Mabadiliko TRA: Kamishna wa Forodha Mtanganyika Said Athuman Kiondo aondolewa awekwa Juma Bakari Hassan kutoka Zanzibar

Mkuu hii taarifa ndio umeiona Leo?

Cc Moderator , Fang, Active
 
Acheni kuchochea ubaguzi tafuteni sababu kwanini kaondolewa, kwani huyu mzazibari hana sifa au asipewe kwasbb nj mzazibar, hizo propaganda sio nzuri kabisa wengi mnapenda nchi ipasuke vipande
 
Mbona alishakuwepogi Marehemu Walid Juma nafasi hiyo ya Kamishna wa Forodha?

Ambaye naye alikuwa Mzanzibar/Mpemba /Mkojani/ Mshiraz?!


Marehemu Walid Juma alifia madarakani miaka ya (late 2000).
2009 Kama sijakosea.
 
Kwani tatizo ni nini hapo iwapo atatumikia wananchi kwa uadilifu bila kutumika na wakubwa?!

Na iwapo atatumiza majukumu yake bila upendeleo kutakuwa na shida gani?
 
Zamani hawa jamaa walikuwa waadilifu hasa ktk kazi lakini siku hizi mashaka yameingia! [emoji848][emoji848]

Sijui imekuwaje?! [emoji848][emoji848]
 
Mifupa hiiiiii
Wanajaribu kuzima Sakata la Bandari kugawiwa.


Watanganyika wasilaghahiwe Mpaka Kieleweke.... rudisheni .Bandari yetu tu!


Haoooo kamata haooooooo shikaa haooooo
 

Mh! Swali zuri. Lakini inakuaje Kuna ofisi za TRA Zanzibar kama sio mambo ya muungamo?
 
Haters wanahangaikaaa, mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, amewakaba kiakili na vitendo basi vyupi vinawabana........hawana hata pakutokea. Bakna sasa hv wanahangaika na agenda yao mfu hii ya uzanzibar na utanganyika. Nayo wameshindwa kabla ya kuanza, Watanzania wamewapuuza majuha haya!!
 
Kama ana faa katika hyo nafasi haina shida.dhambi ya utengano ikianza kutula haita ishia Tanganyika na Zanzibar pekee.kwan tukitengana miaka ijayo tutakosoa kwa ukanda au ukabila like kwanii viongoz wa ikulu wote ni kabila flani,au watu wa kusini watasema sisi tuna gesi ruvuma watasema sana makaa so kwanini wasiwe inch wajitegemee kutokana na malighafi walizo Nazi.nao wazanzibar watajikuta kuna waunguja na Pemba nao watajitenga.etc
 
Hakuna tatizo Tanganyika sio Tanzania
 
Hii iambatane na Rais wa Tanganyika kuwa Mzanzibar....hii imekaaje? Kwa sasa bro ni kukaa kwa utulivu mpaka katiba mpya ije na mengineyo. Bi tozo anatuchezesha kipemba full stop.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…