Mabadiliko ya Vifurushi vya mitandao Tanzania: Je, tutarajie nini?

Mabadiliko ya Vifurushi vya mitandao Tanzania: Je, tutarajie nini?

Mama alishasema watanzania tulihusishwa katika kila hatua ya mabadiliko ya vifurushi na tumekubali. kazi ziendelee.
 
Kutumiana hela mpaka na za kutolea ni shughuli pevu, inabidi tu hela zitumwe kwa njia za kizamani kukwepa tozo kwenye miamala. Haya tena vifurushi navyo ndio hivyo vinabadilika internet itakua ni ufahari mtupu kuingia huko
 
Tusubiri tuyaone hayo mabadiliko...

Yanaweza yakawa positive kwetu wateja kwa kutupa nafuu au negative kwa kutupa maumivu sambamba na tozo za miamala ya mitandao ya simu...

From there, we will know what step to take...
As long as Samia anakuwa dikiteita, bourgeois normally do bank on dictators, usitegemee kupata nafuu
 
Ngoja tuone hiyo kesho maana niliwaza kuongea bando lingine la mwezi kukwepa rungu japo kwa mwezi mmoja, lakini naona niwe subira kwa sasa.....ila ni meseji za kutia simanzi kwa kweli,
 
IMG-20210814-WA0034.jpg
IMG-20210814-WA0034.jpg
 
Wakuu habarini,

Leo umekuwa Ni mwendo wa kutumiwa taarifa kuwa tar 16/8/2021 kutakuwa na mabadiliko ya Vifurushi!

Ikumbukwe miezi kadhaa iliyopita, sakata la mabadiliko ya Vifurushi lilitrend Sana nchini, huku wananchi wakilalamikia kwa nguvu zote ukandamizwaji ulioonekana kupita kiasi, suala lililopelekea serikali kutoa tamko rasmi juu ya kuondolewa kwa Vifurushi vile vipya na kurejeshwa vya awali!

Sambamba na suala la tozo za miamala ( ambalo kimsingi bado hatima yake haijajulikana), je , tutarajie tozo nyinginezo ndani ya Vifurushi??
TOZO ya Mwigulu Nchemba ya "uzalendo" kwenye vocha itaanza
 
Wakuu habarini,

Leo umekuwa Ni mwendo wa kutumiwa taarifa kuwa tar 16/8/2021 kutakuwa na mabadiliko ya Vifurushi!

Ikumbukwe miezi kadhaa iliyopita, sakata la mabadiliko ya Vifurushi lilitrend Sana nchini, huku wananchi wakilalamikia kwa nguvu zote ukandamizwaji ulioonekana kupita kiasi, suala lililopelekea serikali kutoa tamko rasmi juu ya kuondolewa kwa Vifurushi vile vipya na kurejeshwa vya awali!

Sambamba na suala la tozo za miamala ( ambalo kimsingi bado hatima yake haijajulikana), je , tutarajie tozo nyinginezo ndani ya Vifurushi??
Uchumi wa mitandao ya simu umeporomoka sana kwenye makampuni baada ya upumbaavu wa wabunge na serikali uchwala ya samia kukurupuka kuweka tozo sasa mapato hata yale ambayo serikali ilikuwa inapata yamedondoka ushauri wangu kwa watz tusipoteze muda kupigishana kelele na wapumbaavu wanaotuambia tuamie burundi bali tuachane na hizo uduma zenye makato wenyewe watajua kuwa wao ni wapumbaavu
 
Wanafiki mnamponda mama magufuli mlimtukana na kumuita dictator mnataka raisi wa aina gani Tanzania ? na mama akitoka mtamsifia
 
Ndugu Mteja, Halotel inakutaarifu kutakuwa na mabadiliko katika vifurushi vyetu kuanzia tarehe 16/8/2021. Furahia huduma za Halotel kwa kupiga *148*66#, Asante.
 
Back
Top Bottom