Sio kweli kwa uandishi tuChange font style na size ili walau ionekane ukweli
Mkuu ivi unakumbuka mara ya mwisho UTO kuwa Bingwa ni Lini ?!Sio kweli kwa uandishi tu
Kichapo kipo palepale Yanga 1 Simba
Msinufaikea Miaka iliopita mnufaike leo huyo gsm ni ntu ya diliNikiweka ushabiki maandazi pembeni ambao hauna manufaa yoyote zaidi ya kutambiana, ukweli wa moyo wangu mi naona poa GSM wasipodhamini ligi na hata wasipodhamini vilabu vingine kwa sababu ingawaje mnadhani mnaikomoa Yanga, kimsingi mtakuwa mnaifaidisha Yanga kwa sababu GSM watalazimika kujikita zaidi na mikataba yake na Yanga!! Atalazimika kuwekeza zaidi matangazo yake kwa Yanga!!! Kwahiyo ππππππππππππππ
Mkuu, ulikuwa wapi. Leo huonekanMsinufaikea Miaka iliopita mnufaike leo huyo gsm ni ntu ya dili
Amkeni wana uto mnaibiwa
Mihangaikoni ndugu yanguMkuu, ulikuwa wapi. Leo huonekan
Division Five hawezi tofautisha English iliyonyooka na iliyopinda. Soma hapaAndika wewe tulinganishe.
CAF hawawezi kuwa na Kingereza kibovu hivi... This is definitely fake.Mambo yameumana hapa. Aibu kubwa kwa tff. View attachment 2039534
Sure, wametoa kisingizio kwa UTO.Binafsi nimefurahi ili mechi ichezwe. Simba walikuwa wanatafuta sababu ya kukimbia mechi. Asante TFF na bodi ya ligi kwa kutoa kizingizio cha Simba
Kiki isiyodumu.GSM keshapata kiki ya kutoshaπππππππ
Machoko kama nyie neno mpalange haliishi kwenye midomo yenuFobes ya kwaMpalang'e.
Kiki isiyodumu.
Chocco ww na ukoo wako mzima.Machoko kama nyie neno mpalange haliishi kwenye midomo yenu
Hii Kiki haikuzi bali inaua biashara.Imedumu na itaendelea kuwaandama poleni
Hii Kiki haikuzi bali inaua biashara.
Iko hivo.
Kumbe ni UTO ndio waliotaka kususia mechi kisa bango la GSM, mimi nilijua makolo ndio wamegomea mechiSure, wametoa kisingizio kwa UTO.
Unamaanisha Diamond au Msukule, maana wote wameshadondoka.ingekua hivyo domo angeshadondoka muda mrefu