Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

Ndugu Max mimi naomba mniambie kwanini ni mimi peke yangu ndio napigwa Ban kila nikifuta Comments tena Ban zangu hua za kuanzia mwezi hadi miezi 7. Why only me?? Wakati sio mwenyewe ninaefuta michango. Kuna watu humu ni vinara wa kufuta Comments ila hawajawahi kupigwa ban ila mm nikifuta tu.. nakula ya miezi
Inauma sana😞😞😔😔
View attachment 2239898View attachment 2239900
Pole kwa tatizo lako ila kiukweli hata mimi kuna siku ulinifutia comment nikaonekana kama najisemesha

Sio mchongo kwa kweli
 
Wakuu,

Tupo kwenye hatua za mwisho kuja na JF yenye mwonekano mpya ambayo inaendana na mabadiliko ya teknolojia. Ndani ya saa 72 zijazo mabadiliko haya yataonekana kwa wengi.

Katika mabadiliko haya, huenda ukakutana na kitu kikakufurahisha, kikakuchanganya, kikakufanya uone kuna haja ya kuongeza au kupunguza n.k - usisite kutujulisha kupitia uzi huu.

Thread hii itatumika kukusanya maoni yenu na yatazingatiwa ajili ya kujenga sehemu bora na salama zaidi kwa ajili ya kila mmoja wetu.

Kwa wale watumiaji wa App, tunashauri kujaribu App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi kwani itaendana vema zaidi na kinachokuja.

Tunawashukuru kwa ushirikiano mnaotupa kila mara kwani hadi toleo hili ni tokana na maoni yenu.

Kutakuwa na features kadhaa hazitakuwa released mapema hadi zikamilike kufanyiwa testing ndipo ziwe applied.

Tunawapenda, tunawajali na tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora.

Asanteni sana!
Mkuu,
Hongera sana kwa kazi nzuri ya kuwaunganisha great thinkers.

Naomba Option hii iwepo, mwanzilishi wa uzi awe na uwezo wa kuzuia comments kwenye uzi wake hususani kwa zile nyuzi zenye mtiririko maalum.
 
Ndugu Max mimi naomba mniambie kwanini ni mimi peke yangu ndio napigwa Ban kila nikifuta Comments tena Ban zangu hua za kuanzia mwezi hadi miezi 7. Why only me?? Wakati sio mwenyewe ninaefuta michango. Kuna watu humu ni vinara wa kufuta Comments ila hawajawahi kupigwa ban ila mm nikifuta tu.. nakula ya miezi
Inauma sana[emoji20][emoji20][emoji17][emoji17]
View attachment 2239898View attachment 2239900
Da'Vinci ukiweza kubali maonyo wala huna haja ya kushupaza shingo na kujaribu kufanya ulinganifu wa hiki na kile.

Ukiweza badilika na usifute comments zako za nyuma.. Fuata kanuni, sheria na taratibu za JF uone kama utapigwa ban yoyote.. Just OBEY N FOLLOW THE RULES! That much simple my young brother!
 
Ndugu Max mimi naomba mniambie kwanini ni mimi peke yangu ndio napigwa Ban kila nikifuta Comments tena Ban zangu hua za kuanzia mwezi hadi miezi 7. Why only me?? Wakati sio mwenyewe ninaefuta michango. Kuna watu humu ni vinara wa kufuta Comments ila hawajawahi kupigwa ban ila mm nikifuta tu.. nakula ya miezi
Inauma sana[emoji20][emoji20][emoji17][emoji17]
View attachment 2239898View attachment 2239900
Polesana
 
Ushauri wangu,wekeni option ya kumfanya member aweze kupewa warning kabla hajapigwa BAN ili ajue ajirekebishe vipi.

Wengi humu hawako comfortable na id zao wanazotumia sasa kutokana na walipigwa life ban Id zao za zamani kutokana mods kuhisi hisi watu hovyo,watu tunawasiliana PM kwa mambo ya maana siku mods akiamka vibaya mtu anakula life ban ukihitaji urudi PM ktk acc yako kuangalia yale mliyoshauriana na member mwenzio uyafanyie kazi ktk maisha halisi huwezi tena ku-access chochote.

Ni ushauri tu nimetoa.
Mkuu Maxence Melo huu ushauri wa kupewa onyo kabla ya kupigwa bani hebu uchukueni.

Mdau ameeleza vizuri, JF kuna watu wanaitumia kuwasiliana PM kwa mambo ya maana sana.

Siku hazifanani, unaweza kukosea kidogo ukapigwa ban, bila hata onyo au taarifa yoyote.

Vitu vyote vilivyoko PM huwezi kuvipata tena. Hili angalieni jinsi ya kuliweka sawa.

Walau mtu akipigwa ban ashindwe kuanzisha mada, kutoa maoni n.k. ila aruhusiwe kuperuzi.
 
We Melo,
Kunawatu humu majinayao muyabadilishe kama mnaweza, ilitusionekane tunatukana kwa mfano jina "chinembe" kibantu bantu linatafsirika kirahisi, mtu anaweza kuchafua haliyahewa humu kwa hoja kihoja ukimlinganisha na jinalake eti unakula ban, this is not fair.
 
Kuna jukwaa linaitwa jukwaa la wakubwa, naomba pamoja na mengine maboresho haya yaweke urahisi wa jukwaa hilo kufikika kirahisi, maana mpaka sasa sijajua wanaopaswa kushiriki kwenye hilo jukwaa wanatakiwa kuwa na vigezo gani.
Kwani lipo? Si walishafuta?
 
sio siri watumuaji wa app mmetutenga san lkn kwa ulimwengu wa mitandao ya kijamii wa sasa app ni rahis na inapendwa zaidi kuliko web.
.
so jitaifin kuleta updates kwenye app original sio ile webapp...
 
Back
Top Bottom