Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

All the best. Naona mabadiliko mwonekano unapendeza.
 
Inatakiwa wakulime japo ya mwaka.
Wenzio wote hawafutifuti hovyo kama wewe Vinci.

Ulishaambiwa wewe ni bingwa wa kuharibu flow ya mada,bado unauliza tena kitu kilekile!


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Mi ningeomba msamehe zile ID zilizokula life ban tuanze upya.
 
Maxence Melo kuna watu wao kazi ya ni kucheka tu kwenye Uzi, hata kama jambo alichekeshi, wapeni onyo. Alaf pia kuna wegine ni midume ila inatumia ID za kike, hao wapigwe ban
 
Mapendekezo yangu huenda nikawa nje ya uzi.
1. Tv ya jf iliiuwaje mkuu.
2. Jf mna page zenu mitandao mingine
Mfano tweeter..huko mna habarisha,
Kwanini humu hakuna page yenu maalum
Kwa ajili ya kuleta habari zilizo confirmed na vyanzo vingine?
 
Hili sasa ni janga karibu kila mtu
 
Majukwaa yatajaa so hayatakuwa na maana.
 
Wee sis yote haya khaaaah. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora wafanye inaonyesha android au iphone kidogo hii inapunguza makali kuliko kunitajia techno yangu hii kitu inaumiza Sana , unashindwa hata kuandika kitajiri (kuvimba)

Kwanza madam nisaidie kuangalia inaonekana techno yangu hapo chini
Haionekan sir, [emoji23][emoji3][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…