Mabadiliko makubwa elimu nchini- mtaala wabadilishwa

Mabadiliko makubwa elimu nchini- mtaala wabadilishwa

Yaani sijui mawaziri hawa huwa wamesoma wapi, sielewi, mbona haieleweki. Sasa hivi wanafunzi wanasoma masomo ya lazima saba, sasa nashauri badala ya kufuta, muongeze somo la kompyuta liwe la nane na liwe lazima kwa 1-4 ila huko mbele liwe optional. Msifute masomo nyinyi, kuna vitu vingi sana mtasababisha watoto kukosa kuvisoma.
 
sawa tu elimu yenyewe hii,tena biology iwe optional mpaka form two mtoto ashasoma vingi tu
 
Mleta mada kuna mahala hujaelewa vizuri,
Somo la Civics na General study yatafutwa ila kuna somo la Historia ya Tanzania na maadili ndio litakuwa na maudhui ya hayo masomo yaliyofutwa.

Lakini pia bado haujapitishwa, imetolewa kama maoni kwanza, ili wadau wapitie watoe maoni yao na kukosoa penye kurekebishwa na kuboreshwa.
wapitishe tu wanasubiri nini
 
Hili ni jambo la muhimu sana na ni katika kuutambua ualimu kama taaluma. Kenya nadhani wanafanya hivyo tayari na faida mojawapo ni kwamba inawasaidia wakienda huko nje wanatambulika moja kwa moja. Nadhani hii ni sababu mojawapo iliyowasaidia Wakenya kuenea dunia nzima wakifundisha Kiswahili na masomo mengine.

Kwa baadhi ya wenzetu huko ualimu ni taaluma inayoheshimika kidogo na siyo kama hapa kwetu. Hii ni hatua nzuri hasa kama leseni hizo zitatambuliwa kimataifa.
Ukishatambulika then
 
  • Lugha ya kufundishia iwe Kiingereza, na uwekezaji wa kweli ufanyike.
  • Vyuo vya ufundi vyenye vitendea kazi kamili itakuwa sahihi. Nikiziangalia VETA za serikali za sasa, naanza kupata picha hivyo vyuo vitakavyokuwa.
  • Umri wa kuanza shule uwe 5 hii tabia ya wazazi kufukuzia vichanga shule si sawa.
  • Shule ya kulala kwa primary zifutwe. Wazazi wakae na watoto wawalee na kuwafunza maadili, kazi n.k
  • Siku za masomo zipunguzwe kwani watoto wanahamia shule na kukosa muda wa kujifunza maisha ya mtaani. Mbali na shule rasmi, shule ya mtaani ni muhimu sana.
 
Walimu wote warudi shule wakapigwe msasa wengi ni vilaza, baada ya hapo intake inayofata waajiriwe wenye division one ya advance tu na GPA ya first class chuo vinginevyo tutaproduce dully students, ticha ana four ya o. Level afu anafundisha mwanafunzi unategemea nini. Walimu tokeni nendeni shule
 
Kuondoa masomo ya uraia, aliyeshauri haya achunguzwe.

Muhutasari huu hapa.
Maboresho ya sera ya elimu. Yapo mengi ila hapa wamewasilisha machache tu.

[emoji254][emoji254][emoji254][emoji254][emoji254]

...Masomo kupunguzwa sekondari,

...civics na general study kufutwa kabisa,

...somo la elimu jumuishi kwa mitaala ya ualimu kuanzishwa..

....walimu wa diploma watafundisha primary tu....hii muifikirie upya. Ni muhimu kuangalia uwezo

hakuna tena kutoa certificate za grade A za shule za msingi.....waliopo wataendelea ila hakuna kuingiza wengine vyuoni.

....walimu wa shule za msingi watamaliza form six na wakienda chuoni wanafundishwa pedagogy pekee(bila content) kwa miaka 2 na kwenda kufundisha primary.

....walimu kuongezwa mishahara..
Walimu wenye mazingira magumu watalipwa posho ya mazingira magumu kuliko wale wa mjini.

.....elimu ya msingi miaka 6 tu.

walimu kusajiriwa katika bodi ya walimu na kupewa lesen ya kufundisha kama ilivyo bodi za mawakili na madaktari.

.....maafisa wa elimu wilayani wapunguzwe....
hili tayari limefanyiwa kazi. Kwa meru tayari wamesambazwa jana......lusajo kapelekwa Karatu, Neema kapelekwa Ngorongoro, Morice kapelekwa longido....wamebakia ofisini Mulokozi, baharia na Angel tu.

walimu kuwapa elimu wanafunzi kupinga ulawiti na ushoga. Marufuku kulala kitanda 1 watoto 2 au zaidi.

Masomo ya biology na geography yatakuwa optional kwa o-level. Mtoto sio lazima ayasome, wakati huo civics na GS yatafutwa yataishia primary level tu. Hapa itarudi siasa. Walioshauri hii wanajua umuhimu wa SoMo la uraia??

walimu vyuoni watalazimika kusoma pia elimu ya ufundi na kufundishwa mashuleni.

