Tupia tupicha Basi nasisi tulio vijijini tuoneeKuna Mabango 2 kwenye malango ya kuingia na kutoka uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport yenye rangi za upinde wa mvua. Kila siku ninayaangaliaaaaaa hadi nachoka. Hivi Yale Mabango yanamaanisha nini? Maana hakuna maandishi mengine yoyote ila hiyo alama tu. Nani kayaweka pale, nani kayaruhusu yaweko pale, yanamaanisha nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shem ukute hata ubingwa huna.Tayari huko
Ngoja nilinde ubingwa wangu maana vijana wengi wanavuliwa ubingwa
Boraa usemee wee.Na ule unao chorwa mawinguni vipi? Sikiliza wewe kilaza Ushoga nu Tabia na sio upinde wala sijui kitu gani, kuna watu ni Mashoga na hawatumii hata hizo rangi, hizo ni rangi zipo enzi na enzi
Andiko bora kabisa hili, na watu wote wasome hapa kwa umakini mkubwaa.Alama ya upinde wa mvua ina tatizo gani?
Upinde umekuwepo kwa mujibu wa Biblia baada ya Gharika; umetumika kama alama ya matumaini kwa vizazi kadhaa.
Zipo bidhaa, taasisi na mashirika yanayotumia alama ya upinde; leo tatizo ni nini?
Vipi kama hao wafedhuli watu wa LGBTQ wangeamua kutumia alama ya Jua - SUN au mwezi? Mngekuwa hamtoki nje kupigwa na miale ya Jua?
Mbona kama tunawapa promo zaidi kwa kuwatangaza kila siku katika kila jambo?
Embu jiulize leo watu wa LGBTQ na wengineo walioamua kuishi kwa namna wanayotaka, siku wakiamua kutumia alama ya mmea wa ngano, mpunga na mahindi mtaacha kula mikate, wali, pilau ikiwemo biriani na mtaacha kula ugali au mikate?
Tusipende kuvipa nafasi kubwa kwenye maisha vitu ambavyo hauna maamuzi navyo; jishughulishe na kile ambacho ni cha msingi zaidi katika maisha yako na familia.
Tuna matatizo mengine makubwa zaidi ambayo tunapaswa kupambana nayo kwa nguvu zaidi kuliko kushughulika na picha ya upinde wa mvua.
Halafu kila Mtanzania anakataa kwamba yeye sio mhusika kwenye LGBTQ lakini mkifumania mtu na mke wa mtu adhabu yetu pendwa ni kumlawiti?
Wanawake wengi wanakiri kuwa wanaume wengi wa siku hizi wanapenda kinyume na maumbile.
Sasa mtu ambaye unaweza kumwingilia mwanamke kinyume na maumbile kipi kinakutofautisha na hao wanaume walioamua kuwa mashoga.
Ikumbukwe kuwe anayeingiliwa na anayemwingilia mwenzake wote ni ''Mashoga''
Kwanini tunapenda kuficha maovu yetu kwa kichaka cha kuwalaumu sana hawa LGBTQ?
Kwanini kila mmoja wetu asiwe responsible kwenye maisha yake kwanza kabla ya kutaka kuubadilisha ulimwengu.
Watoto wanabakwa na kulawitiwa kila siku na jamii inajifanya kuwa haioni kabisa.
Watu wanaiba hela za serikali, hospitali huduma mbovu lakini haya sio masuala yanayoleta mjadala.
ZINGATIA: Simaanishi wala siungi mkono kwamba hao LGBTQ wapo sahihi lakini pia mimi ni nani kuwaamulia wanadamu wengine namna ya kuishi.
Bango kuuuubwa kabisa katikati rangi za upinde, hata barabarani kwa daladala TU unaona. Shida yetu hatujafundishwa kuangalia critically, hata mlango ulioandikwa Pull mtu ana push akiona hauendi ndio ana push
hata mlango ulioandikwa Pull mtu ana push akiona hauendi ndio ana push🤣🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shem ukute hata ubingwa huna.
Who knows?
Kuna Mabango 2 kwenye malango ya kuingia na kutoka uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport yenye rangi za upinde wa mvua. Kila siku ninayaangaliaaaaaa hadi nachoka. Hivi Yale Mabango yanamaanisha nini? Maana hakuna maandishi mengine yoyote ila hiyo alama tu. Nani kayaweka pale, nani kayaruhusu yaweko pale, yanamaanisha nini?
Alama ya upinde wa mvua ina tatizo gani?
