pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Umesahau kwamba na tra wapo zanzibar? Wanakusanya ajili ya nani?Mambo ya muungano maana yake yanatuhusu sote (wazanzibari na watanganyika).
Mambo yasiyo ya muungano maana yake wazanzibari wafanye yao kwa faida yao lkn watanganyika wafanye kwa ajili ya wote na faida ya wote.
Mfano.
TRA inakusanya fedha halafu 25 % inapelekwa Zanzibar, lkn ZRB (ZRA) inakusanya fedha kwa ajili ya Zanzibar tu.
Amka ewe mtanganyika