Mabango yenye alama ya upinde wa mvua pale uwanja wa ndege DSM yamewekwa na nani?

Mabango yenye alama ya upinde wa mvua pale uwanja wa ndege DSM yamewekwa na nani?

Kuna Mabango 2 kwenye malango ya kuingia na kutoka uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport yenye rangi za upinde wa mvua. Kila siku ninayaangaliaaaaaa hadi nachoka. Hivi Yale Mabango yanamaanisha nini? Maana hakuna maandishi mengine yoyote ila hiyo alama tu. Nani kayaweka pale, nani kayaruhusu yaweko pale, yanamaanisha nini?
Tupia tupicha Basi nasisi tulio vijijini tuonee
 
Na ule unao chorwa mawinguni vipi? Sikiliza wewe kilaza Ushoga nu Tabia na sio upinde wala sijui kitu gani, kuna watu ni Mashoga na hawatumii hata hizo rangi, hizo ni rangi zipo enzi na enzi
Boraa usemee wee.
 
Alama ya upinde wa mvua ina tatizo gani?

Upinde umekuwepo kwa mujibu wa Biblia baada ya Gharika; umetumika kama alama ya matumaini kwa vizazi kadhaa.
Zipo bidhaa, taasisi na mashirika yanayotumia alama ya upinde; leo tatizo ni nini?

Vipi kama hao wafedhuli watu wa LGBTQ wangeamua kutumia alama ya Jua - SUN au mwezi? Mngekuwa hamtoki nje kupigwa na miale ya Jua?

Mbona kama tunawapa promo zaidi kwa kuwatangaza kila siku katika kila jambo?

Embu jiulize leo watu wa LGBTQ na wengineo walioamua kuishi kwa namna wanayotaka, siku wakiamua kutumia alama ya mmea wa ngano, mpunga na mahindi mtaacha kula mikate, wali, pilau ikiwemo biriani na mtaacha kula ugali au mikate?

Tusipende kuvipa nafasi kubwa kwenye maisha vitu ambavyo hauna maamuzi navyo; jishughulishe na kile ambacho ni cha msingi zaidi katika maisha yako na familia.
Tuna matatizo mengine makubwa zaidi ambayo tunapaswa kupambana nayo kwa nguvu zaidi kuliko kushughulika na picha ya upinde wa mvua.

Halafu kila Mtanzania anakataa kwamba yeye sio mhusika kwenye LGBTQ lakini mkifumania mtu na mke wa mtu adhabu yetu pendwa ni kumlawiti?
Wanawake wengi wanakiri kuwa wanaume wengi wa siku hizi wanapenda kinyume na maumbile.

Sasa mtu ambaye unaweza kumwingilia mwanamke kinyume na maumbile kipi kinakutofautisha na hao wanaume walioamua kuwa mashoga.
Ikumbukwe kuwe anayeingiliwa na anayemwingilia mwenzake wote ni ''Mashoga''

Kwanini tunapenda kuficha maovu yetu kwa kichaka cha kuwalaumu sana hawa LGBTQ?

Kwanini kila mmoja wetu asiwe responsible kwenye maisha yake kwanza kabla ya kutaka kuubadilisha ulimwengu.

Watoto wanabakwa na kulawitiwa kila siku na jamii inajifanya kuwa haioni kabisa.
Watu wanaiba hela za serikali, hospitali huduma mbovu lakini haya sio masuala yanayoleta mjadala.

ZINGATIA: Simaanishi wala siungi mkono kwamba hao LGBTQ wapo sahihi lakini pia mimi ni nani kuwaamulia wanadamu wengine namna ya kuishi.
Andiko bora kabisa hili, na watu wote wasome hapa kwa umakini mkubwaa.
 
Bango kuuuubwa kabisa katikati rangi za upinde, hata barabarani kwa daladala TU unaona. Shida yetu hatujafundishwa kuangalia critically, hata mlango ulioandikwa Pull mtu ana push akiona hauendi ndio ana push
hata mlango ulioandikwa Pull mtu ana push akiona hauendi ndio ana push🤣🤣🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shem ukute hata ubingwa huna.
Who knows?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nitakubaka leo Ngoja usm Alger tushinde
 
Kuna Mabango 2 kwenye malango ya kuingia na kutoka uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport yenye rangi za upinde wa mvua. Kila siku ninayaangaliaaaaaa hadi nachoka. Hivi Yale Mabango yanamaanisha nini? Maana hakuna maandishi mengine yoyote ila hiyo alama tu. Nani kayaweka pale, nani kayaruhusu yaweko pale, yanamaanisha nini?

Mtoa mada wewe ukiona alama ya upinde wa mvua (Rainbow) unaeelewa nini?

Umeanza kuona alama ya Upinde wa Mvua ukiwa na miaka mingapi?

Huko kwenu upinde wa mvua huwa hautokei angani?

Tumia akili kidogo.......
 
Alama ya upinde wa mvua ina tatizo gani?

Upinde umekuwepo kwa mujibu wa Biblia baada ya Gharika; umetumika kama alama ya matumaini kwa vizazi kadhaa.
Zipo bidhaa, taasisi na mashirika yanayotumia alama ya upinde; leo tatizo ni nini?

Vipi kama hao wafedhuli watu wa LGBTQ wangeamua kutumia alama ya Jua - SUN au mwezi? Mngekuwa hamtoki nje kupigwa na miale ya Jua?

