Mabadiliko ya kiuchumi yameathiri utoaji na ukusanyaji mikopo ya benki - Lawrence Mafuru


hujui tulipoanzia na wewe,usidandie treni kwa mbele,huyu mkaka anapaswa kubadilika,unamtetea ngoja akiuchafue siku moja ndio utajua....................
 

tulishawazoea nyie na phd zenu fake za ku copy na ku paste tena za maganda ya ndimu, mnaona raaaha kujiita ma dokta wakati akili zenu na reasoning zenu zipo chiini zaidi ya nyumbu
 
huyu jamaa anazingua just in a common sense bank loans zina athirika na kwa kupungua posho. is this all that banks can do attain and increase incomes shit, this a weak statement!
 
hujui tulipoanzia na wewe,usidandie treni kwa mbele,huyu mkaka anapaswa kubadilika,unamtetea ngoja akiuchafue siku moja ndio utajua....................
Acha maneno weka ushahidi. Akinichafua nitamjibu kwa hoja zenye ushahidi kujisafisha na tuhuma zake.
 
Duh ukiunganisha akili zako na ukoo wako wote + bashite na yule makaptula hamumuwezi kwa uwezo Wa kiakili huyu mafuru
Mkuu to be honest analysis ya huyu jamaa ina mashaka. Yaani mabenki yabadili mifumo kwa sababu ya hizo posho za wafanyakazi na kumbi za mikutano?
Nilitegemea infrastructure zinazojengwa ndio zina impact ya kuongeza mzunguko wa pesa. Kitu kingine inabidi banks zijiongeze ktk mikopo riba ziko juu sana na kupata mkopo unazungumzia miezi 3 na zaidi sasa muda wote huo bado opportunity inakusubiri tu?

Nafikiri waingie kwenye kufinance miradi ya serikali kama Exim walivyotaka ku finance reli. Pia wajikite kwenye mortgages as well ambako ni salama zaidi.
 
Uyo jamaa kasema ukweli mtupu.Ukiwa na akili ndogo huwez kuelewa.
 
Naamini ni makosa ku'spam' uzi ambao unahitaji hoja za maana katika kuboresha mstakabali wa nchi yetu. Sina hakika wanaoharibu uzi ni 'wakenya'!
 

Pole sana ungekuwa unafuatilia habari mitandaoni ungeelimika sana, inaonekana kwa mtazamo wako habari zote zinazohusu fbme ni za uongo. Jisomee ndugu uongeze maarifa.

Tanzania revokes FBME licence, appoints liquidator
 
hujui tulipoanzia na wewe,usidandie treni kwa mbele,huyu mkaka anapaswa kubadilika,unamtetea ngoja akiuchafue siku moja ndio utajua....................
Weka hoja mezani.....tatizo mmetumwa bila kuandaliwa.......tuliosoma naye na kufanya naye kazi tunamjua vizuri...piga kimya
 
Mafuru ni katika baadhi ya walikuwa watumishi wa juu wa serikali waliosimamia falsafa za ukweli katika taaluma zao big up for that Mafuru!
Wengine wapo ktk falsafa za mkuu kasemaje kuhusu hili!!.. Duh!.
Si huyu huyu aliyeipeleka NBC ICU au unamsema mafuru mwingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…