Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Tunaomba picha mwonekano mpya wa jf mkuu ,...!
Ni swala la muda ila mtazoea tu
Ni swala la muda ila mtazoea tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaleta mambo ya asha ngedereBan iwe na charges...ili mtu arudishwe alipie kiasi flani lets say 10,000 au 20,000 hapo atajifunza. Na kabla hajalipia kuwe na notification kwake yenye kosa lake ni nini na chini ya hiyo notification yenye kosa kuwepo na summary ya makosa yote ambayo mtu akiyafanya anakuwa banned. Hiyo itakuwa somo zuri sana kwa offenders...kwanza kumlipisha itamuuma na pia itachangia maendeleo ya JF na pili ile notification ya makosa ataiweka kichwani kama sala ya bikira maria.
Uko sawa aisee?Ban iwe na charges...ili mtu arudishwe alipie kiasi flani lets say 10,000 au 20,000 hapo atajifunza. Na kabla hajalipia kuwe na notification kwake yenye kosa lake ni nini na chini ya hiyo notification yenye kosa kuwepo na summary ya makosa yote ambayo mtu akiyafanya anakuwa banned. Hiyo itakuwa somo zuri sana kwa offenders...kwanza kumlipisha itamuuma na pia itachangia maendeleo ya JF na pili ile notification ya makosa ataiweka kichwani kama sala ya bikira maria.
Usijali, ile option ya ku-ignore certain forums inafanyiwa marekebisho. Utaona soon kuwa hizo threads toka such forums hazionekani tenaMada nyingi zinazo trend nisizozipenda na inafungukia hapo jf.
Umedokeza jambo muhimu. Nikiri kuwa maoni yako yatasaidia kuboresha.Kama lengo la uboreshwaji pia ni wenye uono mdogo waweze kunufaika pia ni jambo zuri..changamoto yangu ni kule chinii mwishoni nikitaka kwenda next list of thread ni mpaka nirudi juuuuu😁😁😁 ndipo niweze kunext...sijajua kama kuna mwingine ana hii changamoto maana kwa ile iliyokuwepo pale mwishoni ukitaka kwenda next mwsho kuna mishale tu unaclick unatembea mbele..natumia web version kwenye chrome.shukran
Ndugu, wewe nadhani unaongelea APP (native). Soma vema 1st post naamini ina kitu kwakoShida kwangu ni notifications, huwa sizipati
Birthday party ya Baba Levo leo kila kitu amegharamia Diamond Platinumz.kumpa offer mtoto wa kiume?
JF ina option hiyo 😊mi naomba Jf iende ifike mahala tuwe na option ya kuwa portal zetu wenyewe kama ilivyo Facebook na zinginezo... where we can login using genuine userID's.
Ukiwa wapi mkuu wangu?Mkuu Maxence Melo mshale wa next thread kwangu siupati. Au bado maboresho yanaendelea?
Option ya settings siioni, mfano kuondowa hizo makitu mtu asijuwe unatumia device gani, signature na page setting, sioni option ya kuseti the way unataka.Ndugu, wewe nadhani unaongelea APP (native). Soma vema 1st post naamini ina kitu kwako
Option ya settings siioni, mfano kuondowa hizo makitu mtu asijuwe unatumia device gani, signature na page setting, sioni option ya kuseti the way unataka.Ndugu, wewe nadhani unaongelea APP (native). Soma vema 1st post naamini ina kitu kwako
Karibu 🤝Mimi sijaingia kitambo ghafla nakutana na muonekano mzuri, binafsi nimeupenda
Mkuu, hapa nadhani unaongelea App.Option ya settings siioni, mfano kuondowa hizo makitu mtu asijuwe unatumia device gani, signature na page setting, sioni option ya kuseti the way unataka.
Mbona hii ninayotumia nimeinstall kupitia chrome then JF then ndio nikainstall? Naelewa vizuri ila sion option ya settings.Mkuu, hapa nadhani unaongelea App.
Settings zipo… Tutafungua a special thread ya App maana nayo tupo kwenye ukarabati wake.
Meanwhile, jaribu hii App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi
Anhaa, chini kuna sehemu imekwambia ENABLE NOTIFICATIONS. Umeiona? Nimekunukuu hapa, umekuwa notified?Mbona hii ninayotumia nimeinstall kupitia chrome then JF then ndio nikainstall? Naelewa vizuri ila sion option ya settings.
Hapa nilipo natumia dark blue mode, kama nimechange style maana ya yake hilo eneo ilipaswa kuwepo na settings option.