Mabadiliko makubwa yaja! Mzee wa Shelui jiandae

Sisi tunachapa kazi, shida wizi na upendeleo wa ukabila
 
Ametumikia wizara tatu mpaka sasa tangu aingie bungeni hebu tuoneshe notable achievements alizofanya kwenye hizo wizara
 
Ametumikia wizara tatu mpaka sasa tangu aingie bungeni hebu tuoneshe notable achievements alizofanya kwenye hizo wizara
Labda kwavile huko Bungeni hakuna watakao linagnishwa naye ila kusema ukweli huyu hajaonyesha umahiri nilioutegemea kwake...

Kama tunataka nchi uendelee basi tuanze kuwa strategic katika kuandaa watu Ili waje kufanya maendeleo. Bila strategies nchi yetu itaishia kuokoteza na kuweka watu wale wale ambao wameshindwa kuonyesha output za maana
 
Hivi kosa lake hasa ninini?sababu humu kilasiku tunamsema vibaya.Naomba melezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…