Michepuo/combinations mpya kuongezeka kwa A-level. Michepuo ya kazi gani??

Wanafunzi kufundishwa ujasiliamali mashuleni ili wawe na uelewa wa kujiajiri- hii ni Bora Ibaki vyuoni pekee.

Miundombinu ya shule nyumba za walimu kuongezwa. Hivi utajenga nyumba nchi nzima? Za walimu wangapi??

Kutaanzishwa shule za veta kwa ngazi ya sekondari. Wanafunz wakimaluza darasa la 6 wataenda wote sekondari na watapewa mtihan wakiwa form one kuchuja wengine wasome masomo ya jumla na wengine wasome ufundi.

Huu ni kama umbea mitandaoni.

Kwa hiyo ukifuta uraia sekondari utarudisha siasa?? Nchi hii inachukuliwa kirahisi sana
Chanzo?
 
Hapo kwenye Bios na Geog ni Optional kwa O level, kuanzia kidato gan? Au ndo tangu 4m nyoyaa?

Aliyeshauri hili apimwe akili tafadhari. Khaaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshangaa sana aisee! 🤔

Bios na Geog ni masomo muhimu sana hayapaswi kuwa optional hata siku moja

Contents zilizo katika masomo ya Bios na Geog ni muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku
 
Waweza tuwekea tuipitie?

Kwanini somo la sheria lisiwekwe lazima O level, ili kila mtu ajue sheria na haki zake

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wakiweka Hilo ujue CCM itakuwa mwisho wake kuitawala tanganyika sijui kwa zanzbar

Msing mkuu wa ccm n ujinga wa wananchi kutojua haki zao
 
Walimu wote warudi shule wakapigwe msasa wengi ni vilaza, baada ya hapo intake inayofata waajiriwe wenye division one ya advance tu na GPA ya first class chuo vinginevyo tutaproduce dully students, ticha ana four ya o. Level afu anafundisha mwanafunzi unategemea nini. Walimu tokeni nendeni shule
Ha ha ha ha tatizo sio Walimu ndugu yangu tatizo ni Serikali yako, walimu unawaonea sana. TATIZO SERA, SHERIA NA VIPAUMBELE VYA SERIKALI NA UTASHI WA KISIASA.

NCHI HII UJINGA MWINGI MNO HATA HAYO MABADILIKO YASIPOKUJA NA MABADILIKO KWA WALIMU NI KAZI BURE.
 
Ha ha ha ha tatizo sio Walimu ndugu yangu tatizo ni Serikali yako, walimu unawaonea sana. TATIZO SERA, SHERIA NA VIPAUMBELE VYA SERIKALI NA UTASHI WA KISIASA.

NCHI HII UJINGA MWINGI MNO HATA HAYO MABADILIKO YASIPOKUJA NA MABADILIKO KWA WALIMU NI KAZI BURE.
Kuna dada nilikutana nae nilisoma nae jangwani, nakumbuka alikuwa na division One, form six ana division One. Hawa walimu wanaozungumzia ni walimu wawapi?

Ana maisha yake ana nyumba yake, ana gari IST nzuri tu. Na nahisi ana masters by now.

People stop insulting teachers.

Kaka mmoja hivi nakumbuka alikuwa kupanga wa pure mathematics A level alikuwa na one six o level yeye sijui, he is teaching hata sasa
 
Naamini Kiswahili kingetumika kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu, wanafunzi wengi wangeweza kuyamudu masomo yao. Maana hii ndiyo lugha yetu ya Taifa. Kingereza kingetumika kama zilivyo lugha nyingine za ziada mfano Kifaransa, Kichina, nk.

Haya mambo ya kufundisha kwa Kiswahili Elimu ya msingi, na baadaye kuwabadilishia wanafunzi lugha wanapofika sekondari na chuo; inaleta mvurugano mkubwa.

Na ndiyo maana wadau wengi tunateseka kuwapeleka watoto shule za English medium ili kufidia hizi changamoto pale mtoto anapoingia sekondari.
Umedanganywa Boss hata hicho kiswahili wanafunzi hawajui kabisa.
 
Ukishatambulika then
Inakuwa rahisi kupata kazi moja kwa moja...huko nje na kwingineko.

Ni kama leseni ya practicing MDs inavyofanya kazi...

Au ya mwanasheria.....

Hili halikuwa swali la kuulizwa na Meneja wa Makampuni maana naamini anajua umuhimu wa formal professional IDs...
 
Inakuwa rahisi kupata kazi moja kwa moja...huko nje na kwingineko.

Ni kama leseni ya practicing MDs inavyofanya kazi...

Au ya mwanasheria.....

