Mabalozi wapuuza onyo la Balozi Mulamula kutohudhuria kesi ya Mbowe

Mabalozi wapuuza onyo la Balozi Mulamula kutohudhuria kesi ya Mbowe

Endelea kuota kwa yanayo endelea na vile mnajitekenya wenyewe kwa kufuta legacy ya Hayati Magufuli, nakuambia 2025 mtaitambua nguvu ya wasukuma.
Tzn hii mwananchi gani amewahi chagua Rais? 😁😁 .Mwenye nguvu ni aliyeshika dola
 
Huyo mulamula ni mama mmoja mjinga anaetumia tumbo lake kufikiria...pamoja n kukaa nje ni mjinga kuliko lusinde
Huu uhuru wa vyombo vya habari umetufanya sote tumekuwa mabingwa pale tunapokamata kalamu. Yaani leo mama Mulamula amekuwa mjinga wewe ndiyo umekuwa mwerevu? Kha!
 
Jana na leo tumeona wawakilishi wa mabalozi haswa kutoka nchi za Marekani , Uingereza na Sweden kwenye mahakama kufuatilia mwenendo wa kesi ya uhujumu uchumi na Ugaidi inayomhusu Mh .Mbowe na wenzake watatu. Je hii inatoa tafsiri gani kwenye nyanja za kidiplomasia?
 
Mulamula Yuko weak Hana ubavu wa kufokea mabalozi kuzingatia mkataba wa Vienna Convention

Kumtoa Profesa Kabudi mama Samia alichemka
Mulamula ana uraia wa Marekani ndio maana ambassadors hawamuogopi
Kwahiyo kufokea mabolozi ni sifa nzurii?
 
Mulamula Yuko weak Hana ubavu wa kufokea mabalozi kuzingatia mkataba wa Vienna Convention

Kumtoa Profesa Kabudi mama Samia alichemka
Mulamula ana uraia wa Marekani ndio maana ambassadors hawamuogopi
Mabalozi walimsindikiza lissu airport wakati huo magu alikimbilia dom, mabolozi hawaogopi matakataka ya ccm
 
Mama nchi ilimshinda week 1 tu....sasa bora liende anawaacha machogo waparurane wenyewe
 
Baadhi ya mabalozi nchini waliofika mahakamani leo kufatilia kesi inayomkabiri Mh. Mbowe.

View attachment 1916760
Kama ni kweli hawa jamaa (wawakilishi wa mabeberu) wamejihudhurisha mahakamani, basi tukumbuke ile aibu ambayo Mchonga akiwa rais alitusisitiza kuondokana nayo;
Kutembeza bakuli kuomba (saidia sadia masikini)

Mwendazake kuna mambo aliwakata mikono kwa kutotaka waingilie mambo yetu ya ndani. Sasa mama Mulamula kawa too soft, wanamchukulia poa tu, simply yeye anaekupa "vimsaada" anakunyima ujasiri wa kutojua set-up ya chumbani kwako ikoje.

Labda baadae "watatuelewa" tukiwazuia wasiingilie mambo yetu ya ndani.
 
Huwezi kufahamu nchi yaendaje kwa kuhudhuria taratibu za mahakamani.

Kuifahamu nchi kwa mapana yake kwa kutumia kesi ya Mbowe si lugha sahihi, kwani ofisi za mabalozi hao na wadau wote wa maendeleo wa kigeni zipo nchini miaka nenda rudi, hivyo tayari taarifa zote kuhusu nchi hii wanazo.

Kitendo cha kuwa wanatekeleza taratibu za kidiplomasia kwa kuwasiliana na serikali ya nchi mwenyeji kisha kusimama bega kwa bega na watuhumiwa mahakamani waona ni sahihi?

Yaani wangefanya hivyo kule Russia, au China?

Au sisi tungefanya hivyo kule Marekani au Canada au Uingereza?

Si mtu ungeanza kufuatiliwa una malengo gani dhidi ya nchi mwenyeji?

Kwani wanapowasilisha zile "credentials" kwa raisi zimeandikwa kuhusu kuingilia shughuli za kisiasa za nchi mwenyeji?

Haya ni masuali ambayo tukiweka ushabiki wa siasa pembeni twaweza kujiuliza kwa upande wa diplomasia.
Upewe Mkopo wa 1.2 Trilion halafu usifuatiliwe , unafikiri watu waliokota hizo pesa.

Watu wanataka kusikia wenyewe kwa kuwepo hapo hapo Mahakamani nini kinaendelea.

Mana wanajua kuna janja janja nyingi sana, wamjue Gaidi na wajue watafanya nini kuzielezea nchi zao.
 
Mulamula Yuko weak Hana ubavu wa kufokea mabalozi kuzingatia mkataba wa Vienna Convention

Kumtoa Profesa Kabudi mama Samia alichemka
Mulamula ana uraia wa Marekani ndio maana ambassadors hawamuogopi
tunaweza kuwafukuza
nini kuwafokea

kidume kingekuwepo wasingethubutu na wanajua bi mkubwa dhaifu

anategemea wazungu mpaka kupiga picha za utalii kaita wazungu
 
Back
Top Bottom