedagogy pekee(bila content) kwa miaka 2 na kwenda kufundisha primary.

....walimu kuongezwa mishahara..
Walimu wenye mazingira magumu watalipwa posho ya mazingira magumu kuliko wale wa mjini.

.....elimu ya msingi miaka 6 tu.

walimu kusajiriwa katika bodi ya walimu na kupewa lesen ya kufundisha kama ilivyo bodi za mawakili na madaktari.

.....maafisa wa elimu wilayani wapunguzwe....
hili tayari limefanyiwa kazi. Kwa meru tayari wamesambazwa jana......lusajo kapelekwa Karatu, Neema kapelekwa Ngorongoro, Morice kapelekwa longido....wamebakia ofisini Mulokozi, baharia na Angel tu.

walimu kuwapa elimu wanafunzi kupinga ulawiti na ushoga. Marufuku kulala kitanda 1 watoto 2 au zaidi.

Masomo ya biology na geography yatakuwa optional kwa o-level. Mtoto sio lazima ayasome, wakati huo civics na GS yatafutwa yataishia primary level tu. Hapa itarudi siasa. Walioshauri hii wanajua umuhimu wa SoMo la uraia??

walimu vyuoni watalazimika kusoma pia elimu ya ufundi na kufundishwa mashuleni.

Michepuo/combinations mpya kuongezeka kwa A-level. Michepuo ya kazi gani??

Wanafunzi kufundishwa ujasiliamali mashuleni ili wawe na uelewa wa kujiajiri- hii ni Bora Ibaki vyuoni pekee.

Miundombinu ya shule nyumba za walimu kuongezwa. Hivi utajenga nyumba nchi nzima? Za walimu wangapi??

Kutaanzishwa shule za veta kwa ngazi ya sekondari. Wanafunz wakimaluza darasa la 6 wataenda wote sekondari na watapewa mtihan wakiwa form one kuchuja wengine wasome masomo ya jumla na wengine wasome ufundi.

Huu ni kama umbea mitandaoni.

Kwa hiyo ukifuta uraia sekondari utarudisha siasa?? Nchi hii inachukuliwa kirahisi sana
 
Ubaya wa nchi hii ni kwamba kila waziri anayekuja anakuja na lake. Wenzetu wanaandaa mitaala kwa kuangalia dunia itakuwa wapi miaka mitano - ishirini ijayo. Sisi tunapuyanga tu. Ndo maana sijaona po pote somo la kompyuta likitiliwa mkazo. Hovyo tu!

Halafu nilifikiri kwamba pengine wangetatua tatizo sugu la lugha ya kufundishia mashuleni. Hii ya sasa ya watu kuanza form one wakiwa hawajui Kiingereza inafanya watu wakariri tu vitu bila kuelewa. Suala la muhimu kama hili lakini limegubikwa na siasa....

Na kwa nini Biology inakuwa optional? Kwa nini somo la uraia linafutwa?
 
Ni mpuuzi pekee atakubaliana kuondoa masomo ya uraia- aliyeshauri haya achunguzwe.

Muhutasari huu hapa.
Maboresho ya sera ya elimu. Yapo mengi ila hapa wamewasilisha machache tu.

[emoji254][emoji254][emoji254][emoji254][emoji254]

...Masomo kupunguzwa sekondari,

...civics na general study kufutwa kabisa,

...somo la elimu jumuishi kwa mitaala ya ualimu kuanzishwa..

....walimu wa diploma watafundisha primary tu....hii muifikirie upya. Ni muhimu kuangalia uwezo

hakuna tena kutoa certificate za grade A za shule za msingi.....waliopo wataendelea ila hakuna kuingiza wengine vyuoni.

....walimu wa shule za msingi watamaliza form six na wakienda chuoni wanafundishwa pedagogy pekee(bila content) kwa miaka 2 na kwenda kufundisha primary.

....walimu kuongezwa mishahara..
Walimu wenye mazingira magumu watalipwa posho ya mazingira magumu kuliko wale wa mjini.

.....elimu ya msingi miaka 6 tu.

walimu kusajiriwa katika bodi ya walimu na kupewa lesen ya kufundisha kama ilivyo bodi za mawakili na madaktari.

