Mabadiliko sheria tano za soka kutoka FIFA, kuchezwa dakika 60, kadi za njano na mengine

Mpira kuchezwa dk 60 hapa aisee..!!! Zibaki dk 90.

Kwa kadi ya njano, muda wa adhabu uongezwe toka dk 5 hadi 10...
 
Kama ishu ni kuchoka basi wapunguze ukubwa wa pitch au waongeze idadi iwe wachezaji 12 au waongeze idadi za subs na kuwa zaidi ya hizo 5
 
1 & 2 BIG NO 3,4 & 5 BIG YES
naunga mkono hoja
 
Akifunga itakuwa ni uzembe wa timu pinzani. Kama idadi ya wachezaji ipo sawa na mipaka ya uwanja inafahamika ,kuzidi kunatoka wapi wakati wachezaji wote wapo humo humo uwanjani?
Umecheza chandimu wewe,hukumbuki tulikuwa tunafungana magoli 15 +?unajua kwa nini,?chandimu haina offside
 
Umecheza chandimu wewe,hukumbuki tulikuwa tunafungana magoli 15 +?unajua kwa nini,?chandimu haina offside
Nimecheza sana ila idadi hiyo ya magoli ilikuwa inapatikana sababu kubwa ikiwa ni uwanja kuwa mdogo ukilinganisha na idadi ya wachezaji.
 
Nimecheza sana ila idadi hiyo ya magoli ilikuwa inapatikana sababu kubwa ikiwa ni uwanja kuwa mdogo ukilinganisha na idadi ya wachezaji.
Ahaaa sio uwanja tu hata hiyo sheria ya offside ilichangia sana
 
Ahaaa sio uwanja tu hata hiyo sheria ya offside ilichangia sana
Kiasi chake ilichangania ila mimi naona mtu kuwa offside na kufunga goli ni ubunifu ni kama kukimbia tu au chenga.
 
Huu mpira Sjui unaelekea wap sasa dk 60 n netball hiyo na mipira ya kurushwa na kadi waache Kama ilivo
 
Ivi? fifa wana akili kweli dk 60 ni kurudisha soka nyuma na sio kuboresha
 
Hiyo ya mpira kutokurusha bali kuanzishwa kwa mguu,kwenye futsal wanafanya hivyo
Nalog off
 
Kama ishu ni kuchoka basi wapunguze ukubwa wa pitch au waongeze idadi iwe wachezaji 12 au waongeze idadi za subs na kuwa zaidi ya hizo 5
YAP, umenena.
subs ziwe angalau 5..
ili kina miraji nao wapate nafas ndimbani.
 
Msingi wa mchezo wowote ni burudani.watu tunapenda kufurahishwa.

So, maboresho yoote ni muhimu yajikite ktk kumfurahisha binadamu kutoka kwny fadhaa.

Mimi ningependa iwe hivi:

Dakika 90 ni lazima ziendelee kuwepo sabab
zinarefusha muda wa kuburudika.

Ikiwa hoja ni uchovu (japo siafiki) wapunguze mashindano nje ya ligi.
au waongeze subs.

Ikitokea timu A&B zimedroo,
Halaf timu mojawapo
imetawala mchezo dhidi ya mwenzake kwa zaidi ya asilimia 70% (Ball possession)
timu hiyo ipewe point 2 badala ya 1.

Lengo la kufanya hivyo ni kusistiza culture ya soka ambayo ni entartainment kwanza.

Pia sheria ya offside iangaliwe vizuri kwasab ni too ambigious ikiwezekana teknolojia ihusishwe kutambua makosa ya offside.

Fifa wafikirie kuanzisha mashindano ya cross gender.
ningependa siku moja walau nafasi 2 kati ya 11 za uwanjani kwa kila timu waruhusiwe wanawake kucheza.

Hili nalo litaongeza entertainment.
 
Dakika za majeruhi au za nyongeza nazo zifanunuliwe na ikibd zifanyiziwe marekebisho.

Kupoteza mda ni jambo lisilokubalika na ndio maana kuna adhabu au karipio.

kuna janja janja nying zinafanyika, kama mbinu ya kupoteza mda na kumlaghai refa hasa nyakati za dk za nyongeza..mfano:

Dk ya 90:04 timu inafanya sub..

Dk ya 90:03 golikipa kalala chini.atagalagala hapo dk 2 kati ya 3.

Sheria inaelekeza kufidia events hizo kwny zile dk 90..ila imemwachia uhuru wa 100% refarii kwny kufidia dk zile za fidia.
 
Well said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…