Kwa hiyo wewe ulitakaje ulitakaje, lazima ujue kuwa binadamu Ana's akili na hufanya tafakari kulingana na wakati na mazingira, na kutambua mahitaji yake, kwa kuamua kwa akili yake.Siasa za Tanzania sontimes zinafurahisha: Ccm chadema na genge hutokea makundi mawili yanaungana dhidi ya kundi moja.
Kuna kipindi chadema wanaungana na genge dhidi ya ccm.- Tozo
Kuna kipindi ccm inaungana na chadema dhidi ya genge.- Chanjo.
Kuna kipindi ccm inaungana na genge dhidi ya chadema- Kesi ya ugaidi.
Hii ndo raha ya kuwa mtanzania.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mimi naenjoy hiyo hali, hauna haja ya kupanic. Hiyo miungano ndiyo undugu na umoja wetu.Kwa hiyo wewe ulitakaje ulitakaje, lazima ujue kuwa binadamu Ana's akili na hufanya tafakari kulingana na wakati na mazingira, na kutambua mahitaji yake, kwa kuamua kwa akili yake.
Sasa mbona anatafuta mzozo wa bure?Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amewataka mabalozi wanaokwenda mahakamani kufuatilia mwenendo ya kesi ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kufuata sheria na taratibu za kidiplomasia.
Balozi Mulamula ameyasema hayo leo Agosti 20,2021 jijini Dar es Salaama wakati akizungumza na mabalozi, wakuu wa taasisi na mashirika ya kimataifa mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc) uliofanyika Lilongwe, Malawi Agosti 17–18.
Katika mkutano huo, Balozi Mulamula amesisitiza kwamba mabalozi wanaokwenda mahakamani kufuatilia mwenendo wa kesi ya Mbowe kufuata sheria na taratibu za kimataifa za kidiplomasia ili kujiepusha na ukiukwaji wa sheria na taratibu hizo.
#MwananchiUpdates
Kama Ojamong ana ubavu kwanini asiamuru Sirro akawapige mabalozi mabomu ya machozi pale pale mahakamani na kuwakamata kwa kukiuka sheria?!Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Africa Mashariki , Mtukufu Mulamula , ambaye amewataka mabalozi hao kufuata sheria na taratibu za kidiplomasia , hakufafanua taratibu hizo kama zinawakataza mabalozi kuhudhuria kesi mahakamani au la .
View attachment 1900584
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amewataka mabalozi wanaokwenda mahakamani kufuatilia mwenendo ya kesi ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kufuata sheria na taratibu za kidiplomasia.
Balozi Mulamula ameyasema hayo leo Agosti 20,2021 jijini Dar es Salaama wakati akizungumza na mabalozi, wakuu wa taasisi na mashirika ya kimataifa mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofanyika Lilongwe, Malawi Agosti 17–18.
Katika mkutano huo, Balozi Mulamula amesisitiza kwamba mabalozi wanaokwenda mahakamani kufuatilia mwenendo wa kesi ya Mbowe kufuata sheria na taratibu za kimataifa za kidiplomasia ili kujiepusha na ukiukwaji wa sheria na taratibu hizo.
Chanzo: Mwananchi
Naona Lissu kesha aanza kumsagia Mama Kunguni huko kwa Mabeberu!!Naye makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu atia neno kuhusu hali ya kisiasa Tanzania chini ya uongozi wa awamu ya Mh. Rais Samia S. Hassan
20 Aug 2021
Washington D.C
Lissu asema matumaini ya Rais Samia kuleta mabadiliko yamefifia
Kiongozi wa Chama cha Chadema Tundu Lissu asema matumaini ya kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ataleta mabadiliko ya kisiasa Tanzania yamefifia.
Source : VOA Swahili
Keshatoa sababuKesi zote ziko hurru kwa kila mtu na open court why waonywe ??? Hakuna kuonywa wala hawaogopiii
Huo ndio weledi wakitanzania, tunafikiria tumbo kwanza maslahi ya taifa baadae.Sasa mbona anatafuta mzozo wa bure?
Unazungumzia hisia zako. Ni kinyume cha sheria gani? Hakuna ukiukaji wowote.Hakuna precedent ya balozi wa nchi yoyote kuhudhuria case dhidi ya raia wa host country.
Wangekuwa na utamaduni wa kufanya hivyo miaka yote na kwa cases zote dhidi ya raia wa host country, kuhudhuria kwao kusingekuwa na walakini. Kuchagua kuhudhuria case moja tu ya Mbowe itakuwa clear meddling in our internal affairs, kitu ambacho ni kinyume cha sheria na taratibu za kidiplomasia!
Kwa kuwa hawana wanayoficha kwa aibu kama nyie unaweza hudhuria.kwani wao hawa bambikii kama nyie.Hivi balozi wa Tanzania and West kuhudhuria kuangalia mwenendo wa kesi za wapinzani wa Joe Biden kule Marekani?!!!