.....maafisa wa elimu wilayani wapunguzwe....
hili tayari limefanyiwa kazi. Kwa meru tayari wamesambazwa jana......lusajo kapelekwa Karatu, Neema kapelekwa Ngorongoro, Morice kapelekwa longido....wamebakia ofisini Mulokozi, baharia na Angel tu.

walimu kuwapa elimu wanafunzi kupinga ulawiti na ushoga. Marufuku kulala kitanda 1 watoto 2 au zaidi.

Masomo ya biology na geography yatakuwa optional kwa o-level. Mtoto sio lazima ayasome, wakati huo civics na GS yatafutwa yataishia primary level tu. Hapa itarudi siasa. Walioshauri hii wanajua umuhimu wa SoMo la uraia??

walimu vyuoni watalazimika kusoma pia elimu ya ufundi na kufundishwa mashuleni.

Michepuo/combinations mpya kuongezeka kwa A-level. Michepuo ya kazi gani??

Wanafunzi kufundishwa ujasiliamali mashuleni ili wawe na uelewa wa kujiajiri- hii ni Bora Ibaki vyuoni pekee.

Miundombinu ya shule nyumba za walimu kuongezwa. Hivi utajenga nyumba nchi nzima? Za walimu wangapi??

Kutaanzishwa shule za veta kwa ngazi ya sekondari. Wanafunz wakimaluza darasa la 6 wataenda wote sekondari na watapewa mtihan wakiwa form one kuchuja wengine wasome masomo ya jumla na wengine wasome ufundi.

Huu ni kama umbea mitandaoni.

Kwa hiyo ukifuta uraia sekondari utarudisha siasa?? Nchi hii inachukuliwa kirahisi sana
Wameposti wapi haya mabadiliko mkuu?
 
Wangeongeza hata SoMo la teknolojia kwa maana dunia ni technology mf Kenya wameanzisha computer language primary

HII TAARIFA YAKO UMEBUNI AU NI YA KWELI FANYA BASI KUTU PDF HAPA TUPATE DOCUMENTS KAMILI
 
"walimu kusajiriwa katika bodi ya walimu na kupewa lesen ya kufundisha kama ilivyo bodi za mawakili na madaktari."
Nyieeee[emoji23][emoji23]
Hili ni jambo la muhimu sana na ni katika kuutambua ualimu kama taaluma. Kenya nadhani wanafanya hivyo tayari na faida mojawapo ni kwamba inawasaidia wakienda huko nje wanatambulika moja kwa moja. Nadhani hii ni sababu mojawapo iliyowasaidia Wakenya kuenea dunia nzima wakifundisha Kiswahili na masomo mengine.

Kwa baadhi ya wenzetu huko ualimu ni taaluma inayoheshimika kidogo na siyo kama hapa kwetu. Hii ni hatua nzuri hasa kama leseni hizo zitatambuliwa kimataifa.
 
Kuondoa masomo ya uraia, aliyeshauri haya achunguzwe.

Muhutasari huu hapa.
Maboresho ya sera ya elimu. Yapo mengi ila hapa wamewasilisha machache tu.

[emoji254][emoji254][emoji254][emoji254][emoji254]

...Masomo kupunguzwa sekondari,

...civics na general study kufutwa kabisa,

...somo la elimu jumuishi kwa mitaala ya ualimu kuanzishwa..

....walimu wa diploma watafundisha primary tu....hii muifikirie upya. Ni muhimu kuangalia uwezo

hakuna tena kutoa certificate za grade A za shule za msingi.....waliopo wataendelea ila hakuna kuingiza wengine vyuoni.

....walimu wa shule za msingi watamaliza form six na wakienda chuoni wanafundishwa pedagogy pekee(bila content) kwa miaka 2 na kwenda kufundisha primary.

....walimu kuongezwa mishahara..
Walimu wenye mazingira magumu watalipwa posho ya mazingira magumu kuliko wale wa mjini.

.....elimu ya msingi miaka 6 tu.

walimu kusajiriwa katika bodi ya walimu na kupewa lesen ya kufundisha kama ilivyo bodi za mawakili na madaktari.

.....maafisa wa elimu wilayani wapunguzwe....
hili tayari limefanyiwa kazi. Kwa meru tayari wamesambazwa jana......lusajo kapelekwa Karatu, Neema kapelekwa Ngorongoro, Morice kapelekwa longido....wamebakia ofisini Mulokozi, baharia na Angel tu.

walimu kuwapa elimu wanafunzi kupinga ulawiti na ushoga. Marufuku kulala kitanda 1 watoto 2 au zaidi.

