Mabadiliko makubwa yaja! Mzee wa Shelui jiandae

Mzee wa tarakea atakua kama pesambili
 
I like your coding
 
A poloka izzaa mbwane wee ….. iramba nkulu tanzania munino 🙌
 
Napendekeza hiyo wizara tuwape DP WOLD mkataba wa miaka 10 sisi tuchukue asilimia zetu siku ziende
 
Naunga mkono hoja.Halafu ana msimamo ya kizalendo hasa.
Huyo atatusaidia.
 
Raisi ndio mwenye mamlaka ya kumvua ubingwa mtu yeyote yule aliye chini ya CCM
Rais wa Tanzania ana nguvu za ajabu. Pia kuwa mwenyekiti wa CCM ndo nguvu zimeongezeka maradufu. Ukimkwepa kwenye chama unamkuta nje ya chama. Muulize Ndugai atakupa majibu sahihi. Pia hayati Jumbe aliyekuwa Rais wa Zanzibar alikutana na balaa la mwenyekiti wa CCM. Hao kina Mwigulu ni kama sisimizi kwa Rais.
 
Aahahahah wengine hawaelewi
 
Bank siyo wizara dogo,

engineer anaweza kufaa zaidi kwa kuwa amekuwa trained kwa reasoning na ni rsk taking kuliko mchumi
Dr Kimei ni mchumi wala sio banker kama unavyotaka kuongopea watu amefanyakazi Bank kuu kwa miaka mingi akiwa Mkurugenzi na baadae kwenda CRDB. Usizungumze kitu usichokijua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…