[emoji120][emoji2536][emoji1][emoji1] kuna Mond na kuna Da'Vinci ... Differences n similarities! Me, myself n I! Nafsi tatu kwenye jumba moja!You're so Generous Sir[emoji120]
Nitajitahidi kufuata huu ushauri wako, Thank you so much, your kind gesture is definitely-much obliged Sir.
Wafahamu mimi si wahovyo, Nutalishika neno lako hili[emoji120]
Kufuta comments ni kuharibu mlolongo wa majadiliano. Nakipinga kwa nguvu zote hicho kitendo. Jukumu la kufuta waachie Mudiz wafute pale wakapoona inafaa ila sio wewe.Ndugu Max mimi naomba mniambie kwanini ni mimi peke yangu ndio napigwa Ban kila nikifuta Comments tena Ban zangu hua za kuanzia mwezi hadi miezi 7. Why only me?? Wakati sio mwenyewe ninaefuta michango. Kuna watu humu ni vinara wa kufuta Comments ila hawajawahi kupigwa ban ila mm nikifuta tu.. nakula ya miezi
Inauma sana[emoji20][emoji20][emoji17][emoji17]
View attachment 2239898View attachment 2239900
MtotoMie naomba updates ya JF iwepo, maana kila ukitaka ku update inakataa.
Jukwaa la wakubwa pia mlirudishe tafadhari Mr Melo.
Hahaha... Mnanifurahisha.
Nikiri, thread hii nitakuwa karibu nayo ili kuhakikisha kila maoni yanafanyiwa kazi.
Kufikia Jumatatu next week tutakuwa tumekamilisha kuweka fixes (kama zitahitajika).
Timu yetu itakuwa hapa kukuhudumia; ni furaha yetu kusikia toka kwako
Mbona mi sipati notification?
Kuna watu tunawablock ila bado wakianzisha mada twaona mada zao
Kwanini msiweke ukimtia mtu block usione mada yoyote anayoanzisha wala hata changizo zake zozote zile
Pia kwanini msituwekee uwezo wa kuzuia mada fulani, tusizione kabisa ie mada za kukashfu dini za wengine etc
Ana mbwela sana huyo lazima ni akili sinaWe achaa... Nae kuna mmoja simuelewii...
Ngoja nae tumfwatilie kesho tukusanye taarifa zakee
How about now? Refresh 😎Binafsi JF ninayotumia kwenye google search ni nzuri ina features zaidi na fasta kuliko app yenu, kwa nini inakiwa hivyo?, Naona mjikite kujua na kusolve hilo.
Hii imekaa vizuri. Maana hata mimi mara nyingi hutaka kuuliza vitu fulani fulani lkn huona tabu kuanzisha uzi kwa kuuliza jambo dogo tu.Ningeomba kuwe na jukwaa ambalo mtu akitaka taarifa fulani aweze kupost kwenye hilo jukwaa, kuliko kila mtu akiwa na uhitaji fulani wa kitu au taarifa anafungua uzi mpya.
Mtu unataka kujua labda kitu fulani kinauzwa kiasi gani, au umepotea njia unaulizi au neno fulani limekutatiza au taarifa yoyote ambayo mtu angependa kuipata, badala ya kufungua uzi basi kuwe na jukwaa ambalo anaweza kupata hio taarifa yake.
We ndio umeongea aisee..Mie naomba updates ya JF iwepo, maana kila ukitaka ku update inakataa.
Jukwaa la wakubwa pia mlirudishe tafadhari Mr Melo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afu Melo sisi kama Jf tunaomba live interview na diwani wa kawe
Interview itaongozwa na Mrangi
Hili nalo nakazia. Na ku edit kichwa cha post.Kuwe na option ya kufuta Uzi kwa aleanzisha
Ndyooooooh [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]We ndy umeuliza kitu cha msingi sana
Ova
Ni kweli natumia App. Ndo maana namwambia atuangalie na sisi wa App.Ukiona hivyo ujue unatumia App
Abeeeh dada, miss u, [emoji6][emoji6][emoji6]Mtoto