Wamesitisha naona Dk. Ndugulile mharibifu wa vifurushi kaingilia .Yaani Kodi kwenye mafuta, Makato ya tozo za miamala ya kimtandao then linakuja na hili
Ndugu mteja, tumesitisha mabadiliko ya vifurushi yaliyotarajiwa kufanyika tar.16/08/2021 mpaka utakapojulishwa tena. Asante!