- Aug 6, 2009
- 2,190
- 1,095
Ingia kwenye Jukwaa unalotaka kuanzisha mada, kwa juu utaona sehemu imeandikwa Post threadKuanzisha uzi mpya unafanyaje? Zamani ilikuwa rahisi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia kwenye Jukwaa unalotaka kuanzisha mada, kwa juu utaona sehemu imeandikwa Post threadKuanzisha uzi mpya unafanyaje? Zamani ilikuwa rahisi tu.
Ufafanuzi hapo tafadhali! Maxence Melo6) Ukiwa kwenye forum yoyote, huhitaji kubonyeza Page 2, Page 3, Page 4. Wewe vuta kwenda chini tu, mada zitakuja (scroll down).
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tulia totooUmekaa hovyo sana
Hiyo pop up ni repeatatio ya kile kilichopo kwenye headline kwa nini isiondolewe ili kutoa nafasi kwa msomaji kutosumbuka kuiondoa kila inapojitokeza?Wakuu,
Tupo kwenye hatua za mwisho kuja na JF yenye mwonekano mpya ambayo inaendana na mabadiliko ya teknolojia. Kwa wanaohitaji kuwa sehemu ya majaribio, mnakaribishwa...
Katika mabadiliko haya, huenda ukakutana na kitu kikakufurahisha, kikakuchanganya, kikakufanya uone kuna haja ya kuongeza au kupunguza n.k - usisite kutujulisha kupitia uzi huu.
Thread hii itatumika kukusanya maoni yenu na yatazingatiwa ajili ya kujenga sehemu bora na salama zaidi kwa ajili ya kila mmoja wetu.
Kwa wale watumiaji wa App, tunashauri kujaribu App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi kwani itaendana vema zaidi na kinachokuja.
Tunawashukuru kwa ushirikiano mnaotupa kila mara kwani hadi toleo hili ni tokana na maoni yenu.
Kutakuwa na features kadhaa hazitakuwa released mapema hadi zikamilike kufanyiwa testing ndipo ziwe applied.
Tunawapenda, tunawajali na tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora.
Asanteni sana!
===== UPDATES======
Changes on the new version:
1) Kuna urahisi wa kufichua mambo mazito bila data zako zozote kuchukuliwa na bila post kwenda public kwanza (utaona button ya Fichua Uovu). Hii itasaidia hata wasio wanachama (baadae) kushiriki kikamilifu kupinga ufisadi na rushwa kwa ujumla.
2) Faragha ya mwanachama imelindwa zaidi, hakuna wa kujua wewe ni nani on JF bila wewe kumpa access ya kifaa chako (simu, tablet au pc). Tulipata vilio vya watu kuchunguliwa IDs tukaja na suluhu.
3) Unaweza kuchagua kutumia JF ikiwa light version, dark mode au dark blue mode (my favorite).
4) Maandishi ya sasa yanasomeka kirahisi zaidi na wenzetu wenye uoni hafifu. Wasioona kabisa lakini wana vifaa vya kusomea wataweza kuitumia JF kwa urahisi zaidi.
5) Soon kuna mambo mapya yanaanza kufanyika via JF, mabadiliko haya yamelenga kupokea yajayo kuanzia mwezi huu na kuendelea.
6) Ukiwa kwenye forum yoyote, huhitaji kubonyeza Page 2, Page 3, Page 4. Wewe vuta kwenda chini tu, mada zitakuja (scroll down).
Nitaendelea…
Tumia app ya Tapatalk notifications utazipata bila tatizo lolote.Kwa ule muonekano bora nibaki kwenye App tu ingawa inazingua sana kupata notification.
Haya, thanks.Tumia app ya Tapatalk notifications utazipata bila tatizo lolote.
Hahaha, sawa mkuu
Kwenye APP unatusahau jaman, tunataka App iwe na fixtures nzuri, muonekano wa PM, na video kufunguka.
Please Mr Tufanyie maboresho.
Utakua sio uhuru tena wa maoni, acha watu waongee chochote, hujalazimishwa kusoma mada ya mtu, kama mtu anadanganya atakua exposed na mda, so relaxMbona mi sipati notification?
Kuna watu tunawablock ila bado wakianzisha mada twaona mada zao
Kwanini msiweke ukimtia mtu block usione mada yoyote anayoanzisha wala hata changizo zake zozote zile
Pia kwanini msituwekee uwezo wa kuzuia mada fulani, tusizione kabisa ie mada za kukashfu dini za wengine etc
Mkuu, kwani ile old version imeondolewa? Mbona bado ipo? Na mimi ndo ninayotumia!wakuu kwa sasa ndakuwa offline siku wakirekebisha App naomba mnitag ili niingie Jf maan saiz App inazingua na max kama katupotezea tu watumiaji wa app.
Browser ni upuuzi tu kwa sisi tuliozoea app
Pitia pepsi baridi kwa Mangi mkuu!Utakua sio uhuru tena wa maoni, acha watu waongee chochote, hujalazimishwa kusoma mada ya mtu, kama mtu anadanganya atakua exposed na mda, so relax
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Kiukweli watumia wa app kama tumetengwa kiasi fulani, manake mimi nimelalamikia swala langu la ku ignore baadhi ya forums lakini bado naendelea kuzikuta kwenye new posts na trendingwakuu kwa sasa ndakuwa offline siku wakirekebisha App naomba mnitag ili niingie Jf maan saiz App inazingua na max kama katupotezea tu watumiaji wa app.
Browser ni upuuzi tu kwa sisi tuliozoea app