Mabango yenye alama ya upinde wa mvua pale uwanja wa ndege DSM yamewekwa na nani?

Mabango yenye alama ya upinde wa mvua pale uwanja wa ndege DSM yamewekwa na nani?

Mbona hayo mabango kama hayo yapo siku nyingi? au wewe ndiye unaleta tafsiri potofu. Au nikiwa na kampuni yangu inayojishughulisha na clearing and forwarding siwezi kuweka logo yenye upinde wa mvua?

Ukienda Moshi Mjini kuna jengo limeandikwa Rainbow na kuchorwa Upinde wa mvua japo ndani ya jengo hilo vinafanyika shughuli nyingine kabisa.

Au chukulia pale Dodoma mwenye Rainbow lounge aamue kuchora Alama ya upinde wa mvua kuakisi Jina la Rainbow atakuwa amekosea?

Tuacheni kuandika sana kuhusu Ushoga, tujikite kwenye kuzuia malezi yanayoweza kusababisha ushoga.

Ebu fikiria serikali walisema wanafunzi kuanzia darasa la awali hadi la nne wasikae kwenye shule za bweni...katazo hili lilianza tokea Mei, 2023, je imetekelezwa na wenye shule?

Hawa jamaa bana wana visa tu. Badala ya kubuni nembo yao, wanaenda kuuchukua upinde wa mvua aliyouumba Mwenyezi Mungu.
 
Maneno tu hamna picha. Wakazi wa Gongo la Mbotto kupita pale Airport mnajionaga mmetusua.
 
Kuna Mabango 2 kwenye malango ya kuingia na kutoka uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport yenye rangi za upinde wa mvua. Kila siku ninayaangaliaaaaaa hadi nachoka. Hivi Yale Mabango yanamaanisha nini? Maana hakuna maandishi mengine yoyote ila hiyo alama tu. Nani kayaweka pale, nani kayaruhusu yaweko pale, yanamaanisha nini?
LGBT
 
Kuna Mabango 2 kwenye malango ya kuingia na kutoka uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport yenye rangi za upinde wa mvua. Kila siku ninayaangaliaaaaaa hadi nachoka. Hivi Yale Mabango yanamaanisha nini? Maana hakuna maandishi mengine yoyote ila hiyo alama tu. Nani kayaweka pale, nani kayaruhusu yaweko pale, yanamaanisha nini?
Picha ?
 
Kuna Mabango 2 kwenye malango ya kuingia na kutoka uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport yenye rangi za upinde wa mvua. Kila siku ninayaangaliaaaaaa hadi nachoka. Hivi Yale Mabango yanamaanisha nini? Maana hakuna maandishi mengine yoyote ila hiyo alama tu. Nani kayaweka pale, nani kayaruhusu yaweko pale, yanamaanisha nini?
Swali jengine tafadhali
Screenshot_20210126-171647.jpg
 
Mbona hayo mabango kama hayo yapo siku nyingi? au wewe ndiye unaleta tafsiri potofu. Au nikiwa na kampuni yangu inayojishughulisha na clearing and forwarding siwezi kuweka logo yenye upinde wa mvua?

Ukienda Moshi Mjini kuna jengo limeandikwa Rainbow na kuchorwa Upinde wa mvua japo ndani ya jengo hilo vinafanyika shughuli nyingine kabisa.

Au chukulia pale Dodoma mwenye Rainbow lounge aamue kuchora Alama ya upinde wa mvua kuakisi Jina la Rainbow atakuwa amekosea?

Tuacheni kuandika sana kuhusu Ushoga, tujikite kwenye kuzuia malezi yanayoweza kusababisha ushoga.

Ebu fikiria serikali walisema wanafunzi kuanzia darasa la awali hadi la nne wasikae kwenye shule za bweni...katazo hili lilianza tokea Mei, 2023, je imetekelezwa na wenye shule?
Ushoga ni sawa lakini kushawishi watoto na wengine kwa vishawishi nao wawe mashoga hiyo hapana. Malezi yako nyumbani kwa wazazi lakini ushoga uko shuleni na kwenye jamii.
.unapoona bango la ushoga kwenye lango kuu la kuingia na kutokea nchini (airport) tafsiri ya kawaida ni kuwaambia wageni kuwa ushoga ni ruksa hapa, upo, na unafundishwa sawa na mabago mengine ya matumizi na vitu kama VISA, Mastercard, Halal Bank au huduma nyingine zinazopatikana nchini.
 
Back
Top Bottom