Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

Jukwaa la wakubwa jitahidi mkuu Melo uliweke kinamna fulani tunakosa madelini
 
Baadae upige hatua,pawe na jukwaa la ujumbe wa sauti sometimes twende live kunawatu wana google vingereza humu kuandika.
Kwamba tusiojua viingereza niaje sijapenda [emoji23][emoji23]
 
Tapatalk will be DISABLED kabisa
Kikubwa hiyo App mpya iwe nzuri.

Nilihamia Tapatalk sababu ya kupata tatizo la notifications, na kuzitfuta ilikuwa vigumu.

Tapatalk notification hata nisipoipata ila nikitembea section yake nitaipata.

Sina budi kuwa tayari kwa haya mabadiliko
 
Mond please ishi maisha yako! that's the best I can tell you! Usijaribu kulinganisha tafadhali.. Utaishia kuumia tuu, utalinganisha vingapi kwenye maisha? Never mind about JF for a moment then njoo kwenye real life.. Unaweza kujikuta you are a public enemy!

The most important person in life is YOU! yourself! The rest are beyond your control! Be YOU! Utaishi kwa amani na furaha sana . halafu iachie hadhira ikuhukumu..kukupenda ama kukuchukia but you must remain to be you! Hutopendwa na wote hutachukiwa na wote . Ila popote utakapokuwa jitahidi kufuata kanuni na sheria.. Jitahidi mno kufuata kitu kinaitwa T&C
You're so Generous Sir🙏
Nitajitahidi kufuata huu ushauri wako, Thank you so much, your kind gesture is definitely-much obliged Sir.
Nitalishika neno lako hili🙏
 
Kuwe na option ya kufuta Uzi kwa aleanzisha


CC: Da'Vinci
 
Mond please ishi maisha yako! that's the best I can tell you! Usijaribu kulinganisha tafadhali.. Utaishia kuumia tuu, utalinganisha vingapi kwenye maisha? Never mind about JF for a moment then njoo kwenye real life.. Unaweza kujikuta you are a public enemy!

The most important person in life is YOU! yourself! The rest are beyond your control! Be YOU! Utaishi kwa amani na furaha sana . halafu iachie hadhira ikuhukumu..kukupenda ama kukuchukia but you must remain to be you! Hutopendwa na wote hutachukiwa na wote . Ila popote utakapokuwa jitahidi kufuata kanuni na sheria.. Jitahidi mno kufuata kitu kinaitwa T&C
Ushauri mzuri Sana
 
Tunapendekeza kuwe na mijadala live kwa kutumia sauti zetu.. Kama ilivyo kwa SPACE..
Vile vile baadhi ya user hatupati notification..
 
You're so Generous Sir[emoji120]
Nitajitahidi kufuata huu ushauri wako, Thank you so much, your kind gesture is definitely-much obliged Sir.
Wafahamu mimi si wahovyo, Nutalishika neno lako hili[emoji120]
Neno kubwa mno sio jf tu hta kwenye maisha ya kawaida
 
Maxence Melo dislike/downvote 👎 button ni muhimu sana ka mkubwa. Mimi kwangu naona ndio pungufu kubwa hapa JF.
No that way. Maana uki dislike still utaona "five people liked so and so". Like na dislike ziwe two separate buttons. Kwamba kama sijapenda na downvote moja kwa moja na sio mpaka ni click-hold like button kisha nichague emoticon.
 
Back
Top Bottom