Mabadiliko ya kiuchumi yameathiri utoaji na ukusanyaji mikopo ya benki - Lawrence Mafuru

Mabadiliko ya kiuchumi yameathiri utoaji na ukusanyaji mikopo ya benki - Lawrence Mafuru

Matusi ya nini mjomba tiririka kwa hoja mama bibi baba wanahusika vp msomi mwenye cpa kweli unatukana kiasi hicho!!
 
kajiunge na taarabu tujue moja,usituletee mashudu yako humu,mbweha we!
Hivi ni hiki tuu ndo Ulichonanacho kichwani kweli? Hauna Chochote cha Kuchangia kwenye mjadala huu? Strange!
 
Hivi ni hiki tuu ndo Ulichonanacho kichwani kweli? Hauna Chochote cha Kuchangia kwenye mjadala huu? Strange!

strange indeed!kutusi watu hadi baba zao,mama zao,ndio umeona la kuweka humu,potea!shenzi we!
 
Hata Umri Pia hatulingani pia Nina Mda Mwingine wa Kuyapita Aliyoyafanya Kwani Nina possess similar qualification

Kuwa na CPA wakati pengine ulikariri tu vitu (rot learning) au uliiba mitihani haina maana kuwa you are qualified. You just have a CPA, a certificate which does not necessarily mean you are qualified. For one thing, you lack breadth like many CPAs I know. Nothing shows that you are as equally qualified as Mafuru, at least judging from what you write here everyday. You are just a troll, busy messing up JF discussions trolling for reactions.
 
Kuwa na CPA wakati pengine ulikariri tu vitu (rot learning) au uliiba mitihani haina maana kuwa you are qualified. You just have a CPA, a certificate which does not necessarily mean you are qualified. For one thing, you lack breadth like many CPAs I know. Nothing shows that you are as equally qualified as Mafuru, at least judging from what you write here everyday. You are just a troll, busy messing up JF discussions trolling for reactions.
Savage!
 
uchumi wa nchi umezidi kuporomoka bashite ndo mshauri mkuu unategemea nini zaidi ya zero
 
achana nae ana stress tu huyu..

vyeo alivyoshika mafuru hakuna mtu yeyote ukoo wao amewai kushika

ceo nbc.. hii huwez ipata kwa urahisi.. kuwa rais wa bamk kubwa kama nbc.

msajili wa hazina pia..

plus hiyo nafasi mpya ya hiyo benk

muulize yeye na cpa yake ana cheo gani

Kuwa na CPA wakati pengine ulikariri tu vitu (rot learning) au uliiba mitihani haina maana kuwa you are qualified. You just have a CPA, a certificate which does not necessarily mean you are qualified. For one thing, you lack breadth like many CPAs I know. Nothing shows that you are as equally qualified as Mafuru, at least judging from what you write here everyday. You are just a troll, busy messing up JF discussions trolling for reactions.
 
wewe na cpa yako umeshawahi kuwa ceo maishani mwako bank kubwa kama nbc??

je umeshawai kuwa msajili hazina..

unafanya kazi za mshahara less than a million net unasema upo juu ya mafuru mtu ambaye ameshika top level post...

Rebecca mpenzi wangu mbona huwa unanichukia na hata hunifahamu Utapata dhami kwa Mungu.
 
Labda wewe + Mama yako Mzazi+Baba yako+ Bibi yako aliyeoko Kaburini
Mnatukanana bure, na ni kwa kwa sababu mnachangia bila kutafakari yaliyo katika hoja. Hoja iko hapo juu, tena ktk video ambamo Mafuru anaongea. Hajasifu mfumo uliopita wa waajiriwa wa serikali na mashirika yake kupata posho za semina na safari; anachosema ni kuwa posho hizo zilikuwa chanzo muhimu cha kulipa mikopo ya mabenki. Kwa vile chanzo hicho kimeondolewa, wateja wa mikopo ya mabenki wameshindwa kulipa na mabenki yakayumba.
Hakuna Level ya Elimu ambayo Mafuru Kasoma Mimi Sijasoma zaidi

Wewe unakuna unatetea Ujinga Eti ana akili! Labda za kuwazidi wewe, Mama yako, na Baba yako.
Mnatukanana bure, na ni kwa kwa sababu mnachangia bila kutafakari yaliyo katika hoja. Hoja iko hapo juu, tena ktk video ambamo Mafuru anaongea. Hajasifu mfumo uliopita wa waajiriwa wa serikali na mashirika yake kupata posho za semina na safari; anachosema ni kuwa posho hizo zilikuwa chanzo muhimu cha kulipa mikopo ya mabenki. Kwa vile chanzo hicho kimeondolewa, wateja wa mikopo ya mabenki wameshindwa kulipa na mabenki yakayumba.
 
achana nae ana stress tu huyu..

vyeo alivyoshika mafuru hakuna mtu yeyote ukoo wao amewai kushika

ceo nbc.. hii huwez ipata kwa urahisi.. kuwa rais wa bamk kubwa kama nbc.

msajili wa hazina pia..

plus hiyo nafasi mpya ya hiyo benk

muulize yeye na cpa yake ana cheo gani
Wakati mwingine, ni vyema ukakaa kimya kama huna uhakika unachotaka kuandika hapa, hio nafasi sio mpya kwa Mafuru, alikuwa nayo kitambo tu, mara baada ya FBME kuwekwa kwenye uangalizi wa karibu wa BoT
 
je wewe umewai kushika u ceo popote level ya nbc au hazina??

usikimbie swali

Wakati mwingine, ni vyema ukakaa kimya kama huna uhakika unachotaka kuandika hapa, hio nafasi sio mpya kwa Mafuru, alikuwa nayo kitambo tu, mara baada ya FBME kuwekwa kwenye uangalizi wa karibu wa BoT
 
wewe na cpa yako umeshawahi kuwa ceo maishani mwako bank kubwa kama nbc??

je umeshawai kuwa msajili hazina..

unafanya kazi za mshahara less than a million net unasema upo juu ya mafuru mtu ambaye ameshika top level post...
Kila Kitu Kina Umri wake, Mda wake Kwani Mimi Niko Sawa Ki Umri na mafuru?
 
Back
Top Bottom