Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Max Melo unaupiga mwingi. Big up sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasema unaonaje changes baada ya release.Boresheni pm, hii chatting yake imekaa kizaman sana
Hata usijali, nayo ina mapinduzi yake yanakuja ingawa teknolojia inakoelekea ule mfumo unahitaji kuwa revisited.Duuh! Me nimeiziea app sijui itakuwaje
Sawa mkuu hongereni, ngoja tusubiri!Utasema unaonaje changes baada ya release.
Nimelazimika kutoa taarifa mapema ili watu msione tumewashtukiza.
Mkuu, JF inakuwa sehemu bora sababu watu kama wewe mpo.Jf naikubali sana
Mkuu hiyo nenda kwenye setting signature then toaHatutaki ziwe zinaonekana aina za simu haswa hizi simu za wanyonge infinix na Tecno kama hapo chini ukipublish tuu
Pia ukituma iphone huoni kitu kama hicho
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Kama unaposti na wewe vumilia kuona na kusoma posti za wengine.Mbona mi sipati notification?
Kuna watu tunawablock ila bado wakianzisha mada twaona mada zao
Kwanini msiweke ukimtia mtu block usione mada yoyote anayoanzisha wala hata changizo zake zozote zile
Pia kwanini msituwekee uwezo wa kuzuia mada fulani, tusizione kabisa ie mada za kukashfu dini za wengine etc
AminaMkuu, JF inakuwa sehemu bora sababu watu kama wewe mpo.
JF ni mimi na wewe