HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
Charles Hilary, tena Yupo Ikulu.Utakuja kuelewa tu. Kuna mtanganyika yupo Zanzibar ambaye anafanya kazi serikalini?
Hilo la mtu wa bara kuteuliwa kufanya kazi Zanzibar haliwezi kutokea kwa sababu ofisi za Zanzibar siyo za muungano. Wazanzibari wanateuliwa kufanya kazi Tanzania bara kwa sababu ofisi za Tanzania bara kuanzia ikulu, mahakama, Baraza la mawaziri,bunge na majeshi yote ni ya muungano.Hoja ipo mkuu labda kama huioni, mfano ofisi gani pale zanzibar ambayo mteuliwa ametoka bara na anaonekana kabisa huyu Mheshimiwa Rais kamtoa huko Itegambwike au Butata huko na kutokana na weledi wake anaweza kushika nafasi hiyo kwenye SMZ.
Kama Tanganyika haipo Watanganyika wametokea wapi?Mleta uzii anashangaa na wengine pia wanashangaa kwa sababu mfumo wenyewe wa Muungano hauna tafsiri kwa vile Tanganyika haipo vyatanganyika vyote ni vyaa muungano
Inawezekana kabisaHatuwezi kumfungulia kesi ya kikatiba kumwondoa?
Waulize hao wanaojiita watanganyika wametokea wapiKama
Kama Tanganyika haipo Watanganyika wametokea wapi?
bwanamdogo tuliza tako hilo mambo ya muungano yako juu ya uwezo wako, soma historia vizuri kuna vitu siyo vya kugusa mojawapo ni muungano. Muungano huu umeamuliwa nje ya nchi ilikuwa ni wa lazima. kwa leo we usipoteze muda wako naona unahangaika sana na vitu ambavyo hata huvielewi, kafanye mambo yako utakuja kufa maskini labda kmm unalipwa na kundi flani.Unelewa vizuri sana sema umeamua kujitia ujinga.
Zanzibar wana Bandari zao kwaajili ya Wazanzibari.
Zanzibar wana Mamlaka yao ya kodi kwaajili ya Wazanzibari.
TPA & TRA ni kwaajili ya watanganyika kutuletea Wazanzibari huko ni kuwadharau watanganyika million 61.
Kwakuwa hakuna mtanganyika ZPA & ZRA ni ujinga wa kiwango cha SGR kutuletea Wazanzibari kuongoza taasisi ambazo zipo Tanganyika.
Hizo mamlaka zinaitwa Tanzania haziitwi Tanganyika, elewa dogo. Tanzania ni pamoja na Zanzibar.Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Bandari ni suala la MuunganoWashauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Hapa Kuna hoja, tubakie kwenye taasisi zile za Muungano tu...Zile ambazo Tanganyika imefunikwa ndani ya Tanzania lakini upande wa pili Kuna inayofanana kama hiyo hiyo ya Tanzania, Mfano, kama TRA wabakie watanganyika pekee maana Kuna conflict of interests ..Hii ni kwasababu, ukinipa bandari, nikaiua Ili Ile ya Zanzibar ndiyo iwe na faida si ni common sense tu?Kumbuka wazanzibari ni watanzania pia
Hapo kulipaswa kuwe na Tanganyika port AuthorityWashauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Unelewa vizuri sana sema umeamua kujitia ujinga.
Zanzibar wana Bandari zao kwaajili ya Wazanzibari.
Zanzibar wana Mamlaka yao ya kodi kwaajili ya Wazanzibari.
TPA & TRA ni kwaajili ya watanganyika kutuletea Wazanzibari huko ni kuwadharau watanganyika million 61.
Kwakuwa hakuna mtanganyika ZPA & ZRA ni ujinga wa kiwango cha SGR kutuletea Wazanzibari kuongoza taasisi ambazo zipo Tanganyika.
Wabunge wa Tanganyika hiki kitu hawakijui?Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
imefika wakati tufungue kesi za kuwaondoa Hawa wazanzibar kwenye nafasi wanazopewa ambazo SI za Muungano kama yule Shaka ameteuliwa kuwa mkuu wa wilaya. Hawa watu wamezoea Chao Chao Chao kwetu ni Cha wote.
MeneWashauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
JUMA BAKAR, KWA JINSI NINAVYOMFAHAMU MCHA MUNGU HUYU, WATU WA MAMBO YA CHINI CHINI MMEKWISHA,JAMAA AMENYOOKA VIBAYA SANA,PIA HANA MARINGO KABISA,HONGERA!
Mtu ukiwa na akili ndogo utautesa sana mwili wako. Kwanza mi namshangaa mtu anayehangaika na kaanchi kadogo km Zanzibar. Tanganyika ndio Tanzania, ndio yenye soveregnity, issue zote za kimataifa ni Tanzaniia ambayo kimsingi ndio Tanganyika. Mi ningemwelewa mzanzibar kulalamika siyo hao mnaojiita Tanganyika ila ni kwasababu hamna akili. TRA inafanya kazi Zanzibar kwa taasisi zile za muungano, Ziko za kutosha. Mfano uhamiaji, mambo ya nje, ulinzi na usalama na mengine, Hata hivyo umoja ni nguvu mtu anataka utengano. Nyie kuna watu wanawatumia.Unalijua aliloliandika mwandishi? Bandari ni swala la muungano kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri. Lakini Zanzibar walijizima data wakavunja katiba na wakaanzisha mamlaka yao. TRA pia inatakiwa kukusanya ushuru hadi Zenji lakini hapo pembeni kuna ZRA. Sasa waziri anayesimamia bandari ni Mzenji na ndo Kasaini DPW baada ya kunyofoa bandari za SMZ.
Sasa mleta uzi anashangaa kuweka boss wa Zenji wakati wana ZRA.
Wazanzibari ni watanzania 100%Lakin wanzanzibar sio watanganyika! Ujue hlo pia. Je watanganyika ni wakina nani?
Hilo nalo neno!Charles Hilary, tena Yupo Ikulu.
Kama ni hivyo inamaana, mzanzibar kwa sababu ni mtanzania ana haki ya kuwekwa kwenye uongozi wowote Tanzania na Zanzibar. Ila mtanganyika haruhusiwi kuwekwa Zanzibar ila ni Tanzania pekee.Kumbuka wazanzibari ni watanzania pia