Anaye Tia aibu Ni aliyemshtaki Mbowe kwa kosa asilolitenda ama ni kinamama wanaodai haki yao?Halafu hao kina mama wanao garagara nje ya mahakama kweli hiyo sio vurugu?
je inaruhusiwa kufanya vitendo vya kugaragara na kupiga mayoe mahakamani?
Polisi lindeni hadhi na usalama wa mahakama usichezewe na hao wahuni.
Guys Tanzania is fucked and Samia is busy talking and chatting with the so called wawekezaji when they are just robbers of your resources. And she is busy to just putting women in powerful positions which is a good idea but she got it wrong on Mulamula's appointment who is always talking about diplomasia diplomasia which is kutongozana mmoja aliwe for nothing it is hard now here abroad to identify yourself as a Tanzanian because of all that is happening now only brother Magu made us walk heads highBasi kama ni kweli Rais kavunja katiba ashauliwe vizuri.
Malamula yuko weak kama nani ?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Msg sent ..louder n clear !Baadhi ya mabalozi nchini waliofika mahakamani leo kufatilia kesi inayomkabiri Mh. Mbowe.
View attachment 1916760
Mabalozi sio Mahakama, hata wakija wote mahakamani haisaidii chochote.Baadhi ya mabalozi nchini waliofika mahakamani leo kufatilia kesi inayomkabiri Mh. Mbowe.
View attachment 1916760
Kwa wanyonge hairuhusiwi ila kwa CCM huko inawezekana..Vipi kwani uraia wa nchi mbili Tz inalusiwa
Wengi tu wana passport 2 na wanajulikana lakini hawafanywi kitu hasa viongozi na wafanya biashara sisi tusiokuwa na connection ndio tunaogopa sheria.SIsi tukiomba uraia pacha hatupewi.
Hata hii 4 sijui kama atatoboaHuyu mama akiimaliza hii minne nitashangaa kama nilivyoshangaa Magufuli kumaliza ile mitano kwanza
Hii nafasi aliiweza Benard Membe pekeeMalamula yuko weak kama nani ?? 🤣🤣🤣
Kama hawako sahihi serikali kwanini haikuwazuia mlangoni wasiingie? Halafu hiyo kesi ni public au siyo?Wako sahihi kwa mujibu wa sheria zipi?
Wao kuwa na "diplomatic immunity" haimaanishi wavunje sheria za nchi mwenyeji.
Na kama wako sahihi kwa nini wizara iliwapa angalizo?
Kweli kuandika kiingereza fasaha sio kipimo cha akiliIn my view in diplomatic terms, unless there is something else regarding their asset, these diplomats are wrong on what they are doing in their host country.
Their actions clearly show that there is something of great interest which they have to be summoned by the foreign ministry in order to seek clarification.
Is it to do with facilitating our democratising process?
Or is about mission went wrong regarding 2020 elections?
What is their stand and view of our country right now?
Have they got any options rather than attending court proceedings?
What is their objective?
And why ignoring our Foreign Office advice regarding their attendance to court which is contrary to their specific roles as diplomats in host country?
Purofesa majalalani labda uniambie kutoa mimacho na kuchomeka misamiati ya Kiswahili kama tashwishwi,....Mulamula Yuko weak Hana ubavu wa kufokea mabalozi kuzingatia mkataba wa Vienna Convention
Kumtoa Profesa Kabudi mama Samia alichemka
Mulamula ana uraia wa Marekani ndio maana ambassadors hawamuogopi
Polisi hawajawagusa kwa kuogopa aibu kwa mabalozi waliokuwepo hapo, imagine kama wasingekuwepo hicho kipigo wangepata kingekuwa cha standard gauge [emoji23][emoji23]Halafu hao kina mama wanao garagara nje ya mahakama kweli hiyo sio vurugu?
je inaruhusiwa kufanya vitendo vya kugaragara na kupiga mayoe mahakamani?
Polisi lindeni hadhi na usalama wa mahakama usichezewe na hao wahuni.
What are those specific roles? When you beg them for their support to run your country its ok but when they want to see how justice and rule of law is being done you quickly term it as interference and going contrary to their roles and responsibilities.In my view in diplomatic terms, unless there is something else regarding their asset, these diplomats are wrong on what they are doing in their host country.
