Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maxence Melo tunashukuru kwa maboresho...je itatupa uwezo android users kufungua attachments? maana nalo ni tatizoMkuu, JF inakuwa sehemu bora sababu watu kama wewe mpo.
JF ni mimi na wewe
Wazo zuri sana hili ONGERA mkuu.Mhhhhh... Nadhani tufikirie nje ya box. Tunaweza tengeneza solution ya kusaidia graduates kupata kazi na kuwaunganisha na wenye uhitaji wa watu wa fields husika.
Unalionaje pendekezo hili?
[emoji23][emoji23]Baadae upige hatua,pawe na jukwaa la ujumbe wa sauti sometimes twende live kunawatu wana google vingereza humu kuandika.
Naunga mkono hoja👏👏Tunayasubiri kwa hamu kubwa hayo maboresho.
Kingine mjitahidi kuzingatia maadili. Lugha za matusi na zisizo za kistaarabu zimeshamiri sana. Watu wanatukana matusi mazito sana humu. Lifanyieni kazi.
KabisaMr Mexence Melo naomba mtusaidie sisi wazee wa tecno tuweze kuona picha na video isiwe lazima mpaka kuingia kwenye Chrome.
Tunaangaika mno kuona picha za kwenye mada mbalimbali humu ndani.
Waturudishie Jukwaa letu lileeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo majukwaa yapo kitambo mbona
[emoji23][emoji23][emoji23]jmnAfu Melo sisi kama Jf tunaomba live interview na diwani wa kawe
Interview itaongozwa na Mrangi
Ahahaha sas jmn mpwayungu ndio amekukwaza Kia's hikiHuyu Mpwayungu kaanzisha uzi afu kakimbia...
Watu kama hawa wahesabike kama wasaliti
Mond please ishi maisha yako! that's the best I can tell you! Usijaribu kulinganisha tafadhali.. Utaishia kuumia tuu, utalinganisha vingapi kwenye maisha? Never mind about JF for a moment then njoo kwenye real life.. Unaweza kujikuta you are a public enemy!Najitahidi kushika taratibu zote ni hiyo tu ninayoivunja. Mkuu kulinganisha Lazima nilinganishe ndio Maana hata jukwaa la siasa limejaa nyuzi zinazolinganisha utebdaji kazi wa JPM na SSH. By nature unajua all things must be on equilibrium, Vitu haviwezi kua kwenye mlingano bila kufanyika Comparing ndio maana kuna Uzuri na ubaya, kushoto na kulia, Usiku na mchana.
Lazima nilinganishe sababu haiwezekani mimi nipewe Ban kwa kosa hilo lakini wengine kwao sio kosa, huoni hapo kuna Double Standard.
Kwakweli pole na samahani kwa kilichotokea, kwa sasa sifanyi hivyo tena. Labda kwa michango ya One year ago. Kuna wakati unakuta uliwahi kuandika mataputapu so inabidi nifute tu. Mana najua hasara yake
Au wewe huna swali lolote kwa mh diwani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila Ashura
Tapatalk will be DISABLED kabisaMimi natumia App kupitia Tapatalk, huko pia kuna App mpya?