Mabaharia mwenzangu, Hivi unajua "UMALAYA" ni gharama Sana?

Mabaharia mwenzangu, Hivi unajua "UMALAYA" ni gharama Sana?

Hiyo pesa inaatosha kununua mbususu zaidi ya 20 tena za kila aina muda wowote.
Kama kila weekend unataka utoke na pisi moja kwa gharama ulizotaja, mara mwaka ungeweza kununua kiwanja cha kawaida cha 5m mjini. Dadazetu hawa wa usiku wamesha turahisishia maisha, laki ni bajeti yao ya mwaka mzima kwa baharia
 
Kuna scenario nyingine kama hii

1) connection ya namba ya simu : 30K
2) room: atleast 50K
3) msosi & vinywaji: 50K
4) transport: 15K
5) pay-per-service: 70K

Mtafika mmechoka mnoooo
 
Kuna baadhi ya wabongo wanashindwa kutofautisha hela za kuwekeza na Hela za Anasa/starehe..

Umenikuta Bar nakunywa Bia zangu 10 unaanza kunipigia hesabu ya chupa mojamoja na kusema hiyo hela ya bia 10 si ungefanyia ishu za maana? Heee najiuliza waliopo bar wote hawana future, hawana maendeleo na investment yoyote....sio kweli

Kuna hela za anasa na hela za Investment...Zipangilie na ujiongeze kivyakovyako tusipangiane life[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
 
Mmh,inategemea na status ndugu yangu na hzo bajeti ulizoandika hapo ni za mtu asojiweza
Ndio maana nikamwambia kilimo kinamlipa sana mpaka anatapanya pesa namna hiyo.
Sijakuelewa tu hapo uliposema "stutus" hiyo status ni kwa mlengo upi kijamii au kiuchumi?? Labda kijamii kua utaogopa macho ya watu kuingiza wanawake kwako.

Ila kiuchumi iko sawa kabisa kwa mwanaume yeyote asietaka kutapanya pesa kama huyo ndgu.
 
Ukitaka kulia kwenye sahani safi ya kioo ni tofauti na kulia kwenye sahani ya plastiki; vitu vizuri vina garama
 
Ahsante kwa ushauri ila kwa Baharia wa kweli hawezi tumia Gharama zote hizo kwa Mbususu 1 tuu anayetumia hela zote hizo hafai kuwa Baharia maana hiyo kwa baharia ni hela ya kuspend mademu kama 6 ivii
Me pia nashangaa 115k anasema eti hapo amejibana ... hv anajua mabaharia walivo wagumu .....

Baharia wa kwel akitumia hela nyingi ni 15k
 
Ndio maana nikamwambia kilimo kinamlipa sana mpaka anatapanya pesa namna hiyo.
Sijakuelewa tu hapo uliposema "stutus" hiyo status ni kwa mlengo upi kijamii au kiuchumi?? Labda kijamii kua utaogopa macho ya watu kuingiza wanawake kwako.

Ila kiuchumi iko sawa kabisa kwa mwanaume yeyote asietaka kutapanya pesa kama huyo ndgu.
Anazungumzia status ya mwanamke .

Kwamba kuna wanawake grade ya juu na grade ya chini ...hapo anakuona ww unawaweza grade ya chini
 
115,000 ni nyingi sana.

Uber /bolt 3000.kuja
Chips, kuku, mayai pack 2@ 4,000 = 8000
Soda 2@ 500 = 1000
Vocha ya 2000 kama zawadi.
Uber/Bolt kuondoka 3000
Total expenses : 17,000

115,000 - 17,000 = 98,000/=

Hiyo 98,000 weka kwenye Simu itakulinda.

Mnaumiza sana vichwa mademu wenyewe ni njaa tu , ukimpa hela nyingi yeye azipeleke wapi wakati wanataka kula na bundle ya internet tu.
 
115,000 ni nyingi sana.

Uber /bolt 3000.kuja
Chips, kuku, mayai pack 2@ 4,000 = 8000
Soda 2@ 500 = 1000
Vocha ya 2000 kama zawadi.
Uber/Bolt kuondoka 3000
Total expenses : 17,000

115,000 - 17,000 = 98,000/=

Hiyo 98,000 weka kwenye Simu itakulinda.

Mnaumiza sana vichwa mademu wenyewe ni njaa tu , ukimpa hela nyingi yeye azipeleke wapi wakati wanataka kula na bundle ya internet tu.
Ulivyorahisisha sasa,kwa hiyo mkimaliza kufanya yenu,hakuna kifuta jasho,unampa 3000, atalipia uber basi?
 
115,000 ni nyingi sana.

Uber /bolt 3000.kuja
Chips, kuku, mayai pack 2@ 4,000 = 8000
Soda 2@ 500 = 1000
Vocha ya 2000 kama zawadi.
Uber/Bolt kuondoka 3000
Total expenses : 17,000

115,000 - 17,000 = 98,000/=

Hiyo 98,000 weka kwenye Simu itakulinda.

Mnaumiza sana vichwa mademu wenyewe ni njaa tu , ukimpa hela nyingi yeye azipeleke wapi wakati wanataka kula na bundle ya internet tu.
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu hujampa hata nauli.
 
Kwenye umalaya condom muhimu, je watoto watatoka wapi?
Kwani kila mwanamke unayekutana nae unataka mtoto.

Na kifupi unavyokuwa na pisi nyingi Kuna zile ambazo unakula kavu, hizi si ndio za kukupa mtoto.

Au we kila uliyekutana mpaka kufika umri huo ulitumia condom?

Na pia huwezi kutotumia condom kwa kila pisi utakayo kutana nayo, Kuna MAGONJWA na KUZAA bila mpango.

Ukikutana na yule mtaka mtoto kama wewe KAPIMENI then WEKS MIMBA.

Ila na msisitizo "USIKIMBIE MALEZI" kama hauko tayari kulea "USITAFUTE MTOTO""

Hawa wanawake wa ""Mi SIHITAJI NDOA nataka tu mtoto wangu mmoja"" wapo kibao mtaani.

Labda useme ushaishi na mwanamke akakutenda
Duh hii ipo complex sanaa...

Ila sidhani kwa dunia hii kuna mwanamke/mwanaume ambae hajawahi tendwa kwenye mahusiano.

Na matokeo ya KUTENDWA si lazima iwe kuachana.

Unaweza kukuta watu bado wapo kwenye uhusiano au ndoa yao ila walishawahi kufumaniana na vitu kama hivyo.

Kwa mahusiano haya ya zama hizi KUTENDWA HAKUEPUKIKI.

Tutafute hela VIJANA TULE MAISHA.

PISI zipo tu.

Cheers.
Meet you at the top.

#YNWA
 
Back
Top Bottom