HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
Chini ya CCM mmekubali wenyewe Wazanzibar wawe Watanzania ila Watanganyika sio Wazanzibar, Kwa maana wewe Mtanganyika huna haki ya kufanya kazi au kuteuliwa kwenye SMZ, ila Mzazibar anaweza kufanya kazi popote pale ndani ya JMT.
Haya maswali yenu mnatakiwa kuidhibiti CCM iwape serikali 3 ndio mtatatua huu mkwamo
Haya maswali yenu mnatakiwa kuidhibiti CCM iwape serikali 3 ndio mtatatua huu mkwamo