pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Umesahau kwamba na tra wapo zanzibar? Wanakusanya ajili ya nani?Mambo ya muungano maana yake yanatuhusu sote (wazanzibari na watanganyika).
Mambo yasiyo ya muungano maana yake wazanzibari wafanye yao kwa faida yao lkn watanganyika wafanye kwa ajili ya wote na faida ya wote.
Mfano.
TRA inakusanya fedha halafu 25 % inapelekwa Zanzibar, lkn ZRB (ZRA) inakusanya fedha kwa ajili ya Zanzibar tu.
Amka ewe mtanganyika
Mbona Mtanganyika hawezi kufanya kazi kwenye taasisi za Zanzibar kama ZRA, ZPA, nk?Hii nchi ni moja. Yeyote anafiti popote
Serikali haiwezi kushindwa iyo kesi maana kigezo cha mwanzo ili mtu ateuliwe azima awe ni mtanzania ambapo kila mzanzibar ni mtanzania na sio kila mtanzania ni mzanzibarukisoma Katina Kuna ma, mambo ya muungano na yasiyo ya muungano hivyo wakienda mahakamani serikali itashindwa mapema.
ukiulizwa utaambiwa Tra ni ya muungano. Huyu aliewekwa ni ili asivujishe siri za kupeleka kule, wameamua wachume haraka wakijua tuna zidi kuamka baadae itashindikana.Unalijua aliloliandika mwandishi? Bandari ni swala la muungano kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri. Lakini Zanzibar walijizima data wakavunja katiba na wakaanzisha mamlaka yao. TRA pia inatakiwa kukusanya ushuru hadi Zenji lakini hapo pembeni kuna ZRA. Sasa waziri anayesimamia bandari ni Mzenji na ndo Kasaini DPW baada ya kunyofoa bandari za SMZ.
Sasa mleta uzi anashangaa kuweka boss wa Zenji wakati wana ZRA.
Unajijibu ungali hujui kitu.Sasa huyo Kamishna aliyeteuliwa atahudumia Serikali ya Tanganyika au Serikali ya Jamhuri ya Muungano!😂😂
Umeonyesha tu ujinga wako!
Ww ndo mjinga usiyejitambua, hivi uchawa utaacha lini?Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
John hao ndio watanganyika wala usishangaeSasa huyo Kamishna aliyeteuliwa atahudumia Serikali ya Tanganyika au Serikali ya Jamhuri ya Muungano!😂😂
Umeonyesha tu ujinga wako!
Watanganyika ni wajinga to the extentWagalatia kazi mnayo wapuuz nyie
Mjinga na Mpumbavu ni yule asiyejua tofauti ya Zanzibar Revenue Board ya Mwenda na Tanzania Revenue Authority ya Kidava pale ZanzibarUnajijibu ungali hujui kitu.
Kama hujui kitu usijitutumue kuonyesha unajua kwa kuandika ujinga, note your fool as you wrote!.
Nilitaka kusema "Wazanzibar wanafaidi" lakini nimeahirisha. Sitasema hata iweje.Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Kwa trend tunayoenda nayo huu muungano unaonekana utakuwa uchi muda si mrefu.Unelewa vizuri sana sema umeamua kujitia ujinga.
Zanzibar wana Bandari zao kwaajili ya Wazanzibari.
Zanzibar wana Mamlaka yao ya kodi kwaajili ya Wazanzibari.
TPA & TRA ni kwaajili ya watanganyika kutuletea Wazanzibari huko ni kuwadharau watanganyika million 61.
Kwakuwa hakuna mtanganyika ZPA & ZRA ni ujinga wa kiwango cha SGR kutuletea Wazanzibari kuongoza taasisi ambazo zipo Tanganyika na Zanzibar.
Hapana. Lkn dawa siyo kulalamika. Dawa ni kurekebisha aina ya muunganoNa wewe unaunga mkono huo wizi?!
Wazanzibar ni Watanzania na Wazanzibar na Watanganyika pia. Lakini, Watanganyika ni Watanzania na Watanganyika na si Wazanzibar. Jadili.Kumbuka wazanzibari ni watanzania pia
OkUmesahau kwamba na tra wapo zanzibar? Wanakusanya ajili ya nani?
Pia Wana serikali,bunge na bendera Yao na bado wanashiriki kwenye serikali na bunge la muungano.Unelewa vizuri sana sema umeamua kujitia ujinga.
Zanzibar wana Bandari zao kwaajili ya Wazanzibari.
Zanzibar wana Mamlaka yao ya kodi kwaajili ya Wazanzibari.
TPA & TRA ni kwaajili ya watanganyika kutuletea Wazanzibari huko ni kuwadharau watanganyika million 61.
Kwakuwa hakuna mtanganyika ZPA & ZRA ni ujinga wa kiwango cha SGR kutuletea Wazanzibari kuongoza taasisi ambazo zipo Tanganyika na Zanzibar.
Ndiyo kusema Zanzibar ni nchi huru, lakini Tanganyika ipo kwenye mabano hivi!!!Kuna kauli ya kipenzi changu Baba wa Taifa imenitia simanzi sana baada ya kulewa "Tanganyika imevaa koti la muungano"
Fasili yake ni kuwa muungano upo huku Tanganyika na sio kule
Wanacho kifanya wanahaki zote tuu