Mabango ya GSM yaondolewa Uwanja wa Mkapa

Mabango ya GSM yaondolewa Uwanja wa Mkapa

Kichapo kipo palepale Yanga 1 Simba
Nikiweka ushabiki maandazi pembeni ambao hauna manufaa yoyote zaidi ya kutambiana, ukweli wa moyo wangu mi naona poa GSM wasipodhamini ligi na hata wasipodhamini vilabu vingine kwa sababu ingawaje mnadhani mnaikomoa Yanga, kimsingi mtakuwa mnaifaidisha Yanga kwa sababu GSM watalazimika kujikita zaidi na mikataba yake na Yanga!! Atalazimika kuwekeza zaidi matangazo yake kwa Yanga!!! Kwahiyo 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Msinufaikea Miaka iliopita mnufaike leo huyo gsm ni ntu ya dili
Amkeni wana uto mnaibiwa
 
Andika wewe tulinganishe.
Division Five hawezi tofautisha English iliyonyooka na iliyopinda. Soma hapa
IMG_20211210_212325.jpg
 
Binafsi nimefurahi ili mechi ichezwe. Simba walikuwa wanatafuta sababu ya kukimbia mechi. Asante TFF na bodi ya ligi kwa kutoa kizingizio cha Simba
 
ingekua hivyo domo angeshadondoka muda mrefu
Unamaanisha Diamond au Msukule, maana wote wameshadondoka.

Ndo maana Msukule huwez kulinganisha alivyokuwa SimbA na sasa.

Na mond huwez linganisha kipindi kile rivals wake walikuwa Prianka, Wizkids na the likes na Sasa hivi rivals wake ni Konde Boy.
 
Back
Top Bottom