TANZANIA IS A SOVEREIGN STATE
Kwa kuwa ameuzulia kusikiliza kesi ya gaidi?Anahatarisha usalama wake.
Mimi nimeelewa hivyo!
Kwa nini unalazimisha?Hah hah, ni maandishi hakuna video ya kumaliza MB. Pitia kidogo utoe mawazo mbadala mtambuka katika sakata la wadau wa maendeleo nao kuwepo katika viunga vya Mahakama zetu tukufu kufuatilia mwenendo wa kesi hii.
Kesi ya 'Freeman Mbowe na wenziwe 3' inayoweza kuibadilisha Tanzania kwa mara ya kwanza tangu ipate uhuru wa bendera, ambapo naam bila shaka historia Mpya itaandikwa kwa nchi ya Tanzania kuelekea welekeo chanya.
Hii reaction yao kwa mabalozi ni faida kwetu wapenda demokrasia, tuendelee kupaza sauti na kutoa elimu kwa umma bila kuchoka.Serikali inawatishia mabalozi usalama wao kuhudhuria hapo mahakamani.
Kinachoweza kutokea sasa ni kwamba serikali yenyewe wanaweza kuanzisha vurugu hapo ili kuwatishia mabalozi wasiendelee kuhudhuria kesi hiyo.
Kiongozi wa mabalozi Dr. Ahamada El Badaoui (sijui ni kutoka nchi gani huyu), inaonekana anaunga mkono vitisho hivyo wanavyopewa mabalozi wake!
Mungu wabariki WazunguCCM wasahaulifu sana, juzi tu waziri mdogo wa Marekani anayesimamia masuala ya Afrika undersecretary Victoria Nuland alionesha .....
US voices concern at Tanzania's arrest of opposition politician
View attachment 1900748
4 Aug 2021 — “We have expressed our concern about the treatment and imprisonment of the opposition leader Mbowe," Victoria Nuland, Under
Wakati huo wakiwaangamiza Wananchi pamoja nao kwa sababu ya uroho wa madaraka.Wameng'ang'ania na wanakuambia nchi haichukuliwi kwa karatasi(Ya Kura Sandukuni?).Hakuna mbadala!!!?Nilisoma hii habari nikathibitisha fikra zangu kuwa CCM inaangamia kwa viongozi wake kukosa maarifa.
Balozi kuhudhuria kesi anavunja sheria gani ?
Kama keeling mshtakiwa ni gaidi, wanaficha nini?Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Africa Mashariki , Mtukufu Mulamula , ambaye amewataka mabalozi hao kufuata sheria na taratibu za kidiplomasia , hakufafanua taratibu hizo kama zinawakataza mabalozi kuhudhuria kesi mahakamani au la .
View attachment 1900584
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amewataka mabalozi wanaokwenda mahakamani kufuatilia mwenendo ya kesi ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kufuata sheria na taratibu za kidiplomasia.
Balozi Mulamula ameyasema hayo leo Agosti 20,2021 jijini Dar es Salaama wakati akizungumza na mabalozi, wakuu wa taasisi na mashirika ya kimataifa mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofanyika Lilongwe, Malawi Agosti 17–18.
Katika mkutano huo, Balozi Mulamula amesisitiza kwamba mabalozi wanaokwenda mahakamani kufuatilia mwenendo wa kesi ya Mbowe kufuata sheria na taratibu za kimataifa za kidiplomasia ili kujiepusha na ukiukwaji wa sheria na taratibu hizo.
Chanzo: Mwananchi
Bila kunifuta mimi huwezi kuifuta Chadema KyelaKamanda Chadema imefutwa Kyela
Kigogo anasema mbowe anashitakiwa kwa kuakiandika kwenye diary mikakati ya ugaidi,Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Africa Mashariki , Mtukufu Mulamula , ambaye amewataka mabalozi hao kufuata sheria na taratibu za kidiplomasia , hakufafanua taratibu hizo kama zinawakataza mabalozi kuhudhuria kesi mahakamani au la .
View attachment 1900584
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amewataka mabalozi wanaokwenda mahakamani kufuatilia mwenendo ya kesi ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kufuata sheria na taratibu za kidiplomasia.
Balozi Mulamula ameyasema hayo leo Agosti 20,2021 jijini Dar es Salaama wakati akizungumza na mabalozi, wakuu wa taasisi na mashirika ya kimataifa mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofanyika Lilongwe, Malawi Agosti 17–18.
Katika mkutano huo, Balozi Mulamula amesisitiza kwamba mabalozi wanaokwenda mahakamani kufuatilia mwenendo wa kesi ya Mbowe kufuata sheria na taratibu za kimataifa za kidiplomasia ili kujiepusha na ukiukwaji wa sheria na taratibu hizo.
Chanzo: Mwananchi