Their actions clearly show that there is something of great interest which they have to be summoned by the foreign ministry in order to seek clarification.
Is it to do with facilitating our democratising process?
Or is about mission went wrong regarding 2020 elections?
What is their stand and view of our country right now?
Have they got any options rather than attending court proceedings?
What is their objective?
And why ignoring our Foreign Office advice regarding their attendance to court which is contrary to their specific roles as diplomats in host country?
Fuatilia yanayoendelea Zambia halafu ndiyo uje hapa na hili swali lako.Tanzania kila raisi mnampiga vita mnataka raisi wa aina gani ndugu zangu
Sasa kama wewe unaona siyo sahihi ni kwa nini serikali haijawazuia au kuchukua hatua zozote? Punguza porojo kwa sababu kama una imani kwamba mashitaka na process nzima ni genuine why worry yourself? Una wasi wasi gani kwa wao kwenda mahakamani if you think justice will prevail?? Kwanza mahakama huwa ni sehemu ya yeyote anayetaka kwenda na kusikiliza. I will tell you this kitendo cha yule balozi eti kuwachimba biti wasiende ndicho kilichofanya waende kwa lazima kwa sababu ikionekana ni kama kuna kitu kinafichwa, na hata watu wanashangaa sana kuona mapolisi wamejazwa kibao eneo la mahakama na kuzuia watu, tena walioko nje kabisa.Huwezi kufahamu nchi yaendaje kwa kuhudhuria taratibu za mahakamani.
Kuifahamu nchi kwa mapana yake kwa kutumia kesi ya Mbowe si lugha sahihi, kwani ofisi za mabalozi hao na wadau wote wa maendeleo wa kigeni zipo nchini miaka nenda rudi, hivyo tayari taarifa zote kuhusu nchi hii wanazo.
Kitendo cha kuwa wanatekeleza taratibu za kidiplomasia kwa kuwasiliana na serikali ya nchi mwenyeji kisha kusimama bega kwa bega na watuhumiwa mahakamani waona ni sahihi?
Yaani wangefanya hivyo kule Russia, au China?
Au sisi tungefanya hivyo kule Marekani au Canada au Uingereza?
Si mtu ungeanza kufuatiliwa una malengo gani dhidi ya nchi mwenyeji?
Kwani wanapowasilisha zile "credentials" kwa raisi zimeandikwa kuhusu kuingilia shughuli za kisiasa za nchi mwenyeji?
Haya ni masuali ambayo tukiweka ushabiki wa siasa pembeni twaweza kujiuliza kwa upande wa diplomasia.
Onyesha sheria iliyovunjwa kwa wao kwenda mahakamani sasa. Hivi unataka wasiende mahakamani kuna nini hasa mnataka kuficha? Kumbuka majuzi tuu mmepokea chanjo milioni moja from USA, misaada mbalimbali from hizo nchi. Sasa kama tuu hapa nchini kuna wananchi wanaoamini hiyo kesi siyo ya haki na ndiyo maana wa nafuatilia mahakamani what's wrong na hao mabalozi nao wakienda? Unadhani wao hawana wanasheria wao wa kuwapa ushauri ili kujua kwamba kwa kwenda mahakamani kuna sheria wameivunja? Unadhani wao ni mambumbumbu wa sheria?Wako sahihi kwa mujibu wa sheria zipi?
Wao kuwa na "diplomatic immunity" haimaanishi wavunje sheria za nchi mwenyeji.
Na kama wako sahihi kwa nini wizara iliwapa angalizo?
[emoji23][emoji23][emoji23]Sababu za wizara ulizisoma ?!
Eti Corona na usalama wao !!
Mahakama zetu hazina usalama kweli ?!!
Acha uongo wako hapa Eti mama mulamula ana uraia wa Marekani!!!..Mulamula Yuko weak Hana ubavu wa kufokea mabalozi kuzingatia mkataba wa Vienna Convention
Kumtoa Profesa Kabudi mama Samia alichemka
Mulamula ana uraia wa Marekani ndio maana ambassadors hawamuogopi