EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Jiungen leo vya mwezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei ya mafuta,Huku mtaani maleiman wana mdiss sana maza,kwa kifupi hawamuelewi kabisaaa.
Yaani mimi kifo cha magufuli nimejifunza mengi sana watanzania wengi tunafuata mkumbo tu ndo maana TRUMP alisema AFRICA itawaliwe tena maana kinachoendelea ni upuuzi mtupu.Me mwenyewe nashangaa kuona Mwanamke Ni Dict..r[emoji849]
Kitu ambacho sikuwah kuwaza!
Trump alisema tunawaza tuu NgonoYaani mimi kifo cha magufuli nimejifunza mengi sana watanzania wengi tunafuata mkumbo tu ndo maana TRUMP alisema AFRICA itawaliwe tena maana kinachoendelea ni upuuzi mtupu.
Najikuta namchukia tu huyu mazaaMama alishasema watanzania tulihusishwa katika kila hatua ya mabadiliko ya vifurushi na tumekubali. kazi ziendelee.
Watu mna hasira kinyamaa [emoji23][emoji23][emoji23]Ogopa sana mtu mwenye matundu mawil chini.
You cross the bridge when you reach it.Tusubiri tuyaone hayo mabadiliko...
Yanaweza yakawa positive kwetu wateja kwa kutupa nafuu au negative kwa kutupa maumivu sambamba na tozo za miamala ya mitandao ya simu...
From there, we will know what step to take...
Inaweza ikatuumiza na pia kutusaidia. Kupanda vifurushi itapunguza muda wa kukaa mtandaoni na kuokoa macho yetu kuharibika. Wengi tunajua athari ya macho yetu kwa kuwa mtandaoni kwa muda mrefu, lakini kuondoa stress za kukosa kazi tunajikuta tunashinda mtandaoni.Sijawahi ona maboresho yoyote Tanzania ya kushuka,always ni kupanda..tutarajie kuumizwa tu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kesho kodi ya uzalendo kwenye vocha inaanza.
Ndiyo maana kifurushi vitabadilika.
Bado hawajamliza na sisi mwakani wakitaka kujenga visima vya maji vijijini wataanzisha tozo za nyeto kwa wanafunzi