Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimevuta picha ya mlevi wa kutegemewa nimebaki kucheka tu, yaani hapo wakiwa kwenye mkutano wao pub jamaa ndio Lionel Messimkuu usishangae hawa watu wapo huyu ukute akikimbia mezani basi wengine wote mpo hoi...🤣
mlevi wakutegemewa mambo yakimshinda nyie wengine jueni ndo mmeisha!
Upo vizuri sana[emoji23] hao ni walevi ambao hawana elimu,utu na ustaarabu
mtu anaekunywa pombe naimani ni mtu anaetakiwa ajimudu sana kisaikolojia ukishindwa hapo basi we hujiwezi, sijawahi kuyumba,kutukana mtu,kupiga mazogo kisa pombe kwanza nikiweka vyombo ndo nakuwa makini mno cv zishishuke mi nafikiri pombe inawatu wake!.
😀😀😀 aiseee.!Ubaya wa mlevi ni kuwa akilewa huwa anajihisi yuko makini ila sisi tunamuona ndo tunajua hali aliyonayo
Mshukuru Mungu amekuponya kakutoa kwenye icho kifungo cha uleviHabari za mda huu Wana Jf
Kuna Hali ya mabadiriko imenitokea Kwa kipindi Cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe
Niikiona pombe naikinai najisikia kutapika na sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa hivi karibuni imetokea ghafla tu watu walikuwa wananiaminia mno Kwa kulewa pombe ila saivi hata company zangu wananiona snitch kisa wakiniita naagiza CLUB SODA au ENERGY DRINK
Je hiyo ni Hali ya kawaida au Kuna Ujanja nmefanyiwa?
Nilishawahi itwa kunywa beer watu Wana beer 3 tatu Mimi Nina 14 nilifukuzwamkuu usishangae hawa watu wapo huyu ukute akikimbia mezani basi wengine wote mpo hoi...[emoji1787]
mlevi wakutegemewa mambo yakimshinda nyie wengine jueni ndo mmeisha!
Nawafia dada zenuWewe unafia nn
usinisifie kwenye pombe! tunajimaliza maini mkuu kuwa na adabu...🤣Upo vizuri sana
unioe tena broNaomba uje nikuoe sasa
dah! we kiboko!Nilishawahi itwa kunywa beer watu Wana beer 3 tatu Mimi Nina 14 nilifukuzwa