Mabadiliko makubwa elimu nchini- mtaala wabadilishwa

Mleta mada kuna mahala hujaelewa vizuri,
Somo la Civics na General study yatafutwa ila kuna somo la Historia ya Tanzania na maadili ndio litakuwa na maudhui ya hayo masomo yaliyofutwa.

Lakini pia bado haujapitishwa, imetolewa kama maoni kwanza, ili wadau wapitie watoe maoni yao na kukosoa penye kurekebishwa na kuboreshwa.
 
Kwani huko taasisini ni kingereza kinatumika? Umefanya wapi iyo survey yako maana hata hapa nilipo lugha yetu ni kiswahili cjui wewe kwanini unakitetea hicho kingereza unataka turudi kwenye ukabila?
 
Uko sahihi mkuu English libaki kuwa somo la lazma tu ngazi zote za elimu.
 
Maelezo yako kuna mahala hayakosawa na mapendekezo hayo, hata hivyo bado hayajapitishwa ila ni maoni ya awali kabsa,
 
Haya mabadiliko yamehusisha wadau wa elimu au ni watu tu wizaran wamekaa kujaribisha mawazo yao
Hivi ulawiti na ushoga kwa watoto wa tz kwan limeshakuwa ttz au ni kuanza kuwajaza tu mawazo yatakayopelekea wao kuanza kujaribu huo ujinga
 
Maelezo yako kuna mahala hayakosawa na mapendekezo hayo, hata hivyo bado hayajapitishwa ila ni maoni ya awali kabsa,
Mwaka 2007 walijadili kufanya masualakadhaa, Mwaka 2008 yakawa implementated.

Hujawajua bado wale watu wa wizarani..

Nimesema wanakosa kazi za kufanya kabisa
 
You must be kidding eeh....kwa soko gani la ajira hii nchi ukafundishe watu kwa kiswahili mpaka chuo? Au kiswahili kinazungumzika nchi ngapi labda? Hivi umewaza taaluma kama za udaktati au engineering zikafundishwe kiswahili like seriously? Kiswahili ibaki kuwa native language, kingereza iwekwe mkazo kwenye mitaala toka primary school since ndiyo lugha shindani kidunia period!
 
Huu ni mtazamo wangu. Hivyo siyo lazima ufanane na wa kwako. Na nimetoa pia na sababu zangu. Sawa?

Kwani nchi zote duniani zinatumia hiyo lugha yako ya kingereza kufundishia wanafunzi wao?
 
Haya mabadiliko yamehusisha wadau wa elimu au ni watu tu wizaran wamekaa kujaribisha mawazo yao
Hivi ulawiti na ushoga kwa watoto wa tz kwan limeshakuwa ttz au ni kuanza kuwajaza tu mawazo yatakayopelekea wao kuanza kujaribu huo ujinga
Kuna umuhimu wa kuwafundisha watoto namna ya kupambana na hili tatizo.
 
Kuna umuhimu wa kuwafundisha watoto namna ya kupambana na hili tatizo.
Nimeona pia kitandan hakuna kulala wa2 😀 madawati toka uhuru changamoto kitanda na godoro lake kila mwanafunzi wataweza
 
Civics ya sasa inachanganya sana watoto
 
Kwahiyo suala la lugha ya kufundishia msingi na sekondari hawajaliona!!!
 
Acha uwongo mkuu mbona darasa la 1 hadi la 7 wanafundisha kwa kiswahili na watu wanafaulu? Inashindikana nini sekondari na hata chuo!
Na tafiti nyingi zinaonesha wanafunzi huelewa zaidi pale wanapofundishwa kwa lugha ambayo ni lugha mama.

Na kwa Kiswahili, hakuna shaka yoyote ile, kinazungumzwa na Watanzania walio wengi ukilinganisha na kingereza.

Sasa kama Taifa, kuna sababu gani ya kuendelea kuwatesa watoto kufanya mitihani kwa kugha ya kingereza, huku wakitumia lugha ya kiswahili kwenye mawasilkano yao ya kila siku?
 
Vumbi la kongo,nguvvu za kiume treatment,mafuta ya upako,maji ya baraka bado sio ugunduzi kweli ama kumfanya amwage maji mengi achafue shuka
 
Elimu ujuzi haihitaji hizo takataka.. Watazisoma primary..
Tatizo tumezoea kusoma vitu vingi visivyo na maana..
 
Waweza tuwekea tuipitie?

Kwanini somo la sheria lisiwekwe lazima O level, ili kila mtu ajue sheria na haki zake

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kile chama chakavu hakiwez ruhusu kamwe. Yaan waweke somo la sheria ili watu wajue haki zao?????? Weeeeeeeee yaan waraise awareness Mhhhhhh wakati hk chama kinatumia ujinga wa raia kama mtaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…