Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hata wakiipitisha , wakiondolewa tutaifuta na kuwakamata waliotenda makosa , hivi Ndugai unaachaje kumsweka jela ? hata shetani atatushangaa !Madikteta yamekutana yanapanga kujilinda kwa namna yoyote ile.