Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

Tutazoea tu na maisha yataendelea kama kawaida tu.Melo shikilia hapo hapo.
 
Hapa bwana Mello amechemsha. Threat mpya na zinazo trend ndiyo zinaonekana. Kipindi cha nyuma tulikuwa tunachagua page tu, ukitaka page namba 8 au 11 ni ww tu. Sasa hivi ni tofauti kabisa. JF mmechemka.
 
Kama haiwezekani kubadilisha muonekano wote ,basi at least font size & style ibadilishwe au kuwe na option anayependa hii iliyopo abaki nayo ,sisi wengine tunaokereka na hii turuke na zingine.

Font ilyopita iwepo kwenye list
 
Ilikuwa inapendeza sana kuwa vile sijui nani alishaurikutolewa..
Waswahili wanamsemo wao unasema "Kuchamba kwingi kutoka na mavi",inamaanisha ukiremba sana mwisho wa siku utaharibu.Ndicho walichofanya JamiiForums.
 
Mimi nashindwa kusoma thread nzima kama ilivyokuwa zamani nyuzi zilikuwa na pages,ukimaliza page ya kwanza unabonyeza ya pili au unachagua page yoyote unayoitaka katika thread,lakini kwa sasa hakuna hicho kitu sasa sijajua ni simu yangu tu au ni hayo marekebisho yenu huko!!!?? Ingekuwa vizuri mngerudisha ule mfumo wa pages katika thread kama ilivyokuwa mwanzo
 
Mimi nashindwa kusoma thread nzima kama ilivyokuwa zamani nyuzi zilikuwa na pages,ukimaliza page ya kwanza unabonyeza ya pili au unachagua page yoyote unayoitaka katika thread,lakini kwa sasa hakuna hicho kitu sasa sijajua ni simu yangu tu au ni hayo marekebisho yenu huko!!!?? Ingekuwa vizuri mngerudisha ule mfumo wa pages katika thread kama ilivyokuwa mwanzo
Mbona ipo? Naomba screenshot nione unachoona
 
Ila haya mabadiliko khaa..sawa nitakomaa nayo
 
Au Melo anadhani sisi ni vipofu mana sio kwa fonts hizi, font kama vile zinataka kukupiga na kitu kizito kichwani bhana.
 
Mbona ipo? Naomba screenshot nione unachoona
Kwenye new posts hamna numbers kama mwanzo… kuna muda ukiview more once lile neno view more linapotea, na mtu unashindwa kuona next posts.
71FD9510-5D92-47D7-94A1-1A37355AAA94.jpeg
 
Wakuu, hapa JF kulikuwa na option ya kubadili mwonekano wa JF kwenye kifaa chako, mimi nilipendelea kuweka ile mode ya dark, ila tangia yafanyike mabadiliko ile dark imeondoka na sielewi kama imeondolewa au imewekwa wapi.
Naipenda Dark Mode maana ni yakipekee.
Anayejua msaada tafadhali.
 
Wakuu, hapa JF kulikuwa na option ya kubadili mwonekano wa JF kwenye kifaa chako, mimi nilipendelea kuweka ile mode ya dark, ila tangia yafanyike mabadiliko ile dark imeondoka na sielewi kama imeondolewa au imewekwa wapi.
Naipenda Dark Mode maana ni yakipekee.
Anayejua msaada tafadhali.
Habari mkuu pole kwa usumbufu. Dark mode Bado ipo sema kwa sasa imeandikwa tofauti. Button Yake imeandikwa CHANGE STYLE, inapatikana ukibonyeza menu button. I click mpaka ije rangi ya dark mode mana Kuna feature kama tatu hivi
 

Attachments

  • Screenshot_20220606-083332.png
    Screenshot_20220606-083332.png
    16.9 KB · Views: 16
Habari mkuu pole kwa usumbufu. Dark mode Bado ipo sema kwa sasa imeandikwa tofauti. Button Yake imeandikwa CHANGE STYLE, inapatikana ukibonyeza menu button. I click mpaka ije rangi ya dark mode mana Kuna feature kama tatu hivi

Tayari Nimeiona mkuu, shukrani.
 
Back
Top Bottom