Donald Marcus Hemu
JF-Expert Member
- May 14, 2019
- 372
- 535
Haya mabadiliko sisi kama watumiaji tumeyabariki kwa moyo wote ila yasiathiri utendaji wa jamii forum na free basics
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True kuna majina humu ni balaaWe Melo,
Kunawatu humu majinayao muyabadilishe kama mnaweza,ilitusionekane tunatukana kwa mfano jina "chinembe" kibantu bantu linatafsirika kirahisi, mtu anaweza kuchafua haliyahewa humu kwa hoja kihoja ukimlinganisha na jinalake eti unakula ban, this is not fair.
Usiwe unafuta sasaAhsante sana Sophy. Ukiona nimepigwa Ban tu ujue sababu ni hiyo[emoji20]
Ana matusi balaa coz anajua akipigw ban ana backup ya multiple ID[emoji28][emoji28] hatauyo Gentamycin hana baya.
Ndo nililosema mie hili.sio siri watumuaji wa app mmetutenga san lkn kwa ulimwengu wa mitandao ya kijamii wa sasa app ni rahis na inapendwa zaidi kuliko web.
.
so jitaifin kuleta updates kwenye app original sio ile webapp...
Mm mwenyew nimelimwa ban kwenye Uzi wa akili sina bila sababu Wal onyo loloteAppeal system itaboreshwa.
Nakuelewa mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baadae upige hatua,pawe na jukwaa la ujumbe wa sauti sometimes twende live kunawatu wana google vingereza humu kuandika.
Sawa haina shidaDa'Vinci ukiweza kubali maonyo wala huna haja ya kushupaza shingo na kujaribu kufanya ulinganifu wa hiki na kile.. Ukiweza badilika na usifute comments zako za nyuma.. Fuata kanuni, sheria na taratibu za JF uone kama utapigwa ban yoyote.. Just OBEY N FOLLOW THE RULES! That
Kwakweli pole na samahani kwa kilichotokea, kwa sasa sifanyi hivyo tena.Pole kwa tatizo lako ila kiukweli hata mimi kuna siku ulinifutia comment nikaonekana kama najisemesha
Sio mchongo kwa kweli
Hayo majukwaa yapo kitambo mbonaNews mpya za kila siku ziwe na muonekano au rangi tofauti ili ziweze kusomeka kwa urahisi.
2. Punguzeni Ban
3. Lianzishe jukwaa la wapendanao ili vijana walitumie kupata marafiki wa kuoana/ kuoa
4. Lianxishe jukwaa la kazi na ajira tu kwa ajili ya vijana ambao ni kundi kubwa
Kumzuiya mtu kuwa na multiple accounts ni sawa kabisa, lakini sijui wata fanyaje kwa mtu mwenye cm zaidi ya moja.Ana matusi balaa coz anajua akipigw ban ana backup ya multiple ID
Jamaa ana account zaid ya 4
Hili la muhimu Sana onyo KwanzaUshauri wangu,wekeni option ya kumfanya member aweze kupewa warning kabla hajapigwa BAN ili ajue ajirekebishe vipi.
Wengi humu hawako comfortable na id zao wanazotumia sasa kutokana na walipigwa life ban Id zao za zamani kutokana mods kuhisi hisi watu hovyo,watu tunawasiliana PM kwa mambo ya maana siku mods akiamka vibaya mtu anakula life ban ukihitaji urudi PM ktk acc yako kuangalia yale mliyoshauriana na member mwenzio uyafanyie kazi ktk maisha halisi huwezi tena ku-access chochote.
Ni ushauri tu nimetoa.