Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

Muonekano mbaya mnooo too faint 100% wa kwanza ni much better. Hata ikifungua inaonyesa thread moja mpaka u scrow down iliyopita zilikua zikionekana zaidi 4.
 
Imani yangu watayasikiliza maoni ya watumiaji maana wengi muonekano huu haujawapendeza.
 
Kama kichwa kinavyosema.
Kwa kweli mmeharibu muonekano na majukwaa.
Unajua hata makampuni makubwa kama CocaCola, Pepsi, Nike, Adidas, Barclays etc. huwa hayabadili logo wala UI mbali na ilivyokuwa awali. Sababu kubwa ni biashara. Kwa mabadiliko haya mlioweka, mtatutopoteza wengi ambao hatupendi kulazimisha mambo. Rudisheni muonekano wa zamani tulioupenda.
Mngekuwa hata mnaongeza vitu bila kubadili muonekano sana.
Muda hautoshi. Naishia hapa.
 
JF uongozi.
Kwa heshima na taadhima naomba msikilize mtoa mada.

Hii iko bomba sana. Ya sasa
 
Watu awaitaki ii new interface si mtusikilize wateja wenu au na ili ni swala la katiba mpya
 
Muonekano mpya si rafiki, Muonekano wa awali uliniwezesha kupata heading nyingi kwenye screen ya simu yangu.

Hakukuwa na usumbufu wa ku scroll ili kusoma headings nyingine kama ilivyo sasa.
Nilitaka kuandika hili. Warekebishe maana ni kero mno kuscroll just for titles. Maxence Melo
 
Chondechonde Maxence Melo mabadiliko yako yasije kuhusisha pesa tu,ila mode ya zamani kabla ya hii mpya uliyoiweka ilikuwa ni nzuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…