Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

Mkuu asante... Yy ndo aliyefungua njia
Huwa nawahasa sana dada zangu/marafiki zangu wa kike wawe makini sana na mtu anaezaa nae na hasa kama ndio aliyeko kwenye mipango yako ya kuwa mume.

Usimkubalie mtu kisa tu umemuona yeye ni hensamu.
 
Shukrani mkuu
 
Asante mkuu
 
Huwa nawahasa sana dada zangu/marafiki zangu wa kike wawe makini sana na mtu anaezaa nae na hasa kama ndio aliyeko kwenye mipango yako ya kuwa mume.

Usimkubalie mtu kisa tu umemuona yeye ni hensamu.
Moyo Wa MTU kichaka kikubwa jamani
 
Yakipanuka sana, kiustaarabu huyo mpenzi wako anatakiwa aijaze! Kwa sisi wazoefu hilo ni swala dogo sanaaaaa! Hamna uke mdogo wala mpana bali ni jinsi jemedari anavyoingia kazini... Mtu wako kachemsha na kibamia chake... Chepuka..
Mhimhhhhhhh daaah jf in kiboki ya stress
 
Asanteni wanajf... Nimekuwa nikifuatilia comnents kwa utulivu sana.. Asantenu mungu awabariki
 
Hapa kila wazo la mbongo utapata maana hawa jamaa kwa ngono khaaaaaa
 

Jitahidi sana kutafuta chupa ile ya Bia kisha hakikisha kila siku kuanzia Kesho asubuhi uwe unaiingiza yote kunako ' Mbunye ' halafu unaitoa na ukifanya hivyo ndani ya siku saba ( 7 ) tu mfululizo ' Mbunye ' yako itarudi katika mwonekano wake wa Kiushirikiano kwa Mumeo. Kila la kheri katika zoezi Mkuu na usisite kunipa mrejesho wake tafadhali.
 
kama mmeo alikuoa kwa sababu ya uzuri/urembo lazima atakuchoka tuu
ila kama alikua na mapenzi ya dhati kwako hatochepuka na atakupenda,la kukushauri ni hili,usifakamie sana misosi maana mavitambi yanaboa,kuhusu swala la kupanuka uchi mama hebu tulia kwanza
 
Uzazi una mengi mama yangu, embrace the changes because you brought a beautiful human being to the world

Fanyia kazi mwili wako, miezi 6 mtoto amekuwa kabsa, Fanya mazoezi tofauti yatakayokusaidia kukaza misuli, get that sexy body back so that your husband can't take his eyes off you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…