Hili halikuwa swali la kuulizwa na Meneja wa Makampuni maana naamini anajua umuhimu wa formal professional IDs...
Heee kweli ni vichekesho
 
kwenye swala la lugha lazima wafundishe kwa kiingereza. kwa sababu kazi nyingi zinafanyika kwa lugha ya kiingereza so naona labda iwepo namna ya kufundisha kiingereza kwa njia ambayo ni simple mwanafunzi kuelewa kirahisi zaidi.
Japokuwa ninafahamu kuna nchi za wenzetu wanafundisha kwa lugha zao mama ni kwa sababu wana akili sana sana ndio maaana wamefanikiwa . kwa hapa Bongo hata kuvumbua kitu fulani sisi wenyewe hakuna sasa si bora tu tujifunze kwa lugha ya kiinhereza maana vitu vingi tunajifunza kutoka kwao.

halafu muda wa kutengeneza masomo yote yawe kwa kiswahili na kutafasiri tutapata wapi? sio rahisi sana.

Ila naungana mkono na wewe kukazia kwenye somo la IT on general kwanzia sekondari kwenda A level. itasaidia sana watu kujua basics wakiwa bado shuleni. kama wanavyofanya international schools.
Hakuna hoja hapa.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Kuondoa masomo ya uraia, aliyeshauri haya achunguzwe.

Muhutasari huu hapa.
Maboresho ya sera ya elimu. Yapo mengi ila hapa wamewasilisha machache tu.

[emoji254][emoji254][emoji254][emoji254][emoji254]

...Masomo kupunguzwa sekondari,

...civics na general study kufutwa kabisa,

...somo la elimu jumuishi kwa mitaala ya ualimu kuanzishwa..

....walimu wa diploma watafundisha primary tu....hii muifikirie upya. Ni muhimu kuangalia uwezo

hakuna tena kutoa certificate za grade A za shule za msingi.....waliopo wataendelea ila hakuna kuingiza wengine vyuoni.

....walimu wa shule za msingi watamaliza form six na wakienda chuoni wanafundishwa pedagogy pekee(bila content) kwa miaka 2 na kwenda kufundisha primary.

....walimu kuongezwa mishahara..
Walimu wenye mazingira magumu watalipwa posho ya mazingira magumu kuliko wale wa mjini.

.....elimu ya msingi miaka 6 tu.

walimu kusajiriwa katika bodi ya walimu na kupewa lesen ya kufundisha kama ilivyo bodi za mawakili na madaktari.

.....maafisa wa elimu wilayani wapunguzwe....
hili tayari limefanyiwa kazi. Kwa meru tayari wamesambazwa jana......lusajo kapelekwa Karatu, Neema kapelekwa Ngorongoro, Morice kapelekwa longido....wamebakia ofisini Mulokozi, baharia na Angel tu.

walimu kuwapa elimu wanafunzi kupinga ulawiti na ushoga. Marufuku kulala kitanda 1 watoto 2 au zaidi.

Masomo ya biology na geography yatakuwa optional kwa o-level. Mtoto sio lazima ayasome, wakati huo civics na GS yatafutwa yataishia primary level tu. Hapa itarudi siasa. Walioshauri hii wanajua umuhimu wa SoMo la uraia??

walimu vyuoni watalazimika kusoma pia elimu ya ufundi na kufundishwa mashuleni.

Michepuo/combinations mpya kuongezeka kwa A-level. Michepuo ya kazi gani??

Wanafunzi kufundishwa ujasiliamali mashuleni ili wawe na uelewa wa kujiajiri- hii ni Bora Ibaki vyuoni pekee.

Miundombinu ya shule nyumba za walimu kuongezwa. Hivi utajenga nyumba nchi nzima? Za walimu wangapi??

Kutaanzishwa shule za veta kwa ngazi ya sekondari. Wanafunz wakimaluza darasa la 6 wataenda wote sekondari na watapewa mtihan wakiwa form one kuchuja wengine wasome masomo ya jumla na wengine wasome ufundi.

Huu ni kama umbea mitandaoni.

Kwa hiyo ukifuta uraia sekondari utarudisha siasa?? Nchi hii inachukuliwa kirahisi sana
Mi nnachoona hapo mambo makubwa kama elimu ya taifa yanafanyiwa kazi kama vile mtu anaamua housegirl wake apike mlo.gani wa siku, hataulizwa na mtu yeyote hata wanae , maana hawatafuti hela,
Hili ni taifa , pesa za kuendeshea huduma zote za wananchi kama afya na elimu ni kodi za wananchi wenyewe, huwezi kufanya maamuzi kwenye mambo critical kama hayo bila kuwahisisha wadau wanaowakiliaha wananchi wengine kwa ukumla, maana hata walimu wenyewe tu ambao ndio wanaojua changamoto za mitaala iliyokuwepo na ndio watakao tekeleza mitaala mipya nao hawajui maamuzi hayo yamefikiwaje, hata wakiulizwa ufafanuzzi na raia wengine nao watakuwa wanajiumauma tu kama mtu mwingine ambae hayupo kabisa kwenue hiyo field,
Elimu imetumiwa hata na wakoloni kututawala na inaendelwa kutumiwa na watawala waovu kuzifisadi nchi zao hadi leo, hivyo watuonyeshe wamefikaje fikaje kwenye hiZo resolution, ni wadau gani na factor zipi zimezingatiwa,
 
Back
Top Bottom