Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Tzn hii mwananchi gani amewahi chagua Rais? ππ .Mwenye nguvu ni aliyeshika dolaEndelea kuota kwa yanayo endelea na vile mnajitekenya wenyewe kwa kufuta legacy ya Hayati Magufuli, nakuambia 2025 mtaitambua nguvu ya wasukuma.
Yetu macho.Hata hii 4 sijui kama atatoboa
Yupo yupo hajui hata anafanya niniYetu macho.
Ana nuksi sana, kila akijitahidi kutenda vyema Watanzania hawamwelewi.
Mpaka wanawake wenzake wanamwita mzurulaji.
Huu uhuru wa vyombo vya habari umetufanya sote tumekuwa mabingwa pale tunapokamata kalamu. Yaani leo mama Mulamula amekuwa mjinga wewe ndiyo umekuwa mwerevu? Kha!Huyo mulamula ni mama mmoja mjinga anaetumia tumbo lake kufikiria...pamoja n kukaa nje ni mjinga kuliko lusinde
Kwahiyo kufokea mabolozi ni sifa nzurii?Mulamula Yuko weak Hana ubavu wa kufokea mabalozi kuzingatia mkataba wa Vienna Convention
Kumtoa Profesa Kabudi mama Samia alichemka
Mulamula ana uraia wa Marekani ndio maana ambassadors hawamuogopi
Mabalozi walimsindikiza lissu airport wakati huo magu alikimbilia dom, mabolozi hawaogopi matakataka ya ccmMulamula Yuko weak Hana ubavu wa kufokea mabalozi kuzingatia mkataba wa Vienna Convention
Kumtoa Profesa Kabudi mama Samia alichemka
Mulamula ana uraia wa Marekani ndio maana ambassadors hawamuogopi
Duo Citizenship??? Dual Citizenship.Ana duo citizenship ya Nchi zao ndio maana hata hawamsikilizi
Magufuli na Kabudi walikuwa wakisema zingatieni Vienna convention walizingatia bila shuruti huyu mama wanamdharauDuo Citizenship??? Dual Citizenship.
Kwani Vienna Convention inahusikaje na hiyo kesi.!Magufuli na Kabudi walikuwa wakisema zingatieni Vienna convention walizingatia bila shuruti huyu mama wanamdharau
Kama ni kweli hawa jamaa (wawakilishi wa mabeberu) wamejihudhurisha mahakamani, basi tukumbuke ile aibu ambayo Mchonga akiwa rais alitusisitiza kuondokana nayo;Baadhi ya mabalozi nchini waliofika mahakamani leo kufatilia kesi inayomkabiri Mh. Mbowe.
View attachment 1916760
Upewe Mkopo wa 1.2 Trilion halafu usifuatiliwe , unafikiri watu waliokota hizo pesa.Huwezi kufahamu nchi yaendaje kwa kuhudhuria taratibu za mahakamani.
Kuifahamu nchi kwa mapana yake kwa kutumia kesi ya Mbowe si lugha sahihi, kwani ofisi za mabalozi hao na wadau wote wa maendeleo wa kigeni zipo nchini miaka nenda rudi, hivyo tayari taarifa zote kuhusu nchi hii wanazo.
Kitendo cha kuwa wanatekeleza taratibu za kidiplomasia kwa kuwasiliana na serikali ya nchi mwenyeji kisha kusimama bega kwa bega na watuhumiwa mahakamani waona ni sahihi?
Yaani wangefanya hivyo kule Russia, au China?
Au sisi tungefanya hivyo kule Marekani au Canada au Uingereza?
Si mtu ungeanza kufuatiliwa una malengo gani dhidi ya nchi mwenyeji?
Kwani wanapowasilisha zile "credentials" kwa raisi zimeandikwa kuhusu kuingilia shughuli za kisiasa za nchi mwenyeji?
Haya ni masuali ambayo tukiweka ushabiki wa siasa pembeni twaweza kujiuliza kwa upande wa diplomasia.
Namfahamu kama mchumia tumbo,ukiingia ccm akili unaziacha nyumbaniMkuu, wamfahamu uzuri mama Liberata Mulamula?
tunaweza kuwafukuzaMulamula Yuko weak Hana ubavu wa kufokea mabalozi kuzingatia mkataba wa Vienna Convention
Kumtoa Profesa Kabudi mama Samia alichemka
Mulamula ana uraia wa Marekani ndio maana ambassadors hawamuogopi