Al maktoum
JF-Expert Member
- Nov 23, 2022
- 499
- 678
UmeelewekaMtu ukiwa na akili ndogo utautesa sana mwili wako. Kwanza mi namshangaa mtu anayehangaika na kaanchi kadogo km Zanzibar. Tanganyika ndio Tanzania, ndio yenye soveregnity, issue zote za kimataifa ni Tanzaniia ambayo kimsingi ndio Tanganyika. Mi ningemwelewa mzanzibar kulalamika siyo hao mnaojiita Tanganyika ila ni kwasababu hamna akili. TRA inafanya kazi Zanzibar kwa taasisi zile za muungano, Ziko za kutosha. Mfano uhamiaji, mambo ya nje, ulinzi na usalama na mengine, Hata hivyo umoja ni nguvu mtu anataka utengano. Nyie kuna watu wanawatumia.
Huu Muungano huitaji degree kuukataa.Kama ni hivyo inamaana, mzanzibar kwa sababu ni mtanzania ana haki ya kuwekwa kwenye uongozi wowote Tanzania na Zanzibar. Ila mtanganyika haruhusiwi kuwekwa Zanzibar ila ni Tanzania pekee.
Kumbuka wazanzibari ni watanzania pia
Mbona kwenye nchi za wengine hujiita Wazanzibar na si Watanzania?Kumbuka wazanzibari ni watanzania pia
Kwa sababu taasisi na mamlaka za Zanzibar siyo za muunganoMbona Mtanganyika hawezi kufanya kazi kwenye taasisi za Zanzibar kama ZRA, ZPA, nk?
Safi, umefafanua vizuri sana. Hata mtoto wa chekechea kaelewa.Unalijua aliloliandika mwandishi? Bandari ni swala la muungano kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri. Lakini Zanzibar walijizima data wakavunja katiba na wakaanzisha mamlaka yao. TRA pia inatakiwa kukusanya ushuru hadi Zenji lakini hapo pembeni kuna ZRA. Sasa waziri anayesimamia bandari ni Mzenji na ndo Kasaini DPW baada ya kunyofoa bandari za SMZ.
Sasa mleta uzi anashangaa kuweka boss wa Zenji wakati wana ZRA.
Kwani kuna wabunge wa tanganyika?Wabunge wa Tanganyika hiki kitu hawakijui?
Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
Nenda ukafungue kesi mahakaman kama unaona Serikali imekosea au imevunja Sheria mwenzio kule Mbeya tayar miguu Chali mawakili wa serikali wanataka aivunje kesi kwa gharama alipe Serikali ameeanza kutoka huruma
Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Ili kuwepo na usawa, mambo ya Tanganyika yashughulikiwe na Watanganyika kama vile ya Zanzibar yanavyoshughulikiwa na Wazanzibar.Kwa sababu taasisi na mamlaka za Zanzibar siyo za muungano
Tuwatungie tena verse nyingineTukipiga kelele mnatukoromea
Ingawa Nyerere alikuwa kichwa sana, kwenye Muungano alichemsha vibaya mno.The United Republic of Tanzania imeundwa na pande mbili kwa gharama ya upande mmoja kuji dissolve huku upande mwingine ukibaki. Tanganyika ilijigeuza mshumaa, ilijiangamiza kwa lengo la kuangazia wengine.
Hivyo, Muungano huu unampa Zanzibar kuwa access ya nafasi zote, maana Tanganyika ilishajiua hivyo kukabidhi kila kitu kwa Zanzibar, maana katika Muungano huu Zanzibar ndiye pekee aliye hai.
So, unapoongelea maliasili, taasisi, n.k Zanzibar ana mamlaka nazo zote, kama mmiliki upande mmoja, huku upande mwingine akiwa kama msimamizi maana Tanganyika ilipojiua iliacha watoto na wake kadhaa ambao wote walendelea kulelewa na Zanzibar. Hapo ndipo hesabu za nyerere zilipopotea na kuvurunda kila kitu.
Laiti Tanganyika ingekuwepo au ingefufuka leo, basi hapo itakua sawa kusema kuna vitu vya Muungano. Ila kwa sasa, Zanzibar ndiye anayetambuliwa ni vile tu hawaijui nguvu yao.
Sasa hivi Zanzibar wana nguvu ya kuamua lolote ndani ya Muungano na watoto na wa tanganyika wakatakiwa kupokea tu maelekezo.
Kwa kuwa Tanganyika ilishakufa, sasa hivi serikali ya Muungano inabaki kuwa chombo kinachomsikiliza zaidi Zanzibar kabla ya kufanya maamuzi yoyote yale. Maana ndiye pekee aliye hai.
Kuwa balanced dogoWashauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Kwa ambao hamfahamu suluhisho lote la haya Mambo lipo kwenye Katiba Mpya Ile ambayo ilisimamiwa vyema kabisa na tume ya Warioba.. ninajivunia kuwa moja ya watanzania waliotolea maoni Katiba Ile..Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
HAkuna tra kuna zraKwani Zanzibar hakuna TRA?
Nijibu tafadhali
katiba imetamka wazi ni mambo gani ya muungano na yasiyo ya muungano. Kesi ya uhaini waliyofunguliwa viongozi wa CUF walichomoka sababu katiba inasema Zanzibar siyo nchi 7ngawa baadae walijitoa ufahamu na kudai Zanzibar ni nchi. Tatizo kubwa ;a katiba yetu na hata rasimu ya Warioba waliachana ni kutowekea katiba Kinga. Kinga nayozungumzia ni kutokuwepo kwa kiongozi au mtu yeyote kuwa juu ya katiba kama Sasa rais haruhusiwi kushitakiwa. Kuna mambo mengi yamefanywa na yanaendelea kufanyiwa na viongozi ya uvunjaji wa katiba mfano kuondoa gesi na mafuta kwenye swala la muungano bila kufata taratibu, mabadiliko mbalimbali yanayofanywa na serikali ya Zanzibar bila kuhusisha serikali ya muungano. Tatizo jingine tumekuwa wavivu kuhoji , juzi 8mefunguliwa kesi ya kupinga mkataba wa bandari hivyo hivyo Bado kesi inaweza kufunguliwa kupinga teuzi anazofanya rais ambazo ni kinyume na katiba ya nchi. Hata uteuzi wa kamishina wa tume ya uchaguzi ambaye alikuwa katibu mwenezi WA CCM unaweza kupingwa mahakamani.Mnachoshindwa kuelewa ni kwamba mambo ya muungano yanaihusu Tanganyika na Zanzibar. Na Yale ambayo siyo ya muungano yanaihusu Zanzibar peke yake. Kwahiyo wazanzibari Wana haki ya kushiriki kila kitu huku Tz bara kwa sababu mambo ya Tanganyika yote ni ya muungano ila watanganyika hawawezi kushiriki mambo ya Zanzibar kwakuwa mambo ya Zanzibar siyo ya muungano.
ZRA ndio kitu gani?HAkuna tra kuna zra
Nyerere sijui alikuwa na lengo gani kuutengeneza muungano wa namna hii.Huu Muungano huitaji degree kuukataa.
Hata kama hujui kusoma haufai kabisa.
Madokta na maprofesa wa Tanganyika Sijui wanafikiria nini kuhusu Muungano
Wanasema Ukabila na Udini. Watu 1.8 m kila Taasisi wanataka kumilikishwa. NECTA, KM, Msemaji wa White House, TRA, list goes on.Tukipiga kelele mnatukoromea
Hakuwaza kuna Kizazi kitakuja kuhoji .Nyerere sijui alikuwa na lengo gani kuutengeneza muungano wa namna hii.