Upinde umekuwepo kwa mujibu wa Biblia baada ya Gharika; umetumika kama alama ya matumaini kwa vizazi kadhaa.
Zipo bidhaa, taasisi na mashirika yanayotumia alama ya upinde; leo tatizo ni nini?
Vipi kama hao wafedhuli watu wa LGBTQ wangeamua kutumia alama ya Jua - SUN au mwezi? Mngekuwa hamtoki nje kupigwa na miale ya Jua?
Mbona kama tunawapa promo zaidi kwa kuwatangaza kila siku katika kila jambo?
Embu jiulize leo watu wa LGBTQ na wengineo walioamua kuishi kwa namna wanayotaka, siku wakiamua kutumia alama ya mmea wa ngano, mpunga na mahindi mtaacha kula mikate, wali, pilau ikiwemo biriani na mtaacha kula ugali au mikate?
Tusipende kuvipa nafasi kubwa kwenye maisha vitu ambavyo hauna maamuzi navyo; jishughulishe na kile ambacho ni cha msingi zaidi katika maisha yako na familia.
Tuna matatizo mengine makubwa zaidi ambayo tunapaswa kupambana nayo kwa nguvu zaidi kuliko kushughulika na picha ya upinde wa mvua.
Halafu kila Mtanzania anakataa kwamba yeye sio mhusika kwenye LGBTQ lakini mkifumania mtu na mke wa mtu adhabu yetu pendwa ni kumlawiti?
Wanawake wengi wanakiri kuwa wanaume wengi wa siku hizi wanapenda kinyume na maumbile.
Sasa mtu ambaye unaweza kumwingilia mwanamke kinyume na maumbile kipi kinakutofautisha na hao wanaume walioamua kuwa mashoga.
Ikumbukwe kuwe anayeingiliwa na anayemwingilia mwenzake wote ni ''Mashoga''
Kwanini tunapenda kuficha maovu yetu kwa kichaka cha kuwalaumu sana hawa LGBTQ?
Kwanini kila mmoja wetu asiwe responsible kwenye maisha yake kwanza kabla ya kutaka kuubadilisha ulimwengu.
Watoto wanabakwa na kulawitiwa kila siku na jamii inajifanya kuwa haioni kabisa.
Watu wanaiba hela za serikali, hospitali huduma mbovu lakini haya sio masuala yanayoleta mjadala.
ZINGATIA: Simaanishi wala siungi mkono kwamba hao LGBTQ wapo sahihi lakini pia mimi ni nani kuwaamulia wanadamu wengine namna ya kuishi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tutabakanaaa shem[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nitakubaka leo Ngoja usm Alger tushinde
Waambie mbona mondi na mbosso[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tutabakanaaa shem
Maana huo upinde original tunazaliwa tunauonaSasa ule upinde original nao tutafanyaje tusiuone.
Huwa najiuliza hizo rangi zinahusiana na nini na ujinga wao.Shida hao watu wasio na maana wala akili wamejimilikisha upinde wa mvua ulioumbwa na Mwenyezi Mungu. Wabuni nembo yao, bimbaf.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa.Waambie mbona mondi na mbosso
Wana vaaga soksi zenye rangi hizo
Na wanashabikia kweli kweli [emoji1]
Ova
Leta pichaKuna Mabango 2 kwenye malango ya kuingia na kutoka uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport yenye rangi za upinde wa mvua. Kila siku ninayaangaliaaaaaa hadi nachoka. Hivi Yale Mabango yanamaanisha nini? Maana hakuna maandishi mengine yoyote ila hiyo alama tu. Nani kayaweka pale, nani kayaruhusu yaweko pale, yanamaanisha nini?
Mmmh hizi lugha mbona sizielewi jamani mama?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tutabakanaaa shem
Mbona hayo mabango kama hayo yapo siku nyingi? au wewe ndiye unaleta tafsiri potofu. Au nikiwa na kampuni yangu inayojishughulisha na clearing and forwarding siwezi kuweka logo yenye upinde wa mvua?Kuna Mabango 2 kwenye malango ya kuingia na kutoka uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport yenye rangi za upinde wa mvua. Kila siku ninayaangaliaaaaaa hadi nachoka. Hivi Yale Mabango yanamaanisha nini? Maana hakuna maandishi mengine yoyote ila hiyo alama tu. Nani kayaweka pale, nani kayaruhusu yaweko pale, yanamaanisha nini?
Huwa najiuliza hizo rangi zinahusiana na nini na ujinga wao.
Wanatupa tabu hata kununua shari lenye rangi unaogopa haha, lazima ufanye uchunguzi na upembuzi yakinifu.