Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

Mbona mi sipati notification?

Kuna watu tunawablock ila bado wakianzisha mada twaona mada zao

Kwanini msiweke ukimtia mtu block usione mada yoyote anayoanzisha wala hata changizo zake zozote zile

Pia kwanini msituwekee uwezo wa kuzuia mada fulani, tusizione kabisa ie mada za kukashfu dini za wengine etc
Users wengi ni fake id's sioni haja ya kublock these ID's

mawazo yangu.
 
Boss maombi yangu kwenu.

Naomba kuwe na algorithm ambayo itaweza deduce ni contents gani unaziangalia mara nyingi hivyo uwe unaletewa contents ambazo hazitakufanya uwe unarefresh over and over just kupata kitu kipya.

Kwa sasa hivi unaweza kuta Id moja ina nyuzi zake nne zipo kwenye user interface, ukirefresh, bado zinakuja za Id hiyo hiyo. Bahati mbaya waweza kuta hiyo Id hua inaandika miyeyusho day in day out.

Najua kuna ignore button ila ukimuignore mtu ikatokea siku kwa bahati mbaya au nzuri kaandika contents unazozielewa hautaweza ona.

Natanguliza shukrani.
 
Wakuu,

Tupo kwenye hatua za mwisho kuja na JF yenye mwonekano mpya ambayo inaendana na mabadiliko ya teknolojia. Ndani ya saa 72 zijazo mabadiliko haya yataonekana kwa wengi.

Katika mabadiliko haya, huenda ukakutana na kitu kikakufurahisha, kikakuchanganya, kikakufanya uone kuna haja ya kuongeza au kupunguza n.k - usisite kutujulisha kupitia uzi huu.

Thread hii itatumika kukusanya maoni yenu na yatazingatiwa ajili ya kujenga sehemu bora na salama zaidi kwa ajili ya kila mmoja wetu.

Kwa wale watumiaji wa App, tunashauri kujaribu App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi kwani itaendana vema zaidi na kinachokuja.

Tunawashukuru kwa ushirikiano mnaotupa kila mara kwani hadi toleo hili ni tokana na maoni yenu.

Kutakuwa na features kadhaa hazitakuwa released mapema hadi zikamilike kufanyiwa testing ndipo ziwe applied.

Tunawapenda, tunawajali na tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora.

Asanteni sana!

Mpaka chizcom kuwa sema na mood wako kufuta ukweli
 
Mkuu tunashukuru sana,

Ila kwangu jamiiforum app haileti notifications kwa wakati,

Nalazimika kutumia browser
 
Mnapofuta nyuzi muwe mnatoa na sababu juzi tu hapa nililalamikia wadada wanao inama kama ngamia wakiwa sita kwa sita badala ya kubinuka binu!..
Uzi ukafutwa sababu sikupewa!

Ahsante nanyinyi kwa ushirikiano wenu jf for life.
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] khaaaaah
 
Back
Top Bottom