BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Rangi za upinde wa mvua zipo sana, mnakuwa wajinga sanaTHIS LGBTQ AGENDA SHOULD STOP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rangi za upinde wa mvua zipo sana, mnakuwa wajinga sanaTHIS LGBTQ AGENDA SHOULD STOP
Bango kuuuubwa kabisa katikati rangi za upinde, hata barabarani kwa daladala TU unaona. Shida yetu hatujafundishwa kuangalia critically, hata mlango ulioandikwa Pull mtu ana push akiona hauendi ndio ana pushBila picha Uzi huu ni batili..
Bila ushahidi wa picha , ni uchonganishi!!!kayaruhusu yaweko
Nyie ndio mnawamilikisha...wakianza kutumia rangi ya bluu tuiache pia?Shida hao watu wasio na maana wala akili wamejimilikisha upinde wa mvua ulioumbwa na Mwenyezi Mungu. Wabuni nembo yao, bimbaf.
Hatari snShida hao watu wasio na maana wala akili wamejimilikisha upinde wa mvua ulioumbwa na Mwenyezi Mungu. Wabuni nembo yao, bimbaf.
Nani alikwambia hiyo ni alama rasmi ya ushoga? upinde wa mvua ni wa MUNGU mpk kwenye biblia upoHuhitaji kuoanda ndege ili kuona rangi za upinde kwenye bango, nenda Gongola Mboto TU via Nyerere road kisha tupa macho kushoto utaona Bago jeusi tii katikati Kuna alama hiyo.
NduguKuna Mabango 2 kwenye malango ya kuingia na kutoka uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport yenye rangi za upinde wa mvua. Kila siku ninayaangaliaaaaaa hadi nachoka. Hivi Yale Mabango yanamaanisha nini? Maana hakuna maandishi mengine yoyote ila hiyo alama tu. Nani kayaweka pale, nani kayaruhusu yaweko pale, yanamaanisha nini?
🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣😂😂🤣🤣Bango kuuuubwa kabisa katikati rangi za upinde, hata barabarani kwa daladala TU unaona. Shida yetu hatujafundishwa kuangalia critically, hata mlango ulioandikwa Pull mtu ana push akiona hauendi ndio ana push
Hilo tunalijua kuwa ushoga uko kwenye kila jamii, lakini ni sehemu ya tabia mbaya ndani ya jamii sawa na wizi, uchawi, usengenyaji, na kupigana. Hakukuwa na mtu anaeupigia debe hadharani ili uwe halali na kukubalika kwenye jamii. Sasa hivi ni tofauti kabisa, yako mashirika kabisa na nchi wanataka iwe tabia halali kwa kutumia vishawishi vya fedha na mali. Hicho ndicho kavulata na wengine wanachokipinga.Na ule unao chorwa mawinguni vipi? Sikiliza wewe kilaza Ushoga nu Tabia na sio upinde wala sijui kitu gani, kuna watu ni Mashoga na hawatumii hata hizo rangi, hizo ni rangi zipo enzi na enzi
Mtaishia kuchezewa akili tu na hao jamaa. Wakianza kutumia Mlima Kilimanyaro au Twiha kama alama yao mtaanza kuvipiga vita?Kuna Mabango 2 kwenye malango ya kuingia na kutoka uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport yenye rangi za upinde wa mvua. Kila siku ninayaangaliaaaaaa hadi nachoka. Hivi Yale Mabango yanamaanisha nini? Maana hakuna maandishi mengine yoyote ila hiyo alama tu. Nani kayaweka pale, nani kayaruhusu yaweko pale, yanamaanisha nini?
Ulikuwa unasafiri au mlieanda study tour ?Kuna Mabango 2 kwenye malango ya kuingia na kutoka uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport yenye rangi za upinde wa mvua. Kila siku ninayaangaliaaaaaa hadi nachoka. Hivi Yale Mabango yanamaanisha nini? Maana hakuna maandishi mengine yoyote ila hiyo alama tu. Nani kayaweka pale, nani kayaruhusu yaweko pale, yanamaanisha nini?