Mbona kama tunawapa promo zaidi kwa kuwatangaza kila siku katika kila jambo?

Embu jiulize leo watu wa LGBTQ na wengineo walioamua kuishi kwa namna wanayotaka, siku wakiamua kutumia alama ya mmea wa ngano, mpunga na mahindi mtaacha kula mikate, wali, pilau ikiwemo biriani na mtaacha kula ugali au mikate?

Tusipende kuvipa nafasi kubwa kwenye maisha vitu ambavyo hauna maamuzi navyo; jishughulishe na kile ambacho ni cha msingi zaidi katika maisha yako na familia.
Tuna matatizo mengine makubwa zaidi ambayo tunapaswa kupambana nayo kwa nguvu zaidi kuliko kushughulika na picha ya upinde wa mvua.

Halafu kila Mtanzania anakataa kwamba yeye sio mhusika kwenye LGBTQ lakini mkifumania mtu na mke wa mtu adhabu yetu pendwa ni kumlawiti?
Wanawake wengi wanakiri kuwa wanaume wengi wa siku hizi wanapenda kinyume na maumbile.

Sasa mtu ambaye unaweza kumwingilia mwanamke kinyume na maumbile kipi kinakutofautisha na hao wanaume walioamua kuwa mashoga.
Ikumbukwe kuwe anayeingiliwa na anayemwingilia mwenzake wote ni ''Mashoga''

Kwanini tunapenda kuficha maovu yetu kwa kichaka cha kuwalaumu sana hawa LGBTQ?

Kwanini kila mmoja wetu asiwe responsible kwenye maisha yake kwanza kabla ya kutaka kuubadilisha ulimwengu.

Watoto wanabakwa na kulawitiwa kila siku na jamii inajifanya kuwa haioni kabisa.
Watu wanaiba hela za serikali, hospitali huduma mbovu lakini haya sio masuala yanayoleta mjadala.

ZINGATIA: Simaanishi wala siungi mkono kwamba hao LGBTQ wapo sahihi lakini pia mimi ni nani kuwaamulia wanadamu wengine namna ya kuishi.

Kaka naona leo umeamua walau kidogo utumie hiyo Phd yako. Umeandika vyema; hawa wajinga wachache wanapenda sana kuhusisha mambo mazuri na ujinga wao.

Upinde wa mvua umekuwepo maelfu ya miaka; wajinga wachache wanataka kuaminisha watu kuwa hii ni alama ya ushoga.
 
Shida hao watu wasio na maana wala akili wamejimilikisha upinde wa mvua ulioumbwa na Mwenyezi Mungu. Wabuni nembo yao, bimbaf.
Huwa najiuliza hizo rangi zinahusiana na nini na ujinga wao.

Wanatupa tabu hata kununua shari lenye rangi unaogopa haha, lazima ufanye uchunguzi na upembuzi yakinifu.
 
Kuna Mabango 2 kwenye malango ya kuingia na kutoka uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport yenye rangi za upinde wa mvua. Kila siku ninayaangaliaaaaaa hadi nachoka. Hivi Yale Mabango yanamaanisha nini? Maana hakuna maandishi mengine yoyote ila hiyo alama tu. Nani kayaweka pale, nani kayaruhusu yaweko pale, yanamaanisha nini?
Leta picha
 
Kuna Mabango 2 kwenye malango ya kuingia na kutoka uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport yenye rangi za upinde wa mvua. Kila siku ninayaangaliaaaaaa hadi nachoka. Hivi Yale Mabango yanamaanisha nini? Maana hakuna maandishi mengine yoyote ila hiyo alama tu. Nani kayaweka pale, nani kayaruhusu yaweko pale, yanamaanisha nini?
Mbona hayo mabango kama hayo yapo siku nyingi? au wewe ndiye unaleta tafsiri potofu. Au nikiwa na kampuni yangu inayojishughulisha na clearing and forwarding siwezi kuweka logo yenye upinde wa mvua?

Ukienda Moshi Mjini kuna jengo limeandikwa Rainbow na kuchorwa Upinde wa mvua japo ndani ya jengo hilo vinafanyika shughuli nyingine kabisa.

Au chukulia pale Dodoma mwenye Rainbow lounge aamue kuchora Alama ya upinde wa mvua kuakisi Jina la Rainbow atakuwa amekosea?

Tuacheni kuandika sana kuhusu Ushoga, tujikite kwenye kuzuia malezi yanayoweza kusababisha ushoga.

Ebu fikiria serikali walisema wanafunzi kuanzia darasa la awali hadi la nne wasikae kwenye shule za bweni...katazo hili lilianza tokea Mei, 2023, je imetekelezwa na wenye shule?
 
Huwa najiuliza hizo rangi zinahusiana na nini na ujinga wao.

Wanatupa tabu hata kununua shari lenye rangi unaogopa haha, lazima ufanye uchunguzi na upembuzi yakinifu.

Nadhani ni sisi tumewaendekeza. Yaani siku hizi badala ya kuchukia hiyo tabia chafu, tumeingia kwenye mtego wa kuzinyanyapaa rangi zinazounda upinde wa mvua.
Acha tu, yaani hii dunia ni ngumu sana.
 
Back
Top Bottom