Mabadiliko ya kiuchumi yameathiri utoaji na ukusanyaji mikopo ya benki - Lawrence Mafuru

Mabadiliko ya kiuchumi yameathiri utoaji na ukusanyaji mikopo ya benki - Lawrence Mafuru

hoja ndio hiyo mikopo hailipiki sababu ya sera ya serikali.. je ni uongo??
Hivi unajua hata maana ya Sera ya Serikali? unaweza kutuambia Sera ya Serikali ya sasa ni ipi? au una copy tu kinachoandikwa na watu mitandaoni bila kukielewa
 
sibishani na wapenda ligi.... naomba usiniulize chochote tena..




Hivi unajua hata maana ya Sera ya Serikali? unaweza kutuambia Sera ya Serikali ya sasa ni ipi? au una copy tu kinachoandikwa na watu mitandaoni bila kukielewa
 
sibishani na wapenda ligi.... naomba usiniulize chochote tena..
sasa siku ingine kama umesoma andiko hapa, na kwamba ukawa hujui kilichoandikwa jipe nafasi kusoma na kuelewa kinachoandikwa na wengine, ili ujifunze, badala ya kukurupuka kuandika juu ya usioyajua.
 
Rebecca mpenzi wangu mbona huwa unanichukia na hata hunifahamu Utapata dhambi kwa Mungu.

People may not remember exactly what you did, or what you said, but they will always remember how you made them feel. By Maya
 
Mkuu acha Kuharibu Uzi wewe Toka Ujiunge Jamii Forums mwaka 2012 umeanzisha Thread Mbili tuu.
Umeambiwa ukijiunga JF ni kuanzisha Uzi? Afu unadiriki kusema ni msomi siku zingine kama huna cha kuandika tulia usome wenzio
 
Labda wewe + Mama yako Mzazi+Baba yako+ Bibi yako aliyeoko Kaburini

Hakuna Level ya Elimu ambayo Mafuru Kasoma Mimi Sijasoma Vizuri zaidi Mimi ni Mtaalamu wa Masuala ya Uhasibu na Fedha na Cheti chetu cha juu katika hii kada ni CPA/ACCA. Ni kweli kawazidi Akili Nyinyi waalimu wa Kiswahili na Historia.

Mafuru huyu huyu ndo aliopeleka Coma/ICU NBC it never recovered hadi Leo huyu huyu Kafanya Madudu Kibao hazina pale.

Wewe unakuna unatetea Ujinga Eti ana akili! Labda za kuwazidi wewe, Mama yako, na Baba yako.
be using this alternative formula to find the answer:
View attachment 509699
Nakuja Sasa hivi
Duh! Jamaa ana mikwara si ya kitoto, hadi ukaamua kumshushia na ma model. Sasa hilo model gani mkuu, probit au logit. Tehteh
 
Labda wewe + Mama yako Mzazi+Baba yako+ Bibi yako aliyeoko Kaburini

Hakuna Level ya Elimu ambayo Mafuru Kasoma Mimi Sijasoma Vizuri zaidi Mimi ni Mtaalamu wa Masuala ya Uhasibu na Fedha na Cheti chetu cha juu katika hii kada ni CPA/ACCA. Ni kweli kawazidi Akili Nyinyi waalimu wa Kiswahili na Historia.

Mafuru huyu huyu ndo aliopeleka Coma/ICU NBC it never recovered hadi Leo huyu huyu Kafanya Madudu Kibao hazina pale.

Wewe unakuna unatetea Ujinga Eti ana akili! Labda za kuwazidi wewe, Mama yako, na Baba yako.
be using this alternative formula to find the answer:
View attachment 509699
Nakuja Sasa hivi

Ungekuwa una elimu usingekuwa ccm
 
Don't tell lies! Did FBME go bankruptcy/insolvency? Ninavyojua

In finance and economics, liquidation is an event that usually occurs when a company is insolvent, meaning it cannot pay its obligations as and when they come due. The company's operations are brought to an end, and its assets are divvied up among creditors and shareholders, according to the priority of their claims.

-Creditors
-Taxes &Interest
-Preference shareholders are the first
-Ordinary shareholders

Kwanza inavyoonekana una matatizo ya akili nabishana na ndugu ya le mtumboz
 
He is poor man's FBME statutory Manager.
Bila Shaka we jamaa Una undugu na akina Bashite maana huwa unaongea utumbo ambao sijapata wahi ona... Bila Shaka Kichwa chako kitakuwa na hitilafu na ushauri wangu kwako ni ukakifanyie scanning "
 
Labda wewe + Mama yako Mzazi+Baba yako+ Bibi yako aliyeoko Kaburini

Hakuna Level ya Elimu ambayo Mafuru Kasoma Mimi Sijasoma Vizuri zaidi Mimi ni Mtaalamu wa Masuala ya Uhasibu na Fedha na Cheti chetu cha juu katika hii kada ni CPA/ACCA. Ni kweli kawazidi Akili Nyinyi waalimu wa Kiswahili na Historia.

Mafuru huyu huyu ndo aliopeleka Coma/ICU NBC it never recovered hadi Leo huyu huyu Kafanya Madudu Kibao hazina pale.

Wewe unakuna unatetea Ujinga Eti ana akili! Labda za kuwazidi wewe, Mama yako, na Baba yako.
be using this alternative formula to find the answer:
View attachment 509699
Nakuja Sasa hivi
Katika maisha kuna watu wa aina hii. Kwamba komote anapofanya kazi anafanya madudu. Lakini hafukuzwi anaishia kupata kazi nyingine bora zaidi ambako anaendelea kufanya mdudu, anaondoka kwenda kwingine kufanya madudu zaidi. Watu wa aina hiyo ni brilliant, sio wa kubeza. Namheshimu sana jamaa.
 
Bila Shaka we jamaa Una undugu na akina Bashite maana huwa unaongea utumbo ambao sijapata wahi ona... Bila Shaka Kichwa chako kitakuwa na hitilafu na nakushauri ukakifanyie scanning "

Much know sana anavojihis kumbe mjinga mjinga flan tu asiejitambua
 
Labda wewe + Mama yako Mzazi+Baba yako+ Bibi yako aliyeoko Kaburini

Hakuna Level ya Elimu ambayo Mafuru Kasoma Mimi Sijasoma Vizuri zaidi Mimi ni Mtaalamu wa Masuala ya Uhasibu na Fedha na Cheti chetu cha juu katika hii kada ni CPA/ACCA. Ni kweli kawazidi Akili Nyinyi waalimu wa Kiswahili na Historia.

Mafuru huyu huyu ndo aliopeleka Coma/ICU NBC it never recovered hadi Leo huyu huyu Kafanya Madudu Kibao hazina pale.

Wewe unakuna unatetea Ujinga Eti ana akili! Labda za kuwazidi wewe, Mama yako, na Baba yako.
be using this alternative formula to find the answer:
View attachment 509699
Nakuja Sasa hivi

wewe ndio mtaalam wa masuala ya uhasibu ?
 
Back
Top Bottom