Mabaharia mwenzangu, Hivi unajua "UMALAYA" ni gharama Sana?

Ukishainvest then what mkuu?

Wakati ww ndio kinara wa kuwaambia wanaume wasioe[emoji23]

Wewe jamaa hauko serious kabisa.
 
Mmh,inategemea na status ndugu yangu na hzo bajeti ulizoandika hapo ni za mtu asojiweza
 
Legend km legend
 
Na usisahau mbususu ikifika Mkoa wa baharia lazima ihudumiwe.
Unakuta hata shopping inapelekwa.

Dah umalaya ni gharama Hasaaaaa....

#YNWA
 

Kama una pesa hiyo uliyosema ni kidogo, huwa tunatoa nyingi mno

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app

Ukishainvest then what mkuu?

Wakati ww ndio kinara wa kuwaambia wanaume wasioe[emoji23]

Wewe jamaa hauko serious kabisa.

Hayuko serious kabisa....
Babaria kama pesa zipo nyingi na zimepatikana nyingi ndio TUNAENDELEA kuwekeza again and again.

Yaani kama ulikua na duka moja fungua la pili.

Endelea kupambana mpaka ikiwezekana uwe level za ku-discus madili na bakhresa.

#YNWA
 
We kama unalima Lima bana. ...unafosi mambo ww uwezo wako sio wa kulima na kuhonga ukifikia huo uwezo utaacha kupiga hizi hesabu za kijinga kijinga
 
Na hauwezi kufika huko kwa maisha hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…