cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Duuuh japo sio sawaa.Ibaki kama ilivyo sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh japo sio sawaa.Ibaki kama ilivyo sasa
Hata hii nayo kuna kipindi inagoma mkuuTumia browser kwa muda kidogo mkuu. Actually bora utumie hii App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi na utaona utofauti after the release.
Labda mna staff wachache...watu wanaripoti lkn hatua haichukuliwi kwa wakati.JF itakuwa sehemu salama endapo utatusaidia kutumia REPORT button kwa uzuri. Usiache kutuarifu ili tuchukue hatua
Naona uhuru umezidi.Kwa uzi huu Mello upigwe ban japo ya 12 hrs kuonesha tupo serious.Why majaribio ?fanyeni vitu kwa uhakika
Hutaki tujue umetumia jembe la TECNO CD7? 😂Hatutaki ziwe zinaonekana aina za simu haswa hizi simu za wanyonge infinix na Tecno kama hapo chini ukipublish tuu
Pia ukituma iphone huoni kitu kama hicho
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Jambo la muhimu kabisa mnatakiwa kuweka namna ambayo mtu akimblock mtu mwenye lugha mbaya uliyemblock anakuwa haoni contents zake na wewe houni zake kabisa.Wakuu,
Tupo kwenye hatua za mwisho kuja na JF yenye mwonekano mpya ambayo inaendana na mabadiliko ya teknolojia. Kwa wanaohitaji kuwa sehemu ya majaribio, mnakaribishwa...
Katika mabadiliko haya, huenda ukakutana na kitu kikakufurahisha, kikakuchanganya, kikakufanya uone kuna haja ya kuongeza au kupunguza n.k - usisite kutujulisha kupitia uzi huu.
Thread hii itatumika kukusanya maoni yenu na yatazingatiwa ajili ya kujenga sehemu bora na salama zaidi kwa ajili ya kila mmoja wetu.
Kwa wale watumiaji wa App, tunashauri kujaribu App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi kwani itaendana vema zaidi na kinachokuja.
Tunawashukuru kwa ushirikiano mnaotupa kila mara kwani hadi toleo hili ni tokana na maoni yenu.
Kutakuwa na features kadhaa hazitakuwa released mapema hadi zikamilike kufanyiwa testing ndipo ziwe applied.
Tunawapenda, tunawajali na tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora.
Asanteni sana!
Tuko pamoja,Tunawapenda, tunawajali na tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora.
Niko tayari kuwa sehemu ya majaribio.Kwa wanaohitaji kuwa sehemu ya majaribio
Utachomwa na spoku jichoni.Kuwa makini.front seat melo
Ili mlifanyeje hilo jukwaa?Muanze mambo yenu ya katerero?Wahaya tupewe jukwaa letu
haaaaaa...Mnapofuta nyuzi muwe mnatoa na sababu juzi tu hapa nililalamikia wadada wanao inama kama ngamia wakiwa sita kwa sita badala ya kubinuka binu!..
Uzi ukafutwa sababu sikupewa!
Ahsante nanyinyi kwa ushirikiano wenu jf for life.
Pm za browser tunaomba mrudishe kipengele cha ‘kick out’Utasema unaonaje changes baada ya release.
Nimelazimika kutoa taarifa mapema ili watu msione tumewashtukiza.