Mabadiliko TRA: Kamishna wa Forodha Mtanganyika Said Athuman Kiondo aondolewa awekwa Juma Bakari Hassan kutoka Zanzibar

Umeeleweka
 
Kama ni hivyo inamaana, mzanzibar kwa sababu ni mtanzania ana haki ya kuwekwa kwenye uongozi wowote Tanzania na Zanzibar. Ila mtanganyika haruhusiwi kuwekwa Zanzibar ila ni Tanzania pekee.
Huu Muungano huitaji degree kuukataa.

Hata kama hujui kusoma haufai kabisa.

Madokta na maprofesa wa Tanganyika Sijui wanafikiria nini kuhusu Muungano
 
Safi, umefafanua vizuri sana. Hata mtoto wa chekechea kaelewa.
 
Mwenzio kyke
 
Ingawa Nyerere alikuwa kichwa sana, kwenye Muungano alichemsha vibaya mno.
 
Kuwa balanced dogo

What was your message?
 
Kwa ambao hamfahamu suluhisho lote la haya Mambo lipo kwenye Katiba Mpya Ile ambayo ilisimamiwa vyema kabisa na tume ya Warioba.. ninajivunia kuwa moja ya watanzania waliotolea maoni Katiba Ile..

Kwenye Katiba Mpya ya Warioba:
(I) haya mapungufu yanayinekana kwenye Muungano yamekuwa solved..

(II) kwenye Katiba hiyo pia Rais amepunguziwa nguvu kwenye teuzi hivyo itachchea uwajibikaji

(III) kwenye Katiba hii Mpya Rais akizingua inaruhusu kushtakiwa.. so haya Mambo ya kufanya Mambo kinyume na Katiba hayatakuwepo
(III) Mwisho kabisa wananchi pia watakuwa wanashirikishwa Kwa karibu kabisa kwenye mikataba kama hii.. yani kutakuwa na transparency[emoji91][emoji91][emoji91]

Elimu kuhusu Katiba Mpya ilitakiwa iandaliwe program maalumu kuelimisha Jamii.. lakini inavyoonekana Kuna watu wanavutia Kwao mapema kabla hili swala la Katiba halijapiyishwa[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mnachoshndwa kuelewa ni kuwa Tanzania ni Tanganyika na Zanzibar ila katika Tanzania Tanganyika ndio ina eneo kubwa sawasawa na UK ENGLAND,WALES, NORTHERN IRELAND NA IRELAND REPUBLIC ILA ENGLAND NDIO SEHEMU KUBWA YA UK
 
katiba imetamka wazi ni mambo gani ya muungano na yasiyo ya muungano. Kesi ya uhaini waliyofunguliwa viongozi wa CUF walichomoka sababu katiba inasema Zanzibar siyo nchi 7ngawa baadae walijitoa ufahamu na kudai Zanzibar ni nchi. Tatizo kubwa ;a katiba yetu na hata rasimu ya Warioba waliachana ni kutowekea katiba Kinga. Kinga nayozungumzia ni kutokuwepo kwa kiongozi au mtu yeyote kuwa juu ya katiba kama Sasa rais haruhusiwi kushitakiwa. Kuna mambo mengi yamefanywa na yanaendelea kufanyiwa na viongozi ya uvunjaji wa katiba mfano kuondoa gesi na mafuta kwenye swala la muungano bila kufata taratibu, mabadiliko mbalimbali yanayofanywa na serikali ya Zanzibar bila kuhusisha serikali ya muungano. Tatizo jingine tumekuwa wavivu kuhoji , juzi 8mefunguliwa kesi ya kupinga mkataba wa bandari hivyo hivyo Bado kesi inaweza kufunguliwa kupinga teuzi anazofanya rais ambazo ni kinyume na katiba ya nchi. Hata uteuzi wa kamishina wa tume ya uchaguzi ambaye alikuwa katibu mwenezi WA CCM unaweza kupingwa mahakamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…