The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Kufuta comment ndio ikoje mkuu? naomba kufahamishwa.Inatakiwa wakulime japo ya mwaka.
Wenzio wote hawafutifuti hovyo kama wewe Vinci.
Ulishaambiwa wewe ni bingwa wa kuharibu flow ya mada,bado unauliza tena kitu kilekile!
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app