Mabango ya GSM yaondolewa Uwanja wa Mkapa

Kichapo kipo palepale Yanga 1 Simba
Msinufaikea Miaka iliopita mnufaike leo huyo gsm ni ntu ya dili
Amkeni wana uto mnaibiwa
 
Binafsi nimefurahi ili mechi ichezwe. Simba walikuwa wanatafuta sababu ya kukimbia mechi. Asante TFF na bodi ya ligi kwa kutoa kizingizio cha Simba
 
Binafsi nimefurahi ili mechi ichezwe. Simba walikuwa wanatafuta sababu ya kukimbia mechi. Asante TFF na bodi ya ligi kwa kutoa kizingizio cha Simba
Sure, wametoa kisingizio kwa UTO.
 
GSM keshapata kiki ya kutoshaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
ingekua hivyo domo angeshadondoka muda mrefu
Unamaanisha Diamond au Msukule, maana wote wameshadondoka.

Ndo maana Msukule huwez kulinganisha alivyokuwa SimbA na sasa.

Na mond huwez linganisha kipindi kile rivals wake walikuwa Prianka, Wizkids na the likes na Sasa hivi rivals wake ni Konde Boy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…