Masomo ya biology na geography yatakuwa optional kwa o-level. Mtoto sio lazima ayasome, wakati huo civics na GS yatafutwa yataishia primary level tu. Hapa itarudi siasa. Walioshauri hii wanajua umuhimu wa SoMo la uraia??

walimu vyuoni watalazimika kusoma pia elimu ya ufundi na kufundishwa mashuleni.

Michepuo/combinations mpya kuongezeka kwa A-level. Michepuo ya kazi gani??

Wanafunzi kufundishwa ujasiliamali mashuleni ili wawe na uelewa wa kujiajiri- hii ni Bora Ibaki vyuoni pekee.

Miundombinu ya shule nyumba za walimu kuongezwa. Hivi utajenga nyumba nchi nzima? Za walimu wangapi??

Kutaanzishwa shule za veta kwa ngazi ya sekondari. Wanafunz wakimaluza darasa la 6 wataenda wote sekondari na watapewa mtihan wakiwa form one kuchuja wengine wasome masomo ya jumla na wengine wasome ufundi.

Huu ni kama umbea mitandaoni.

Kwa hiyo ukifuta uraia sekondari utarudisha siasa?? Nchi hii inachukuliwa kirahisi sana
Baadhi ya mapendekezo nakubaliana nayo kwa 100%. Mfano;
-Elimu ya ujasiriamali
-Kutoa elimu juu ya athari za ushoga na ulawiti
-Kupunguza Maafisa Elimu
-Kupunguza idadi ya masomo ya O level
-Kuongeza mishahara ya walimu
-Kuwalipa posho maalum ya kujikimu kwa walimu wa Vinijini
-Kuwasajiri walimu kwenye Bodi na kutoa leseni. Naamini hii itaongeza uwajibikaji na pia kupunguza mlolongo wa "mabosi wa walimu"
-Kuondoa elimu ya astashahada (Grade A). Hii itapunguza ile dharau ya kuonekana walimu ni kundi la watu waliofeli form four.
-Kuanzisha shule za VETA (ikiwezekana kila Kata) ili wale watoto wasiopenda kusoma elimu ya sekondari, waense wakasomee elimu ya ufindi.

Mapendekezo ambayo sijayaafiki ni haya hapa;
-Kujenga nyumba za walimu nchi nzima! Hii ni siasa. Badala yake walimu wangekopeshwa mikopo yenye riba nafuu kwa ajili ya ujenzi wa makazi yao.
-Watoto kusoma mpaka darasa la 6! Aisee vitakuwa bado ni vitoto vidogo, na hii italeta changamoto kwa walimu wa sekondari ambao hawajaandaliwa kufundisha watoto wenye umri mdogo.
-Kufuta somo la Uraia ni kuwanyima wanafunzia uwezo wa kuifahamu nchi yao katika upande wa siasa.
-Kuongeza michepuo mipya. Kama wana mpango huo, basi wapunguze hii mingine ya sasa isiyo na tija. Mfano hii michepuo ya masomo ya ARTS ingebakia michache tu.

All in all, napenda kuwapongeza waandaaji wa huo mtaala mpya kwa jitihada zao za kusikiliza matakwa ya wadau wa Elimu, wakiwemo wa humu jamii forums.

Binafsi nimefarijika sana. Maana mambo yangi mengi niliyo yapigia kelele siku za nyuma, yamejumuishwa kwenye huu mtaala mpya wa elimu. 🙏
 
Hili ni jambo la muhimu sana na ni katika kuutambua ualimu kama taaluma. Kenya nadhani wanafanya hivyo tayari na faida mojawapo ni kwamba inawasaidia wakienda huko nje wanatambulika moja kwa moja. Nadhani hii ni sababu mojawapo iliyowasaidia Wakenya kuenea dunia nzima wakifundisha Kiswahili na masomo mengine.

Kwa baadhi ya wenzetu huko ualimu ni taaluma inayoheshimika kidogo na siyo kama hapa kwetu. Hii ni hatua nzuri hasa kama leseni hizo zitatambuliwa kimataifa.
Jambo ni zuri ila shida itakuja hapo kwenye kupata leseni...!! sipati picha mkuu
 
Back
Top Bottom