Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Users wengi ni fake id's sioni haja ya kublock these ID'sMbona mi sipati notification?
Kuna watu tunawablock ila bado wakianzisha mada twaona mada zao
Kwanini msiweke ukimtia mtu block usione mada yoyote anayoanzisha wala hata changizo zake zozote zile
Pia kwanini msituwekee uwezo wa kuzuia mada fulani, tusizione kabisa ie mada za kukashfu dini za wengine etc
Usimtese mtu anayekupa bure. Wewe pambana upate simu za Apple 🍎Hatutaki ziwe zinaonekana aina za simu haswa hizi simu za wanyonge infinix na Tecno kama hapo chini ukipublish tuu
Pia ukituma iphone huoni kitu kama hicho
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Mkuu,Mimi Naomba like yako tu basi nitaridhikaMkuu, JF inakuwa sehemu bora sababu watu kama wewe mpo.
JF ni mimi na wewe
Wakuu,
Tupo kwenye hatua za mwisho kuja na JF yenye mwonekano mpya ambayo inaendana na mabadiliko ya teknolojia. Ndani ya saa 72 zijazo mabadiliko haya yataonekana kwa wengi.
Katika mabadiliko haya, huenda ukakutana na kitu kikakufurahisha, kikakuchanganya, kikakufanya uone kuna haja ya kuongeza au kupunguza n.k - usisite kutujulisha kupitia uzi huu.
Thread hii itatumika kukusanya maoni yenu na yatazingatiwa ajili ya kujenga sehemu bora na salama zaidi kwa ajili ya kila mmoja wetu.
Kwa wale watumiaji wa App, tunashauri kujaribu App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi kwani itaendana vema zaidi na kinachokuja.
Tunawashukuru kwa ushirikiano mnaotupa kila mara kwani hadi toleo hili ni tokana na maoni yenu.
Kutakuwa na features kadhaa hazitakuwa released mapema hadi zikamilike kufanyiwa testing ndipo ziwe applied.
Tunawapenda, tunawajali na tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora.
Asanteni sana!
Hapa na mie nakazia, watoe hii hali sio nzuri. Wafute kabisaa.Hatutaki ziwe zinaonekana aina za simu haswa hizi simu za wanyonge infinix na Tecno kama hapo chini ukipublish tuu
Pia ukituma iphone huoni kitu kama hicho
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] khaaaaahMnapofuta nyuzi muwe mnatoa na sababu juzi tu hapa nililalamikia wadada wanao inama kama ngamia wakiwa sita kwa sita badala ya kubinuka binu!..
Uzi ukafutwa sababu sikupewa!
Ahsante nanyinyi kwa ushirikiano wenu jf for life.
Nakazia.Niweke neno kwa Melo kabla hamjapiga watu ban wapewe nafasi ya kusikilizwa na kuonywa ikiwezekana.