Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

Wakuu, hapa JF kulikuwa na option ya kubadili mwonekano wa JF kwenye kifaa chako, mimi nilipendelea kuweka ile mode ya dark, ila tangia yafanyike mabadiliko ile dark imeondoka na sielewi kama imeondolewa au imewekwa wapi.
Naipenda Dark Mode maana ni yakipekee.
Anayejua msaada tafadhali.
Bado ipo, sasa hivi ipo juu ya Post chini ya Avatar yako, Change Style na vimisitari vinene vifupi vitatu, bonyeza hivyo utapata mtazamo unaoutaka.
 
Bado ipo, sasa hivi ipo juu ya Post chini ya Avatar yako, Change Style na vimisitari vinene vifupi vitatu, bonyeza hivyo utapata mtazamo unaoutaka.
Nimeiona mkuu, shukrani!
 
Kuhusu Muonekano,muonekano tu..!
Wana JF wamelalama Sana Kuhusu Muonekano mpya JF.

Mumeuchuna tu.......!

Ama Kweli Demokrasia ni Mtihani Mkubwa.

Basi ndugu Zangu Tuache Kulaumu....!
Tujifunze Kukubali tofauti Zetu kwa Amani.
Ila kama unayo Hoja Lete....Waijue...
 
Tuwekee button ya new post.nilitaka kusoma michango ya watu game ya senegal na rwanda goli la penati kama kina mane walibebwa.

Nimescroll mpaka nmechoka =0
 
Napata shida ukiscroll kwenda page za chini unajikuta imejirefresh na mada hazipangilika kama ulivyokuwa umeziona mwanzo.
Maxence Melo
 
Kwa iOS vipi naona bado , na huku tuna shida kila nikiingia naambiwa sija log in yan niki exit app na kurudi naambiwa sija login ila muda inabidi ni login
 
Kwenye new posts hamna numbers kama mwanzo… kuna muda ukiview more once lile neno view more linapotea, na mtu unashindwa kuona next posts. View attachment 2251812
Mkuu Maxence Melo hii ni ukiingia JF using browser unakutana na section ya Trending sasa ukishuka chini kupata threads zaidi uta-press kitufe cha 'more' nilitegemea ukifika mwisho tena tukute tena kitufe cha 'more' au vile vinamba (1, 2, 3, 4, n.k) ila nilichogundua inakubidi usubiri mpaka threads zijiongeze zenyewe automatically kitu ambacho mostly huwa zinagoma haiko reliable kabisa.
Attached screenshot inajieleza.

TUSAIDIENI HILI TAFADHALI
 
Mzee Maxence Melo pia na swala la font size kupitia browser, with bigger font size au probably ni design ya font mnayoitumia inapunguza ufanisi, ukifungua jf tu section nzima ya Trending imejazwa na title na hints ya thread moja tu. Kuscroll kupata hints za threads zingine inapunguza efficiency kwa sababu utatumia muda mwingi kuscroll whether you go down or up. Hii pia iapply na kwenye comments za members ndani ya thread baada ya kuifungua.
 
Maxence Melo nafikiri sasa ufanyie kazi mawazo ya wadau,,,,ni msingi sana...

Hamuwezi kumfurahisha kila mtu BUT chagueni yale ambayo mtaona wengi wamelalamika...Msikaze Vichwa

Najua unayafahamu haya,,,mimi nimekazia tu,,,MSIPUUZE
 
Suala la id nyingi itabidi mlitatue, maana kuna watu wanatengeneza Id nyingi sana. Na kila Id una kazi yake utakuta moja ya kukashifu,kutukuza,kupost ujinga n.k inakuwa sio poa, inapaswa user wawe reality na post zao ndio maana mfumo huu ukaitwa jamii forum.
Kudeal na hili mimi napendekeza

Akaunti ifatiliwe kwa kuangalia location ya device, email za mtumiaji Kama zipo kwenye device moja, kulogin mara kwa mara kwa device moja au mbili kwa mda fulani mtakaouset, nahisi mtaweza zuia multiple id kwa user. Inakera jitu linajifanya lijuaji then akaunti nyingine sio lijuaji Kama watoto vile uzuri wengine huumbuka.
Huna akili.
 
Maxence Melo mkuu naona mmeitingisha tena browser. Layout yake haijakaa vizuri mkuu, tunaomba ili iwe rahisi kutumia baada ya baton ya trending ifuate new post. Vinginevyo Layout ya sasa inakuwa na changamoto maana ukitaka kupata new posts hadi uscroll right mwishoni kabisa. Kimsingi new post baton mmeificha sana.
Jambo la pili tunaomba font-size ya heading kwenye homepage mpunguze. Maandishi ni makubwa sana hayapendezi kiusomaji. Najua lengo lenu nu kuwapa unafuu wenye uono hafifu ila kwa nini iwe kwenye heading peke yake. Tunaomba setting ya font size muiache kwa user isiwe default. Kila user awe na uwezo wa kufanya settings ya font-size anayoitaka.
 
Muonekano mpya kwa watumiaji wa browser uko ovyo kinoma,, ama hakika kuchamba kwingi........
Wameharibu sana kwenye browser.

Maxence Melo Moderator kwanini tunaomba sana kwenye browser mtuwekee kitufe cha kwenda next page upande wa chini hamtuwekei?

Yaani kama nabrowse kwenye jukwaa nikitaka kwenda next page lazima nirudi tena juu.
 
Maxence Melo mkuu naona mmeitingisha tena browser. Layout yake haijakaa vizuri mkuu, tunaomba ili iwe rahisi kutumia baada ya baton ya trending ifuate new post. Vinginevyo Layout ya sasa inakuwa na changamoto maana ukitaka kupata new posts hadi uscroll right mwishoni kabisa. Kimsingi new post baton mmeificha sana.
Jambo la pili tunaomba font-size ya heading kwenye homepage mpunguze. Maandishi ni makubwa sana hayapendezi kiusomaji. Najua lengo lenu nu kuwapa unafuu wenye uono hafifu ila kwa nini iwe kwenye heading peke yake. Tunaomba setting ya font size muiache kwa user isiwe default. Kila user awe na uwezo wa kufanya settings ya font-size anayoitaka.
Hii imekua biased sana,wamewazingatia wenye uoni hafifu na kuwaacha wasio na tatzo hilo,wakati walitakiwa kubalance,font size za namna hii zinawaumiza macho kwa wasio na tatzo la uoni hafifu
Sasa hivi ukiingia JF alafu ukarudi kubrowse kitu kingine kwenye website nyingine ni kama macho yanapata shida hivi sababu wkt huo yanakua yamezoea font kubwa

Mchango wangu wabalance font au kuwe na application mbili za uoni hafifu na kawaida.
 
Asante kwa taarifa mkuu [emoji1374][emoji1755][emoji1755]
 
Kuanzisha uzi mpya unafanyaje? Zamani ilikuwa rahisi tu.
 
Back
Top Bottom